Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Pole sana aisee dakika moja chali na wanawake wenyewe siku hizi tuna nguvu nyingii[emoji23][emoji23]
Fanya mazoezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake mnaangalia pono mnataka kushindana na wakwenye vidio, hafu hizo dude zimekomaa sikuhizi nadra sana kusikia binti analalamika kuwa kachubuka au anamaliza wiki nzima akinawa kule kunauma, enzi zile ukimgusa binti dk 40 tu hataki tena kurudia anachoka kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noted mkuu ntalifanyia kaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…