Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Usikubali akukwarue sn n mashine.sbb vle vipele hutokea pale ndev inapoota hvy ikishndw kutoka sbb ilinyolew hd ktk miziz yke ndo huleta vipele.usiogope kumwambia kinyoz asikuparue sn
 
Ushauri wangu. Hakikisha una muda maalum baada ya kunyoa kwa mala ya kwanza yaani kama unanyoa baada ya siku tano fanya hivo. Sio leo unakaa na ndevu siku 10 mala 6 haitakiwi hivo. Cha pili kila unapo oga asubuh na jion hakikisha unapaka sabuni na unajisugua vuzuri kwenye kidevu na unaacha sabuni ikar angalu dak 2~3 . Haijalishi sabuni unayotumia ata kama itakuwa ni ya mche inafanya kazi vizuri tu. Hii ni endelevu uwe umenyo au huja nyoa. Kwa mala ya kwanza huwa unasikia maumivu ila baada ya muda utazoe. Mwenyewe nsha wahi kuwa na tatizo kama hilo ila saivi kwisha kabisa.
 
Nunua mashine ya kunyoa (Hizi home cut,ziache ndevu ziote hadi vipele vyote viishe kabisa,kabla ya kunyoa isafishe mashine kwa spirit pia zioshe ndevu kwa sabuni na ukaushe kwa taulo safi baada ya kunyoa paka kidevu spirit,muda wa kunyoa usitofautiane sana kama ni siku tatu iwe hivyo,tatizo linaweza kwisha kabisa.
 
Pole. Kufuga ndevu pia ni style.....kuna wengine inawapendeza sana!

Mimi natumia BumpPatrol, ni aftershave na so far inanisaidia sana kupambana na mapele. Kama walivyoshauri wengine, jaribu ku maintain frequency ya kunyoa. Kama ni kila baada ya siku mbili basi jitahidi iwe hivyo hivyo.
 
Pole. Kufuga ndevu pia ni style.....kuna wengine inawapendeza sana!

Mimi natumia BumpPatrol, ni aftershave na so far inanisaidia sana kupambana na mapele. Kama walivyoshauri wengine, jaribu ku maintain frequency ya kunyoa. Kama ni kila baada ya siku mbili basi jitahidi iwe hivyo hivyo.
Asante mkuu
Nilitumia bump patrol kama chupa 2 hivi na ilinisaidia saaana lakini baada ya hapo haikunisadia kabsaa
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Piece of advice, ukinyoa uwe unaangalia direction ya nywele unanyoa kulingana na uelekeo wake usinyoe upande tofauti mfano nywele zimeota kuelekea juu basi nyoa kuelekea juu inasaidia kutotokewa vipele
Asante mpendwa
Next tym nitajitahidi kutafuta direction ya uoto wa ndevu zangu ili nimwambie kinyozi afuate huo uelekeo
 
Ushauri wangu. Hakikisha una muda maalum baada ya kunyoa kwa mala ya kwanza yaani kama unanyoa baada ya siku tano fanya hivo. Sio leo unakaa na ndevu siku 10 mala 6 haitakiwi hivo. Cha pili kila unapo oga asubuh na jion hakikisha unapaka sabuni na unajisugua vuzuri kwenye kidevu na unaacha sabuni ikar angalu dak 2~3 . Haijalishi sabuni unayotumia ata kama itakuwa ni ya mche inafanya kazi vizuri tu. Hii ni endelevu uwe umenyo au huja nyoa. Kwa mala ya kwanza huwa unasikia maumivu ila baada ya muda utazoe. Mwenyewe nsha wahi kuwa na tatizo kama hilo ila saivi kwisha kabisa.
Hua nanyoa ndevu kila baada ya siku 6 na hua napaka sabuni ya detto hata kama kuna dawa natumia lakini hali hua inabaki vile vile
 
njoo pm na elf kumi na tano tu nikuelekeze dawa ni kiboko ya vipele? Nam nilielekezwa kwa bei hiyo sina kipele hata na nilikuwa navyo kibao!
 
Nilianza kuota ndevu takribani miaka 7 iliyopita, katika miaka 2 ya mwanzo nilifurahia kua na ndevu na nilinyoa ndevu kwa staili yoyote ile niipendayo.
Baada ya muda huo nilianza kusumbuliwa na tatizo la kutokwa na vipele kila baada ya kunyoa/kuchonga ndevu zangu.
Kukabiliana na tatizo hili niliamua kutumia njia 3 kwa nyakati tofauti lakini zote zimegonga mwamba na mpaka sasa vipele vya ndevu vinanitoka sana mpaka kutishia kuharibu unadhifu wa ngozi yangu...
Njia ambazo nilitumia kuondoa vipele zimekua zinanisaidia mwanzoni tu lakini baada ya muda vipele huendelea na kutotibiwa na njia/dawa husika! Njia/dawa hizo ni kama ifuatavyo;
√Kubadili vivyozi/barber shop
√Split na after shave aina nyingi
√Eskinol
√Gentlemen pride(product ya forever)
√Gentrose
√Persol gel
√Kukanda maji ya moto
√Kupaka mawe flani meupe
√Kupaka utomvu wa alovera
√Kubadili lotion nazotumia mfano Nivea, cocopulp, kupakaa mafuta mfano zawadi zanzibar, babycare
√Shaving cream
√Kunyoa kwa kutumia magic powder
√Kushave mwenyewe kwa kutumia povu la gillete etc
Pamoja na kutumia njia/dawa hizo katika vipindi tofauti tofauti zoote zimeshindwa kutatua tatizo langu. Kwa waliowahi kuona tatizo kama hili tushirikiane kupata ufumbuzi wake

Chukulia kuwa tatizo limekwisha, tumia hii tiba ya asili: Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana | Page 18 | JamiiForums | The Home of Great Thinkers

Ni nzuri sana kwa vipele aina zote na ni rahisi sana kutumia na ni bei poa kabisa., TZS 3,500/ tu kwa mkebe na pia ni tiba pekee Tanzania ambayo kama haijakufaa "money back guarantee".
 
Piece of advice, ukinyoa uwe unaangalia direction ya nywele unanyoa kulingana na uelekeo wake usinyoe upande tofauti mfano nywele zimeota kuelekea juu basi nyoa kuelekea juu inasaidia kutotokewa vipele
Unaelekeza kama wewe ushawahi kunyoa yani we unajua hizo ndefu maumivu yke kwanza
 
Mleta mada,
nami nilikuwa mhanga wa vipele vilivyotoka baada ya kunyoa na nyembe(mfano gillette),nilipita supermarket na kununua machine ya kawaida ya kunyolea nywele na kuanza kutumia katika interval ya kunyoa mara 2 kwa wiki,na hata sasa kidevu changu kipo kawaida. kama walivyotangulia kusema wadau weka interval ya kunyoa ndevu na pia kuangalia uelekeo wa ndevu zinakolalia.
 
Back
Top Bottom