Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Haina madhara mdau

kama kuna madhara ya muda mrefu sina uhakika, lakini kwa muda mfupi sijasikia kwani watu wengi wanatumia hivi sasa na sijasikia madhara. mimi mwenyewe ni mtumiaji wa magic tangu mwaka 1997 na toka hapo sijawahi kutumia wembe wa aina yoyote kwajili ya kunyoa ndevu.
 
Wa JF ninataka ushauri wenu kuhusu ndevu,
Mimi nimebahatika kuwa na ndevu nyingi sana, yaani nisiponyoa baada ya wiki nzima nakuwa na madevu balaa,Tatizo kazi yangu haniruhusu kuwa na ndevu, kwa hiyo nyoa kila mara
Swali langu ni hivi, kila nikinyoa ndevu mapele yanaota sana, nimejitahidi kutumia after shave haisaidii kabisa,
Vile vile nimegundua baada ya kunyoa hata kabla ya kunyoa kidevu changu kinakuwa kikavu kabisa
Je kuna mafuta ya kupaka kwenye Ndevu? na kama yapo yanaitwaje?
Msaada tafadhali

Chukulia kuwa tatizo lako limepata ufumbuzi wa kudumu, pitia hizi nyuzi:

https://www.jamiiforums.com/jf-doct...na-zaidi-aunt-zainabs-natural-super-clay.html

https://www.jamiiforums.com/matanga...ural-unaolainisha-ngozi-sasa-unapatikana.html

https://www.jamiiforums.com/search.php?searchid=33939350
 
unatumia njia gan kunyoa?hakikisha unapo nyoa ndevu usizikwangue mpaka ziishe..uziache kwa mbali.kwaiyo utakua unazipunguza.vipele vitapotea...ila mwanzo utakavo anza vitakua vinatoka...nakushaur achana na sijui mafuta.poder.spilit..au aina yoyote.ya kuondoa vipele.au ndevu..badae madhara n makubwa..
mbona unatutisha mkuu
 
Je unasumbuliwa na harara, vipele na muwasho baada ya kunyoa ndevu??

Gentleman's pride ni bidhaa itakayo kuondolea hilo tatizo na kuifanya ngozi yako irudi katika muonekano mzuri usio na vipele wala kuwashwa.

Unamfaham mtu yoyote mwenye hii adha, rafiki yako, mume wako, kaka yako, baba yako, jirani au mfanyakazi mwenzio.

Whatsapp/text 0787 583880 Kujpata maelezo zaidi na kujua utapataje ya kwako.



ImageUploadedByJamiiForums1438676448.341921.jpgImageUploadedByJamiiForums1438676465.139311.jpgImageUploadedByJamiiForums1438676512.415397.jpg
 
cc Rich Pol
Je unasumbuliwa na harara, vipele na muwasho baada ya kunyoa ndevu??

Gentleman's pride ni bidhaa itakayo kuondolea hilo tatizo na kuifanya ngozi yako irudi katika muonekano mzuri usio na vipele wala kuwashwa.

Unamfaham mtu yoyote mwenye hii adha, rafiki yako, mume wako, kaka yako, baba yako, jirani au mfanyakazi mwenzio.

Whatsapp/text 0787 583880 Kujpata maelezo zaidi na kujua utapataje ya kwako.



View attachment 273485View attachment 273486View attachment 273487
 
Last edited by a moderator:
Habari wakuu natumai ni wazima. Mimi nina tatizo la vipele na mabaka baada ya kunyoa ndevu,naomba anayejua dawa ya kuondoa vipele hivo na mabaka anisaidie.
 
jamani wanaume wenzangu ina maana hakuna anaejua msaada wa vipele vya ndevu.
 
Inategemea unatumia nn kushave kama kiwembe tumia mara moja tu usikirudie tena
 
Habari wakuu natumai ni wazima. Mimi nina tatizo la vipele na mabaka baada ya kunyoa ndevu,naomba anayejua dawa ya kuondoa vipele hivo na mabaka anisaidie.

Pakaa dawa fulani hivi inaitwa AMOL-G usipopona tatizo lako nakukabidhi roho yangu na moyo wangu uamue nini cha kunifanya. Na hiyo dawa ya AMOL-G siyo tu katika mapele hayo bali hata mba sijui na mapunye yale kichwani yote yote inatibu. Kazi kwako Mkuu na pole kwa hilo tatizo.
 
Pakaa dawa fulani hivi inaitwa AMOL-G usipopona tatizo lako nakukabidhi roho yangu na moyo wangu uamue nini cha kunifanya. Na hiyo dawa ya AMOL-G siyo tu katika mapele hayo bali hata mba sijui na mapunye yale kichwani yote yote inatibu. Kazi kwako Mkuu na pole kwa hilo tatizo.

Inapatikana wapi mkuu
 
tumia vinyoleo vyenye nyembe nyingi kama nyembe 4 hivi. Kawaida vina bei juu kidogo ila vitakusaida kutopata vipere1
 
Inapatikana wapi mkuu

Kwani dawa huwa zinapatikana wapi? Swali gani na kuniuliza hili Mkuu? Diclopa huwa unazipata Baa au Gereji? Utaniudhi halafu nisikusaidie uzidi kutokwa na mapele yako hayo! Nenda katika Duka lolote la dawa ulizia hiyo dawa na uipakae upesi leo kabla ya kwenda kulala ILA sharti lake kuu UNATAKIWA ukae mwezi mzima bila KUMBANDUA Shemeji yetu je UTAWEZA Mkuu au hapo katikati utafanya LIWALO na LIWE?
 
asante mkuu tatzo nilitumia wembe kunyoa,asante kwa msaada
 
Hiyo dawa ya kukaa mwezi bila kusex mbona hatari....mie pia nna tatzo hilo la mapele na usugu japo natumia mashine kunyoa
 
Kwani dawa huwa zinapatikana wapi? Swali gani na kuniuliza hili Mkuu? Diclopa huwa unazipata Baa au Gereji? Utaniudhi halafu nisikusaidie uzidi kutokwa na mapele yako hayo! Nenda katika Duka lolote la dawa ulizia hiyo dawa na uipakae upesi leo kabla ya kwenda kulala ILA sharti lake kuu UNATAKIWA ukae mwezi mzima bila KUMBANDUA Shemeji yetu je UTAWEZA Mkuu au hapo katikati utafanya LIWALO na LIWE?

Adhabu zako heri pilato!
 
Khaaa...japo wenye tatizo hilo tupo wengi ila kwa ushauri huo wa La Brujita...mh!
 
Back
Top Bottom