Tatizo la ukavu wa uke linasababishwa na nini?

Unapata tabu kupenya na ukifanikiwa utaskia bwana unaniumiza mpaka mood inakata yaan
Sasa umeona shida tunazokutana nazo makasumba kama haya maji ya asili hayatokibunategemea nini
 
Walete DJπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwanamke asipo kupenda ukimsumbua sana anakupa tuu basi ili utulie..matokeo yake ndiyo hayo.

Ukiona mwanamke ni mkavu jua hakupendi na hana hisia na wewe kabisa

Hivyo weka mate/ mafuta kojoa tembea zako
 
Sijawahi kukutana hii changamoto au ndgu zangu huwa mnabaka??
Kuna mwamba hapo juu anasepa anapush mara tatu tu kitu kinakua kaukau au labda mnaongelea ule mlango mwingine??
 
Inaonesha haupendwi.
Maana utelezi ni hisia. Hauji kwa kushikwa shikwa pekee.
 
Inaonesha haupendwi.
Maana utelezi ni hisia. Hauji kwa kushikwa shikwa pekee.
Sasa unawezaje kupendwa tu na watu wote away wasokoni mnatabu msiangalie pesa tu muangalie na Raha mnazoenda kutoa zinakidhi na viwango kwenye huduma?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…