Mjasiriamali1
JF-Expert Member
- Jun 8, 2009
- 891
- 237
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni tatizo ambalo hata nami nimekutana nayo sana miaka kadha iliyopita
Elimu aliyotoa mhalisi ni nzuri lakini Mi naona bado haimalizi tatizo tajwa.
Fanya hivi,Acha ndevu ziote usiogope kabisa, hata unaweza acha kama mwezi moja hivi
Maana ukiacha ndevu hivyo yale maupele yanapungua ama kwisha kbs.
Sasa siku ya kwenda kunyoa hakikisha kabisa una kangua yote na ikiwezekana tumia wembe na hakikisha kbs una LIMAO moja hata mbili mkononi.
Ukimaliza tu kunyoa kata limao ktkt na pakaa kote kwenye usawa wa ndevu!
Hata kesho yake pakaa tena!
Halafu kama unatumia wembe sasa hakikisha baada ya siku tatu tena pitisha wembe tena na pakaa limao na hapo mwenyewe utaleta majibu hapa kwamba Jamiiforums kuna kila aina ya mtu.
Pole sana Kamanda!
Mi nimejaribu njia kibao but tatizo hili haliishi
Kwa muda mrefu now ninasumbiliwa na tatizo la kutoka vipele baada ya kunyoa ndevu,nimetafuta tiba sana lkn hakuna nafuu yani mpk nw sijui tiba nitaipata lini,mara ya mwisho dactari aliniambia vipele vinatokea bse ndevu zinapoota zinashindwa kupenyeza kwenye ngozi hivyo kujisokota kwa ndani na kusababisha vipele,plz anayefahamu tiba yake anipe taarifa.PLZ TUKAWA SERIOUS MTU ANAPOOMBA USHAURI AU MSAADA KWA MAMBO YANAYOGUSA AFYA NA SI KUANZA KUKEJELI.
Ok.usiuumize kichwa ipo gentlemanpride.isipokusaidia utarudishiwa pesa yako. I'm sure 200%. Mm nimesaau kbsa.
Nunua mashine yako ambayo mtakuwa hamchangii na mtu yeyote. Hii inasaidia kupunguza kuota mapele baada ya kunyoa kwa zaidi ya 97%. Hilo nina uhakika nalo kwani iliwahi kunitokea na Mimi miaka iliyopita.
nyoa kwa kutumia magic shave
tumia mashine ya umeme,achana na wembe
nyoa ndevu kwa Hair remover yaan hautapata michubuko ypoyote itakayokusababisha kutoka vipele!
Kitu chochote utakacho tumia
kikatoa ndevu zoooote!! Amini kama ngozi yako ni ya mafuta utaota upele
ambao hujawahi upata,, mf. Hair remover,magic shave poda,na zifananazo
.
Hili tatizo limekuwa ugonjwa kama UKIMWI maana dawa zilizopo ni kama kupunguza makali tu kama ARV.Wataalum wajipange upya
na mimi nna tatizo kama lako vipi mdau ulipata ufumbuzi ?
Mkuu mimi nakushudia
nilikuwa naota mapele baada ya kunyoa mpaka najiogopa. Kuna kipindi
mpaka kidevu kilianza kutoa magamba ukijikuna. Ukichukulia na rangi ya
ngozi yangu yaani kila MTU anaweza kujua kwamba nimezidiwa. Nilitumia
dawa za kila aina bila mafanikio, scrub sijui ya chumvi inakuwa kama
nimekolezea hivi. Niliponunua mashine yangu ya kunyolea kidevu changu
kimekuwa safi yaani mpaka najiuliza ni nini kilinitokea. Na mashine
yenyewe ni hela ndogo tu! Mi nilinunua 35000tshs