Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Pole sana mkuu dawa yake ukishanyoa mwambie yule dada anayekuosha kichwa [emoji138]‍♂️akukande na maji ya moto mara tatu alafu utatujuza mabadiliko
 
Pole sana mkuu, Dawa ni kutokunyoa ndevu zote. Unaacha ndogo kama zinazoota, usikwangue zikaisha kabisa.
Ngozi na nywele za binadamu zinatofautiana kila mtu. Wewe una Ngozi ngumu, sasa wakati wakati nywele inaota, inakutana na Ngozi ngumu, inashindwa kutoka, halafu inageuka nyuma na kuendelea kuota kwa kuelekea ndani, hapo unaanza uvimbe ambao wewe unaona ni vipele.
Kwa mfano, ukitoboa hicho kipele, utakutana na unywele mlefu uliokuwa umejiviringa kwa ndani.

MUHIMU, PUNGUZA NDEVU WAKATI WA KUNYOA, KUCHONGA IWE MARUFUKU, TATIZO LAKO LITAISHA.
 
Pole sana mkuu, Dawa ni kutokunyoa ndevu zote. Unaacha ndogo kama zinazoota, usikwangue zikaisha kabisa.
Ngozi na nywele za binadamu zinatofautiana kila mtu. Wewe una Ngozi ngumu, sasa wakati wakati nywele inaota, inakutana na Ngozi ngumu, inashindwa kutoka, halafu inageuka nyuma na kuendelea kuota kwa kuelekea ndani, hapo unaanza uvimbe ambao wewe unaona ni vipele.
Kwa mfano, ukitoboa hicho kipele, utakutana na unywele mlefu uliokuwa umejiviringa kwa ndani.

MUHIMU, PUNGUZA NDEVU WAKATI WA KUNYOA, KUCHONGA IWE MARUFUKU, TATIZO LAKO LITAISHA.
Asante sana kwa Elimu mkuu.......
 
Chukua ushauri huu utakusaidia sana na ni very cheap; mi mwenywe nilikuwa kama wewe ila niimepona kabisa..
Hakuna ishu za mashine wala nini, we fanya hivi ukishanyoa makesure unakanda kwa kitaulo chenye maji ya moto 40+C hv, kwa dak kadhaa kama 3&5 hv,
Baada ya hapo paka AFTER SHAVE , utakuwa umemaliza tatizo lako..
Naomba uje unipe mrejesho..
Asante sn mkuu
 
Habari za majukumu wakuu,Nasumbuliwa na tatizo la vipele na baadae natokewa na mabaka meusi hii ni baada ya kunyoa ndevu haijalishi nimenyoa wapi na nimepewa huduma nzuri kiasi gani.

Naomba msaada kwa anayejua dawa au kinga ya hii kitu,mbalikiwe sana

Dah, mi sikushauri utumie 'magic' kwasababu kama hiyo dawa ni kali kuweza kupupua ndevu vipi kuhusu ngozi yako, maana ngozi ya binadamu ni laini na nyembamba sana.

Nywele zetu zinatofautiana sana, kuna wale ambao ni nyembamba sana, zikiota zinakuwa zimenyooka, zinatoka nje ya ngozi moja kwa moja. Watu hawa (waasia, wazungu, latino na baadhi ya waafrika) hawana tatizo la kutoka vipele. Sasa kuna wengine ambao nywele zao ni nene, hawa zinaanza kujiviringa wakati bado hazijatoka nje ya ngozi, huendelea kukua huku zikijisokota ndani kwa ndani.

Mwili huhisi kunatatizo, unaanza kujihami ukidhani kuna adui ameingia kwenye ngozi. Mara moja unaanza kutengeneza askari wake (antibodies) kujilinda. kiasi cha askari wanao tengenezwa ndio ukubwa wa kututumka kwa sehemu husika (upele).

Mimi binafsi situmii viwembe ila natumia mashine ya kunyolea pamoja na dawa ya kuzuia vipele. Dawa hii huwa naipata kwenye maduka ya urembo ya wachina au wakati hata amazon.

razor_Bump.JPG
 
Dah, mi sikushauri utumie 'magic' kwasababu kama hiyo dawa ni kali kuweza kupupua ndevu vipi kuhusu ngozi yako, maana ngozi ya binadamu ni laini na nyembamba sana.

Nywele zetu zinatofautiana sana, kuna wale ambao ni nyembamba sana, zikiota zinakuwa zimenyooka, zinatoka nje ya ngozi moja kwa moja. Watu hawa (waasia, wazungu, latino na baadhi ya waafrika) hawana tatizo la kutoka vipele. Sasa kuna wengine ambao nywele zao ni nene, hawa zinaanza kujiviringa wakati bado hazijatoka nje ya ngozi, huendelea kukua huku zikijisokota ndani kwa ndani.

Mwili huhisi kunatatizo, unaanza kujihami ukidhani kuna adui ameingia kwenye ngozi. Mara moja unaanza kutengeneza askari wake (antibodies) kujilinda. kiasi cha askari wanao tengenezwa ndio ukubwa wa kututumka kwa sehemu husika (upele).

Mimi binafsi situmii viwembe ila natumia mashine ya kunyolea pamoja na dawa ya kuzuia vipele. Dawa hii huwa naipata kwenye maduka ya urembo ya wachina au wakati hata amazon.

View attachment 530854
Asante sana na ubarikiwe
 
Habari zenu
Naomba leo tuambizane ni mafuta gani au dawa gani unayoitumia pindi unapoa ndevu au sehemu za siri na kukufanya ngozi yako ibaki nyororo isiyo na vipele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shaving lotion zote zinapiga hii kitu,na vizuri uanze na aftershave then utumie hiyo shaving cream,ONYO kwa sehemu za siri hiyo after shave sina uhakika kama inakubalika kiafya kuitumia,kwani ina alcohol kwahiyo ujiandae kwa maumivu wakati ikifanya kazi,hasa kama utaweka nyingi na kuifanya iporomoke kuelekea chini...
 
Habari za mida hii

Ningependa kufahamu ni dawa gan (cream) nzuri kwa ajili ya kudhibiti na kuondoa vipele baada ya kunyoa ndevu?

Nisaidien wakuu kidevu changu kinaharibika kisa hivi vipele na ninapata maumivu makali pindi vipele vinapoota

Nilijaribu njia ya kupaka spirit na aftershave kila ninavonyoa lakin haijasaidia
 
Back
Top Bottom