Tatizo la ukavu wa uke linasababishwa na nini?

Tatizo la ukavu wa uke linasababishwa na nini?

Uwe unajiongeza na wewe🤣nimemaanisha ukiona ukavu umezidi mpe glass 2 za wine na ubapa wa chocolate ,,,inaongeza ashki.
🤣🤣🤣🤣We uko ktk mizagamuno unapata wapi mda wakwenda kubeba chocolate na wine 🍷
 
🤣🤣🤣🤣We uko ktk mizagamuno unapata wapi mda wakwenda kubeba chocolate na wine 🍷
Muwe mnapata muda wa kujiandaa,sio chipsi kuku na kvant halafu mnarukia shoo unadhani Nini kutafuta hapo,fikiria tu kivant inavyokausha Koo Je huko kumpelo si ndio balaa🤣
 
Muwe mnapata muda wa kujiandaa,sio chipsi kuku na kvant halafu mnarukia shoo unadhani Nini kutafuta hapo,fikiria tu kivant inavyokausha Koo Je huko kumpelo si ndio balaa🤣
Sio kwer bhn na wale wasio tumia kabisa unajiandaa nini🤣
 
Acha kuweka mate, Fika duka la dawa nunua kilainishi.
Sio mimi muwekaji wanaweka wao ili asipate maumivu 🤣binafsi nikishaona uterezi umekata hamu inaniisha kabisa yakuendelea kuzagamua
 
KImaumbile wametofautana, kuna ambao mwanzo mwisho kilainishi asili haikikauki, ila kwa wengine ni ndani yam mda mfupi kimeisha, hivyo hakuna jinsi, ili kuepuka kuchubuana basi kilainishi cha "ziada" lazima kitumike
Kilainishi kikikata baada ya kuanza kuna uwezekano mkubwa kuwa anasikia mauminvu!! vyanzo vya maumivu ni vingi na magonjwa ni mojawapo!! Pia kilainishi kikikata baada ya kuanza inaashiria pia huenda kuna kitu kimemkera ghafla!! Aidha amesikia harufu mbaya toka kwako. Kingine ni kwam,ba wazo la kupata mimba au magonjwa likimjia ghafla baada ya kuanza kilainishi lazima kikate!! Pia kama akikumbuka ghafla kuwa kitendo hicho kimnamsaliti mtu anayempenda na kumheshimu sana lazima kilainishi kikate ghafla!!
 
Kilainishi cha asili kikigoma basiiii! Hapo unajua kabisa kuwa unamkera tu, na bila ridhaa ya dhati ni heri kubadili zoezi!!!
Hahahah waasili ndio mtam na mara nyingi ni kwaawa waliopo sokoni unakata huo sio poa🤣
 
KImaumbile wametofautana, kuna ambao mwanzo mwisho kilainishi asili haikikauki, ila kwa wengine ni ndani yam mda mfupi kimeisha, hivyo hakuna jinsi, ili kuepuka kuchubuana basi kilainishi cha "ziada" lazima kitumike
🤣🤣Bukoba wabarikiwe wanauterezi hao
 
Back
Top Bottom