Tatizo la Uke Kuwa Mkavu: Chanzo, Suluhisho na Ushauri

Tatizo la Uke Kuwa Mkavu: Chanzo, Suluhisho na Ushauri

Demu huyo anaweza kuwa hivi

[emoji117] Ana upungufu wa Estrogen
[emoji117]Ana mawazo kibao (usikute alikua anawaza kukupiga mzinga[emoji23][emoji23] kidding ..ila kweli Wenda anamawazo.
[emoji117]Ndo wale walikua wanasafisha K kwa sabuni ,fulu kuzipaka lotion na kuzinyunyuzia unyunyu ,,fulu kuziwekea poda). Sasa kaua Normal Flora wote ukeni[emoji23][emoji23]

Au demu wako yupo ktk matumizi ya dawa kwa muda mrefu.

Au anasumbuliwa na Sjogrens syndrome

Tiba

Inategemea na kisababishi chake, hivo basi, kiondoa Suala la Estrogen na Utumiaji wa madawa na tatizo LA Sjogren's yanayohitaji kufika Hospital

Hayo mengine ni masuala yako na wewe kukaa na kuhakikisha uke unakua na maji ndo ule mzigo kiroho safi.

Nimeandika kisela ila ndo ivo!!.
 
Hahahaha mkuu demu wako anaweza kua ivi

[emoji117] ana upungufu wa Estrogen
[emoji117]ana mawazo kibao ( usikute alikua anawaza kukupiga mzinga[emoji23][emoji23] kidding ..ila kweli Wenda anamawazo.
[emoji117]ndo wale walikua wanasafisha K kwa sabuni ,fulu kuzipaka lotion na kuzinyunyuzia unyunyu ,,fulu kuziwekea poda). Sasa kaua Normal Flora wote ukeni[emoji23][emoji23]

Au demu wako yupo ktk matumizi ya dawa kwa muda mrefu.

Au anasumbuliwa na Sjogrens syndrome

Tiba..

Inategemea na kisababishi chake, ivo basi
Ukiondoa Suala LA Estrogen na Utumiaji wa madawa na tatizo LA Sjogren's yanayohitaji kufika Hospital !!

hayo mengine nimasuala yako nawewe kukaa nakuhakikisha Uke unakua namaji so ule mzigo kiroho safi.

Mkuu nmeandika kisela ila ndo hivo
Noted, umenifungua macho kidogo, kuna tatizo ambalo analo la kuapata maumivu makali sana yasiyokawaida wakati wa hedhi yani anaumwa mpk unamuonea huruma na mara nyingi hutumia diklopa kutulia maumivu hayo namkataza but anatumia kwa siri sana huenda hii ikawa ni moja ya sababu?
 
Niliwahi kuwa na mpenzi wa hivyo alinipenda sana kama nlivyompenda ila ktk sex ningemaliza hata mwezi sina hamu nae na hata yeye angemaliza muda mrefu bila kufeel maana alikuwa mkavu na maumivu wakati wa ku-do. Sijui kwa sasa maana tuliachana.
 
Mkuu usidanganyike! Watakuja Wengi hapa na Rai tofauti Kama Vile wengine watakwambia Mwanamke ale Ndizi kwa wingi, Anywe Maji kwa Wingi, Ale nyanya Chungu, n.k.

Lakini Hayo yote Ni dhana tu hapana moja lililofanyiwa utafiti na Kubainika Kuwa Ni kweli.

• KWANZA KABISHA NASHAURI KWA KUSISITIZA KUWA MWANAMKE MWENYE TATIZO LA UKAVU ASITUMIE CREAM AU LUBRICANT (KILAINISHI) CHA AINA YOYOTE ILI KUEPUKA SIDE EFFECTS ZISIZO ZA LAZIMA

√ Kitu Pekee Kilichosalama bila ya Madhara Yoyote ninakushauri Unapokutana Na Mwanamke Kama Huyo Basi Mtayarishe Vya Kutosha Kambla ya Kusex Naye.

Utakapomtayarisha Basi amini Atatoa Tu Mucas (ute) ambao utalainisha.

