Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nyembe zinauza SH Amon Tsh 40,000/ zinaitwa "gillette fusion" ni nzuri sana! Paka shaving foam wakati wa kunyoa kisha baada ya kunyoa paka "after shave" inaitwa "bump patrol" uataona matokeo! Hizo nyembe waweza kutumia hadi miezi 4, na ukiisha unapachika mwingine! Hope it works out as it did to me!Wadau mambo vipi , ? Kidevu changu naona kinakomaa na kinatoaa vipelee, nanyoaa kwa wiki mara mojaa, nitumiee mafuta gani kulainishaaa, ? nina miaka 24, aaf mweupee, kidevu kinaharibu mwonekano wangu! Msaada wa USHAURI tafadhari.
safi sanaaaaaaaaaaaaaaa, ahsanteeeeeeeeeee mkuu! nitatoaaaaaaaaaa matokeeeeeooooooooooMkuu kwa self shaving hebu jaribu kutumia nyembe za Super max hizi ni tripple blade au single blade,au unaweza kutumia nyembe za Gillete,hizi ni disposable razors,View attachment 477186 kwa upande wa Shaving gel jaribu kutumia gel yenye vitamin E & B5 hii ni alcohol free na haitoi povu,hii ni nzuri sana kwa sensitive skin,View attachment 477190 Baada ya kumaliza kushevu pakaa Poda ya maji itakusaidia sana,jaribu kutafuta hii poda nitakayo kuwekea picha yake hapa chini,View attachment 477191
Pamoja Mkuu,ukileta matokeo/result itapendeza zaidi,Kila la Kheri Kaka.safi sanaaaaaaaaaaaaaaa, ahsanteeeeeeeeeee mkuu! nitatoaaaaaaaaaa matokeeeeeoooooooooo
Wadau mambo vipi , ? Kidevu changu naona kinakomaa na kinatoaa vipelee, nanyoaa kwa wiki mara mojaa, . . . . .
ahsanteeeeeeeehhhhhhhhhhhhPamoja Mkuu,ukileta matokeo/result itapendeza zaidi,Kila la Kheri Kaka.
ahsanteeeeeeeehhhhhhhhhhhh
HahahahahaDaaaa!!!! Umefanya jambo zuri kuuliza hata mimi kidevu kimebadilika mpaka nafananishwa na boko
Mweupee ndiyo nini?Wadau mambo vipi , ? Kidevu changu naona kinakomaa na kinatoaa vipelee, nanyoaa kwa wiki mara mojaa, nitumiee mafuta gani kulainishaaa, ? nina miaka 24, aaf mweupee, kidevu kinaharibu mwonekano wangu! Msaada wa USHAURI tafadhari.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]We jamaa ndo uitikiaji gani huo? Au nawe mwanaume wa Dar? Maana wengine wanalia hadi kanisani kisa wamesemwa. Mkoje?
Halafu ndo nini kusema we mweupe sana? Natamani kukusaidia ila nna mashaka na uhalisia wako.
Pole kwa tatizo lako lakini kuna suluhisho la tatizo lako kutoka kqenye kampuni inayotengeneza bidhaa za ngozi.. Kampuni hii inaitwa Oriflame, zipo shaving foam ambayo utaitumia wakati wa kunyoa ndevu.. Tatizo hili utalisahau kabisa.. Karibu namba yangu ni 0672416294 nitakuonyesha bidhaa na bei yake ukihitaji nitakufikishia mkoa wowote uliopo..Habari ya Jumapili wandugu,
Naweza kupata wapi dawa ya kutoa vipele kidevuni baada ya kunyoa ndevu.
Baada ya kunyoa paka mafuta ya nazi.Habari ya Jumapili wandugu,
Naweza kupata wapi dawa ya kutoa vipele kidevuni baada ya kunyoa ndevu.