Tatizo la ukavu wa uke linasababishwa na nini?

Tatizo la ukavu wa uke linasababishwa na nini?

Unataka utelezi ili utowezee ugali? Kusema ukweli mwanamke ambaye hana utelezi siwezi kurudi kwake
 
Ni kweli ute umekuwa ukikata mapema tu, labda pushapu mbili tatu kunakauka bado hajapiga bao la kwanza. Mpango wa dharura ni kupaka mate ingawa wataalamu wa afya wanasema mate yanaweza kuwa na bakteria hatari kwenda kwa huyo mwenza.

Wenye tatizo la kukaukiwa ute wamejigundua, hupenda kuvua chupi mafichoni au gizani, wanajaza mafuta ya mgando kisha wanakuja kitandani. Ukiingia unaweza kudhani ni ute wa kutosha zoezi zima mwanzo mwisho.

Mpaka mafuta yaishe ushamaliza raundi unazotaka kucheza mechi
 
Tunasumbuka sana na kuambiwa hatujui kuandaa mazingira ya mechi, kuna umuhimu wa kuita kikao tujadiliane kuondoa tatizo hilo
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ
Jf kiboko qmmke πŸ˜…
Jaman nimeuliza tu maana hajatupa mrejesho wa dawa tulizomuandikia kama zimefanya kazi au laaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ
 
Jaman nimeuliza tu maana hajatupa mrejesho wa dawa tulizomuandikia kama zimefanya kazi au laaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ
Midawa yote ya miharadati mmeandika mlitaka kuniua nyieπŸ˜‚
 
Mwanamke asipokupenda at least mwekee hata pesa pembeni.....wengine ni tatizo wengine ni lack of upendo.....anakupa tu bas
Kama haunipendi basi njoo na kichupa cha mafuta ya nazi kwenye mizagamuo kulainisha mbususu ikikauka kuliko mnavyolalamikaga mnakera na vimate vyenu kupakazia kwenye mbususu dk 2 navyo vinakauka

Pesa siongezi ushanichuna sana mpaka siku unanipea πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ™Œ
 
Back
Top Bottom