Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Habari za majukumu wakuu,Nasumbuliwa na tatizo la vipele na baadae natokewa na mabaka meusi hii ni baada ya kunyoa ndevu haijalishi nimenyoa wapi na nimepewa huduma nzuri kiasi gani.

Naomba msaada kwa anayejua dawa au kinga ya hii kitu,mbalikiwe sana

Tafuta haraka sana dawa moja nzuri sana na itakusaidia mno inaitwa AMOL-G. Kila la kheri na usisahau kurudi humu kuleta mrejesho tafadhali.
 
Misiijui iyo magic ntumie picha
maxresdefault.jpg

Nenda salon au duka wanalouza vipodozi watakupa hii product...
 
Ukitumia madawa ndio unazidi kujiongezea matatizo cha kufanya nenda kwenye maduka makubwa ya vifaa vya umeme ulizia mashine za kunyolea ndevu za umeme watakupa na maelezo jinsi ya kutumia tatizo lako litaisha.
 
Habari za majukumu wakuu,Nasumbuliwa na tatizo la vipele na baadae natokewa na mabaka meusi hii ni baada ya kunyoa ndevu haijalishi nimenyoa wapi na nimepewa huduma nzuri kiasi gani.

Naomba msaada kwa anayejua dawa au kinga ya hii kitu,mbalikiwe sana
Chukua ushauri huu utakusaidia sana na ni very cheap; mi mwenywe nilikuwa kama wewe ila niimepona kabisa..
Hakuna ishu za mashine wala nini, we fanya hivi ukishanyoa makesure unakanda kwa kitaulo chenye maji ya moto 40+C hv, kwa dak kadhaa kama 3&5 hv,
Baada ya hapo paka AFTER SHAVE , utakuwa umemaliza tatizo lako..
Naomba uje unipe mrejesho..
 
Back
Top Bottom