Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Soma vizuri thread.
Najua unapokuwa unanyoa kwa viwembe unaota mapele hayo mapele yakipona yanatengeneza weusi fulani so kidevu ukomaa mtu wa miaka 25 unakaa kama 35 hivi ..... Solution ni kununu vile zimashine vya kucharge then unakuwa unanyolea ndevu pia unapo anza kunyoa anza kupaka powder kwanza na uhakika tatizo litaisha mzee
 
Nasumbuliwa na vipele baada ya kunyoa ndevu shingoni. Before nlikuwa natumia Skderm lakini sioni kwa sasa tena ikinifaa. Nadhani imeshanizoea.

Matumizi ya spirit pia after shaving hayajawa na manufaa kwangu. Napomaliza kunyoa kesho yake najikuta kuna vipele vingi shingo hadi chini ya taya. Binafsi napendelea kuondoa ndevu zote za chini na mustache pia nikiacha tu sharafa.

Naombeni solution ya hili ili nibaki kuwa na ngozi yangu laini kama awali. Natumia Gillete kunyolea na sometime machine hizi za kisasa cha kucharge. Bado shida inakuwepo. Msaada please.
ukinyoa mwambie asikwangue kabisa zibaki kama zinaota na pia ukae nazo muda mrefu kabla hujanyoa
 
Nasumbuliwa na vipele baada ya kunyoa ndevu shingoni. Before nlikuwa natumia Skderm lakini sioni kwa sasa tena ikinifaa. Nadhani imeshanizoea.

Matumizi ya spirit pia after shaving hayajawa na manufaa kwangu. Napomaliza kunyoa kesho yake najikuta kuna vipele vingi shingo hadi chini ya taya. Binafsi napendelea kuondoa ndevu zote za chini na mustache pia nikiacha tu sharafa.

Naombeni solution ya hili ili nibaki kuwa na ngozi yangu laini kama awali. Natumia Gillete kunyolea na sometime machine hizi za kisasa cha kucharge. Bado shida inakuwepo. Msaada please.
Nunua Bump Patrol, inapatikana maduka ya Vipodozi hutojuta mkuu mapele utayaskia tuu. Bei ni buku 10-15 kutegemeana na duka.
 
Nasumbuliwa na vipele baada ya kunyoa ndevu shingoni. Before nlikuwa natumia Skderm lakini sioni kwa sasa tena ikinifaa. Nadhani imeshanizoea.

Matumizi ya spirit pia after shaving hayajawa na manufaa kwangu. Napomaliza kunyoa kesho yake najikuta kuna vipele vingi shingo hadi chini ya taya. Binafsi napendelea kuondoa ndevu zote za chini na mustache pia nikiacha tu sharafa.

Naombeni solution ya hili ili nibaki kuwa na ngozi yangu laini kama awali. Natumia Gillete kunyolea na sometime machine hizi za kisasa cha kucharge. Bado shida inakuwepo. Msaada please.
Jipake mavi
 
Ukimaliza kunyoa vinyweleo huwa vimekwanguliwa sasa fanya hivi baada ya kunyoa chemsha maji ya vugu vugu jikande kidogo tu kama maji ya kikombe halafu ukiwa unanyoa usijikwangue kwa nguvu nyoa kwa kuzifuatisha
 
1. Baada ya kunyoa tumia maji ya moto kwa kujikanda na kitambaa kisafi.

2. Tafta aftershave za bei ghali mkuu. Achana na spirit ama aftershave za buku buku.

3. Pendelea kunyoa mahala ama saluni za bei ghali kidogo hawa hua wana mashine mpya zenye wembe mpya. Hawa hubadili wembe wa mashine mara kwa mara. Sio hizi saluni zetu za buku buku, hawa utakuta mashine butu balaa wanatumia nguvu kukunyoa.

4. Usinyoe kipara, kumaliza nywele zote, nyoa kama zinaota kote kichwani na kidevuni.

Hope njia moja wapo itakusaidia.
 
Nasumbuliwa na vipele baada ya kunyoa ndevu shingoni. Before nlikuwa natumia Skderm lakini sioni kwa sasa tena ikinifaa. Nadhani imeshanizoea.

Matumizi ya spirit pia after shaving hayajawa na manufaa kwangu. Napomaliza kunyoa kesho yake najikuta kuna vipele vingi shingo hadi chini ya taya. Binafsi napendelea kuondoa ndevu zote za chini na mustache pia nikiacha tu sharafa.

Naombeni solution ya hili ili nibaki kuwa na ngozi yangu laini kama awali. Natumia Gillete kunyolea na sometime machine hizi za kisasa cha kucharge. Bado shida inakuwepo. Msaada please.
Tumia veet kunyoa achana na mashine mkuu, ni lotion unaipakaza tu unasubiri 15minutes unaoshana kitambaa kazi kwisha hakuna ndevu kama usoni
 
Tumia veet kunyoa achana na mashine mkuu, ni lotion unaipakaza tu unasubiri 15minutes unaoshana kitambaa kazi kwisha hakuna ndevu kama usoni
Haka kadude unyama sana
images.jpg
 
Tumia machine za kuchaji, zinapunguza tatizo kwa asilimia kubwa sana. Kuna wakati ilibidi niache kunyoa nitumie magic lakini nikahisi ile dawa ni sumu tu, nikanunua hivi vimashine vidogo vya kunyolea, since then sikumbuki vipele.
 

Attachments

  • Screenshot_20231226_164005_Facebook.jpg
    Screenshot_20231226_164005_Facebook.jpg
    113.9 KB · Views: 15
Tumia machine za kuchaji, zinapunguza tatizo kwa asilimia kubwa sana. Kuna wakati ilibidi niache kunyoa nitumie magic lakini nikahisi ile dawa ni sumu tu, nikanunua hivi vimashine vidogo vya kunyolea, since then sikumbuki vipele.
Bei ngapi hii ndugu?
 
Changanya unga wa karafuu na mafuta ya nazi uwe unapaka immediately baada ya kunyoa
 
Back
Top Bottom