Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Tafuna vutunguu saumu na vitunguu maji,tikiti maji na mbegu zake tafuna usiziteme,tangawizi kwa sana,karafuu.mbona wengi e wanapiga hako kamoja tu wanaridhika na hawaoni tabu wewe mbili unalalamika unataka ungoe hapo
ilo nalo neno kaka
 
dahh nimekusoma
 
Bao 2 ukizitumia effective zinatosha kabisa kukuridhisha ww na mpenzi wako na mtu anayeweza kupiga bao 2 huwezi kusema ana upungufu wa nguvu, tatizo unataka kufanya ligi utafikiri unamkomoa mtu wakati hiyo ni starehe.
 
Nyama ya nguruwe.... kitimoto, parachichi, karanga, supu, mazoezi kidogo.... Utamwaga robo kikombe bao la kwanza...
 
guyz naomba mnitajie vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

Karanga, maziwa, samaki ndiyo usiseme. . .hasa wa maji baridi case study ya samaki na maziwa plus karanga ni wakerewe, huoni wanavyozaliana kama vinguruwe, kaya moja watu si chini ya kumi. Ziada kula na mayai ya kienyeji na asali,
 
wanaume,kazi mnayo.hii yote kwa ajili ya kuturidhisha tu.ahsanteni kwa hilo
 

Pamoja na mavyakula yote hayo mapozi ya mwanamke chumbani ni kichocheo kimojawapo.
 
Dawa simple, nenda bahari ya hindi tafuta kisiwa kisichokaliwa na watu, weka masikani yako hapo kwa mwaka mmoja. utashangaa ukitoka huko utakuwa na nguvu za ajabu. Kwa ufupi matibabu ya kukosa hizo nishati za kiume ni ya kisaikolojia zaidi.
 
kula tikikiti maji mkuu na mbegu zake tafuna...inasaidia kuongeza nguvu za kiume, hamu ya tendo lenyewe na pia inasaidia production ya mbegu .......
 
Tumia vitu hivi;
Maji mengi
Tikiti maji pia tafuna mbegu zake
Taboga
Korosho
Maziwa fresh
Karanga
Ndizi

Ila nakushauri upunguze mawazo
 
kunywa juice ya pilipili kwa siku glass moja inatosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…