Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Usiwe unanyoa mpk kidevu kiwe cheupe bila ht unywele mmoja kuonekana. Nyoa kwa kuzipunguza zibaki ndogo ndogo kwenye kidevu..
 
paka after shvae ukipaka inakua kama spirit kichupa kama cha perfume kimeandikwa after shave nenda supermarket au kwenye maduka ya dawa kina rangi y kijani nyeupe imeandikwa after shave tumia hiyo
 
HPC 1, jaribu kutumia aina moja ya kinyoleo kwa muda mrefu!niliwahi kuwa na tatizo pale nilipokuwa nabadili vinyoleo mara wembe mara mashine!jaribu kutumia mashine kwa mwezi mzima mfululizo uone matokeo yake huenda ikakufaa kama ilivyonifaa mimi!
 
Last edited by a moderator:
Kanunue After Shave kwenye maduka ya vipodozi. Hiyo ni kiboko ya mapele ya kwenye ndevu. Inauzwa sh.10000
 
HPC 1, jaribu kutumia aina moja ya kinyoleo kwa muda mrefu!niliwahi kuwa na tatizo pale nilipokuwa nabadili vinyoleo mara wembe mara mashine!jaribu kutumia mashine kwa mwezi mzima mfululizo uone matokeo yake huenda ikakufaa kama ilivyonifaa mimi!

Asante kwa kuchangia jibu vyote nilivyo viainisha nimevitumia kwa kipindi kirefu bila mafanikio
 
Last edited by a moderator:
Kuhusu after shave sijawahi kutumia ukiacha spirit tu. Na kuhusu kuziacha watu wengi wamenishauri niziache ziote zote kisha nisivyoe zote sinauhakika kama itakuwa ndio tiba ila nitaitekeleza
 
Hiyo ni tatizo dogo sana.....unaponyoa ndevu kumbuka kua ngozi inafunguka na ni rahisi kwa wadudu au bacteria kuingia so jitahidi kabla hujanyoa ndevu paka kwanza spirit pia bsadaya kumaliza paka spirit... then kaa baada ya nusu saa ndipo ukaoge au kuosha kidevu...
Usionye kidevu kabla ya nusu saa baada ya kunyoa.... hyo njia imenisaidia sana hat mm......
 
Hiyo ni tatizo dogo sana.....unaponyoa ndevu kumbuka kua ngozi inafunguka na ni rahisi kwa wadudu au bacteria kuingia so jitahidi kabla hujanyoa ndevu paka kwanza spirit pia bsadaya kumaliza paka spirit... then kaa baada ya nusu saa ndipo ukaoge au kuosha kidevu...
Usionye kidevu kabla ya nusu saa baada ya kunyoa.... hyo njia imenisaidia sana hat mm......

Kidevu kitakuwa kigumu mpaka utashangaa
 
Mimi nimekwisa pata njia mbadala sasa nafanyia kazi ushauli nilioupata kwanza asanteni maana mambo ya tiba yanataka uvumilivu
 
KAGAMEE kwa mambo ya tiba ni mapema kutoa feedback ila kwa sasa tiba ninayotumia inatoa matumaini hamna tena mapele mapya na yale ya zamani yote yanakauka ....
 
Last edited by a moderator:
KAGAMEE kwa mambo ya tiba ni mapema kutoa feedback ila kwa sasa tiba ninayotumia inatoa matumaini hamna tena mapele mapya na yale ya zamani yote yanakauka ....

Ni ipi tena hiyo mkuu?maana wenzako twaaibika huku
 
Last edited by a moderator:
KAGAMEE kwa mambo ya tiba ni mapema kutoa feedback ila kwa sasa tiba ninayotumia inatoa matumaini hamna tena mapele mapya na yale ya zamani yote yanakauka ....

Ni ipi tena hiyo mkuu?maana wenzako twaaibika huku
 
Last edited by a moderator:
paka sabuni kisha nyoa na wembe ukimaliza osha kidevu na maji ya moto kisha paka after shave moja inaitwa megaman inauzwa tshs 4000 tu
 
paka sabuni kisha nyoa na wembe ukimaliza osha kidevu na maji ya moto kisha paka after shave moja inaitwa megaman inauzwa tshs 4000 tu

vp na hii inayoitwa BUMP PATROL ushaitumia mkuu?
 
Nimewahi kuwa na tatizo Kama hilo kwa muda! ila sasa niko safi! Karibu dawa zote zilizo tajwa nimetumia! Kitu cha msingi usipende kubadiri dawa Mara kwa Mara! pili ukitumia dawa ukiona kunavipele vichache usipende kuvishikashika kila wakati yani kivikamua huenda nalo likawa ni tatizo! tumia after shave! au jaribu kupaka poda ya kawaida tu!
 
Back
Top Bottom