Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,493
Asante sn mkuuCheki bidhaa za oriflame au makampuni mengine ya bidhaa za aina hiyo huenda ukapata ufumbuzi kama mimi zilivyonisaidia kwa mtoto wangu kuna mafuta nilinunua ikamaliza matatizo yote hadi yaliyokua yanaleta shida kutibiwa hospitalini
Hapana sipakagi?Una mazoea ya kupaka After Shave ukimaliza kunyoa!?
Asante sn nimeichukuaMkuu fanya this...tumia magic kunyoa...baada ya kunyoa kanda na maji moto...hakikisha ndevu zikiota kidogo tu unazinyoa na zikande tena kwa maji moto...rudia hivyo ndani hata ya miezi kadhaa...then taratibu yatakuwa yanapungua....hakika utaona mabadiliko mkuu
Magic sijawahi kutumia lakini natumiaga mashineAcha kunyolea wembe. Jaribu kutumia magic kunyolea iwapo unatoka vipele hata baada ya kutumia mashine!
Asante ubarikiweTumia sabuni wakati wa kunyoa kisha paka vinegar.
Habari za majukumu wakuu,Nasumbuliwa na tatizo la vipele na baadae natokewa na mabaka meusi hii ni baada ya kunyoa ndevu haijalishi nimenyoa wapi na nimepewa huduma nzuri kiasi gani.
Naomba msaada kwa anayejua dawa au kinga ya hii kitu,mbalikiwe sana
Sawa mkuu nipo madukani natafuta na ntaleta mrejesho,nashukuru sana....Tafuta haraka sana dawa moja nzuri sana na itakusaidia mno inaitwa AMOL-G. Kila la kheri na usisahau kurudi humu kuleta mrejesho tafadhali.
Asante sana mkuu!Mkuu achana na dawa zote nakushurri wakati wa kunyoa zipunguze zisiishe zote hio ndio dawa pekee ya vipele
Sawa mkuu nipo madukani natafuta na ntaleta mrejesho,nashukuru sana....
Misiijui iyo magic ntumie pichaAcha kunyolea wembe. Jaribu kutumia magic kunyolea iwapo unatoka vipele hata baada ya kutumia mashine!
Misiijui iyo magic ntumie picha
Chukua ushauri huu utakusaidia sana na ni very cheap; mi mwenywe nilikuwa kama wewe ila niimepona kabisa..Habari za majukumu wakuu,Nasumbuliwa na tatizo la vipele na baadae natokewa na mabaka meusi hii ni baada ya kunyoa ndevu haijalishi nimenyoa wapi na nimepewa huduma nzuri kiasi gani.
Naomba msaada kwa anayejua dawa au kinga ya hii kitu,mbalikiwe sana