Tatizo la Uke Kuwa Mkavu: Chanzo, Suluhisho na Ushauri

Your girlfriend is apparently a loner in case of behavior. So,she is a dry woman. She is not an extrovert hence she is not wety. It is very difficult to sensualize such a woman.

A woman of this kind fits only to a man of this kind. Birds of the same feather fly together.
 
NSWECKY,

Unaleta mada gani wewe!!zama chumvini alafu uje utuambie bado kukavu.
 
Kuna vilainishi vingi siku hizi, tafuta hivo kulainisha na pia kuongeza ladha ya tendo
 
Labda ni wogaaa wa mimba, dushee, umuandai vzr unamvamia tu, umtendei vzr nk. coz hata mie first naanza hiyo tabia mbaya nilikuwa mkavu na sihisi chochote zaidi ya kulalamika naumia so kuona mwenzangu anakereka maana simwachi afurahye kitobo vzr bax nikawa mida ya kulala na ntakaoona anahtaji najiiba naenda kupaka lotion kibaao ikaendaa hivyooo baadae nikamshrkisha mtu mzima akaniambia niache wogaa, niwe free na flexbile na nione ni kitu kizuri nianze kukiwazia kiuzuri na utamu bax somo nikalitendea kazii saivi walaaa sina shida hiyoo hata 1hr uwanjani naweza enda bila kupaka lotioni, mate nk.
 
Kama hujui kitu si lazima uandike. Unachoongea hapo si kweli na ni hisia za mtu asiyejua kitu. Mambo ya kidaktari haya, yapo sana na ingefaa ujifunze. Yanahusu wanadamu kama wewe.

Huyo dada hana fikra na partner wake..waweza kuta jamaa ni boya, au mchafu, au ananuka mdomo au mnyanyasaji au tu hajui kukuna ndiko.

Mnaongea na daktari wa mahaba na satisfaction. k kuwa kau kau kiugonjwa dalili zake tofauti... mjaribuni huyo dada kwa ampendaye muone
 
Si ajabu anaweza hata ku-squirt kabisa. Haya mambo yana wenyewe haya...Well said mkuu!
 
Huyo hakupendi kabisaaana Hiyo shughuri mkiwa maeneo wenyewe tu lazima kulainike.
 
Jaribu kumpaka mafuta ya mgando. Ikishindikana jaribu kumnyonya uke sana kama ya tendo lenyewe lazima aloane tu. Au tumia vidole kumuandaa mpaka aloane.
 
Mmh! kuna wimbi la watu wamevamia humu kila mada wanaleta ujinga ujinga wao!! Jamani tuwe tunaangalia na majukwaa ya utani.
 
Kuna dawa ya natural inamaliza ilo tatizo na nisimple sana hata kama anakula ugari kila siku inaisha. Msimshangae ili tatizo lipo hasa mikoa ya wala vyakula vikavu wengine ndivo walivyo.

Kama umesoma chuo mkiwa dom hizi ndo story kila mtu hutoa ya moyoni ndipo niligundua wenye tatizo hili ni wengi.

Usimnyanyapae linatibika
 

Hata bata hutumia dakika kazaa kumuandaa mpenz wake
 
Hilo ni tatizo linatokana na homoni. Tafuteni tiba ya ilo tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…