Tatizo la ukavu wa uke linasababishwa na nini?

Tatizo la ukavu wa uke linasababishwa na nini?

Mwanamke asipo kupenda ukimsumbua sana anakupa tuu basi ili utulie..matokeo yake ndiyo hayo.

Ukiona mwanamke ni mkavu jua hakupendi na hana hisia na wewe kabisa

Hivyo weka mate/ mafuta kojoa tembea zako
Kwanza Hao wanawake wa kupenda wapo tena dunia hii, tuanzie hapo kwanza
 
K kavu hapana aisee, unapigapiga kissme wapi kitu dry balaa, unalazimika kuzama wapi kitu kimekaukiana sio poa, aah hapo ni shida.

Ukiona mwanamke unamsugua kissme na mjebengo na wala hakuna utelezi ujue tu au hupendwi au ana matatizo.

K shurti iwe na utelezi wa kutosha.
 
Kuandika huwezi ndio utaona pa kutumbikza mjulusi kweli?? Endelea kukua kua kwanza
Niliamua nikumbuke enzi nipo makopo kule kabla ya darasa la awali hivyo ata gizani pataonekana tu🤣hivyo wala usipate shida kugirisi ni kitu kingine kabisa shem
 
Soln;Two 🍷+bar of chocolate 🍫=higher libido.
 
Hili suala la kuwa umemwandaa mwanamke kwa muda fulani Kisha mkaanza game limekolea mara utelezi unaisha mnalichukuliaje? Hii ni shida mpya kwa wanawake wa sasa.

Inafikia kipindi mnaboa kuweka mimate iko na bakteria, unaenda kuua ulinzi wa uke. Msiwe mkishupalia kuwa hamuandaliwi vya kutosha kumbe kujiandaa pia hamjui.

Vijana wenzangu hapa tuite kikao cha dharura ama tuvunge?
Hu9 ndiyonuchafubwwnuzinzi na uasherati.


Hapo inapokauka ndiyo kwenye kuambikazq maradhi kila aina.

Wacheni uzinzi.
 
Back
Top Bottom