Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

ukikosa cha kuzungumza ni bora ukakaa kimya kuliko kuchangia utumbo hapa hili ni jukwaa la watu walio serious na matatizo yao bwana mdogo kujiunga Jf juzi isiwe kigezo cha kukashifu wakubwa zako ok!
 
ukikosa cha kuzungumza ni bora ukakaa kimya kuliko kuchangia utumbo hapa hili ni jukwaa la watu walio serious na matatizo yao bwana mdogo kujiunga Jf juzi isiwe kigezo cha kukashifu wakubwa zako ok!

nani huyo asiye na heshima kwa wakubwa zake?
 
hakuna Tatizo la nguvu za kiume love lazima iwe na connection ndio utaweza ku do hata mara 10 kwasiku upendo lazima uwepo mind yako lazima iwe ime relax na utafanya mapenzi bilashida
 




dogo hujui tu, hili ni janga la kitaifa...........................
 

Huyu dogo wasiwasi tu unamsumbua, akipata jimama likamshika vizuri atashangaa mwenyewe.
 
Wana JF ni matumaini yangu kuwa wote humu ni wazima! nimekuwa nikisikia kuwa kuna baadhi ya mazoezi ambayo mwanaume akiyafanya yanachangia kwa kiasi kikubwa kuongeza nguvu za kiume pamoja na kujenga stamina! naombeni kujua haya ni mazoez ya namna gani? senkyu olu!
 
TOROKA UJE??? hahahaaa unawashawishi dada zetu watoroke sio? ebana hta mm nshawahi kusikia stori kama hii ila 2wasubirie ma-expert kwa ufafanuzi zaidi!!
 
Kula vizuri fanya mazoezi pumzisha mwili wako.
 
Kama vp tembelea k2o cha afya kwa ushaur 2
 
Kuna mtu wakati wa tendo la ndoa baada ya tendo la 1 uume unaishiwa nguvu na wakati mwingine anashindwa kuendelea. anatumia nguvu kubwa sana ili isimame tena na iwe na nguvu. jaman anaomba ushauri. by the helper
 
Deadlifts na squats!Kiboko ya matatizo!Ila fanya kwa umakini,you don't wanna hurt your lower back!
 

Yanaitwa mazoezi ya Kegel.Humairisha misuli ya uume na kuzuia Premature Ejaculation hebu soma KEGEL EXERCISE HAPA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…