Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Kaka naipataje tusaidiane tuko mikoan wengine@ankai,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Only devuu[emoji124][emoji124][emoji124]Tafuta dawa inaitwa Persol 5 (Benzyl Peroxide)
View attachment 1165299
Utakuwa ulipewa ugoro
Kwenye maduka ya vipodozi sana sana au pharmacyTunaipata wapi mkuu
Paka Gentalene C, kila unaponyoa, lete mrejesho.Nitafanya vipi ilinisipate mapele ya ndevu ninaposema nyoa ndevu
Nitumie namba zake huyo Masai anitumie huku. Nimechoka kutumia Magic kunyoaWatafute wamasai...wana dawa ya kienyeji ya unga...ni nzuri ila
Mm ilinishinda ina mafua sana
Mimi nikinyoa kwa kutumia Magic powder utanihurumia mapele yanatoka sana.Niliwai kufata kila ushaur hola. Hadi happ nilipoamua kunyolea magic powder. Kama utapata salun wanaofata maelekezo utasahau vipere.
Magic si rahis ikukatae. Kuna maelekezo hufat na salun nying hawafuat. Hasa muda wa dawa kukaa, kias cha uji dawa, usaf baada y kukwangua, na mafuta baada y kukwangua. Utakuwa mtu pekee magic p kukukataa.Mimi nikinyoa kwa kutumia Magic powder utanihurumia mapele yanatoka sana.
Nadhan ina ngozi na ngozi.
Mi huwa natumia tu mashine ila sikwangui zote naacha chini chini sitoki vipele hata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi kuna kipindi nilijaribu kutumia Magic powder dah hali ilikuwa tete vipele kama utitili yaani nilichakaaMagic si rahis ikukatae. Kuna maelekezo hufat na salun nying hawafuat. Hasa muda wa dawa kukaa, kias cha uji dawa, usaf baada y kukwangua, na mafuta baada y kukwangua. Utakuwa mtu pekee magic p kukukataa.