Madimba jr
 
Ushawahi kukutana na mwanamke ana uke mkavu sana yani hana ute,tatizo linasababishwa na nin? tiba yake ni ipi? mana unatumia mate weeee kulainisha njia mpk yanakauka mdomoni...
Kama ulichukua madada pw wale huwa hawana hisia kwani kila siku wanapigwa vyombo, hawana nyege kabsaa lazima ukute kavu hatari hatarii
 
Mkuu usidanganyike! Watakuja Wengi hapa na Rai tofauti Kama Vile wengine watakwambia Mwanamke ale Ndizi kwa wingi, Anywe Maji kwa Wingi, Ale nyanya Chungu, n.k.
Lakini Hayo yote Ni dhana tu hapana moja lililofanyiwa utafiti na Kubainika Kuwa Ni kweli.

• KWANZA KABISHA NASHAURI KWA KUSISITIZA KUWA MWANAMKE MWENYE TATIZO LA UKAVU ASITUMIE CREAM AU LUBRICANT (KILAINISHI) CHA AINA YOYOTE ILI KUEPUKA SIDE EFFECTS ZISIZO ZA LAZIMA

√ Kitu Pekee Kilichosalama bila ya Madhara Yoyote ninakushauri Unapokutana Na Mwanamke Kama Huyo Basi Mtayarishe Vya Kutosha Kambla ya Kusex Naye.

Utakapomtayarisha Basi amini Atatoa Tu Mucas (ute) ambao utalainisha.

Madimba jr
Kutayarishaa masaa manne au..???
 
Siwezi kuandika humu kwa sababu za kimaadili, nitafute nikufundishe Jin’s I ya kutafuta maji. Hakuna mwanamke asiyekuwa na maji, ni ufundi tu wa kuyatafuta
 
Ushawahi kukutana na mwanamke ana uke mkavu sana yani hana ute,tatizo linasababishwa na nin? tiba yake ni ipi? mana unatumia mate weeee kulainisha njia mpk yanakauka mdomoni...
Hakupendi so hapati hisia. Anafanyia shida tu kufuata vijisenti.
 
Pole sana mkuu kwa tatizo hilo, Binafsi mie nilikuwa muhanga wa tatizo hilo kwa wife wangu, Note kwa vladimirovich putin kajaribu kuelezea vizuri sana na chukua tahadhari ya King ngwaba.

Nashindwa kukupa maelezo mazuri kwa sababu sielewi kama ni mchumba au mke? ,Ameshapata mtoto au lah?

Kwa nini nimeuliza yote haya kwa sababu, wangu alikuwa muoga sana kupitia ile hofi yake hakuwahi kuzoea kabsaa hivyo basi ikamfanya kuwa na mawazo sana pale tu akijua jambo hilo linaenda kutokea maana yake hofu ilizidi sana. Hivyo basi wenda wako pia ni mawazo au kuna jambo linamsumbua hii hali mara nyingi huisha anapojifungua

Nawasilisha
 
Hili la kutopendwa limekaaje?

Inawezekana labda muanzisha Uzi, tuelezee kidogo.

Huenda kweli hana hisia sababu anawaza ex wake.

Lakini ni dhahiri Wapo wanawake wakavu, kwa usalama tumie mafuta ya mzeituni kingereza inaitwa olive oil... Utafanikiwa.

Kila la kheri Mkuu.
 
Wanaosema maandalizi sio kweli, wengine ni hatarii hata umwandae vp na kuzama chumvini vp analowa ukizamisha kidogo tu pakavu kama hukupagusa.
 
Mkuu usidanganyike! Watakuja Wengi hapa na Rai tofauti Kama Vile wengine watakwambia Mwanamke ale Ndizi kwa wingi, Anywe Maji kwa Wingi, Ale nyanya Chungu, n.k.
Lakini Hayo yote Ni dhana tu hapana moja lililofanyiwa utafiti na Kubainika Kuwa Ni kweli.

• KWANZA KABISHA NASHAURI KWA KUSISITIZA KUWA MWANAMKE MWENYE TATIZO LA UKAVU ASITUMIE CREAM AU LUBRICANT (KILAINISHI) CHA AINA YOYOTE ILI KUEPUKA SIDE EFFECTS ZISIZO ZA LAZIMA

√ Kitu Pekee Kilichosalama bila ya Madhara Yoyote ninakushauri Unapokutana Na Mwanamke Kama Huyo Basi Mtayarishe Vya Kutosha Kambla ya Kusex Naye.

Utakapomtayarisha Basi amini Atatoa Tu Mucas (ute) ambao utalainisha.

Madimba jr
Noted. Je, kama hatoi huo ute, nini kifanyike cha ziada?
 
Back
Top Bottom