Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Ahsante sana ndugu yetu coutinho toka zenji kwa kutuwekea hii formula. Niliona watu wamelalamika sana kwenye ile thread yako ya mwanzo. Hakika hii formula itawaponya wengi. Hats vyakula ulivyoweka si vya gharama kubwa ukilinganisha na fedheha za kukosa nguvu za kiume au au kuwahi kumwaga mzigo. Nakushukuru kwa muda wako mwingi uliotumia kuandikahaoa ili watu waweze kurejesha uanaume wao. Nakuhakikishia wengi sana wataenda kutumia hii kitu. Cha msingi kama MTU umeoa na una hili tatizo mweleze waifu ili yeye ndo awe ananunua na kutayarisha. HAKIKA MAISHA YATARUDIA UPYA WAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante pia na hongera wa kua muelewa mm adi sasa napata matusi adi nafikia kujuta kwann niliandika Uzi huu ulionipata sijui watu wengine wanamaana gani hua wanapenda kuona watu wanaendelea na kua watumwa wa haya matatizo walikua wanajua mm nitaitaji pesa kwa RAIA hapana mm kutaka formula za watu kipindi naumwa kila MTU alinambia na bei yake adi laki 3 MTU anakwambia akupe Dawa nikasema nitatafuta na nikipona nitatoa somo kwa watu bureeee maana so wote tuna uwezo wa malaki hayo ila binadam sisi hatar haya matusi sijui wanamaana gani huko inbox wengine wanakwambia no being hii formula dah jaman sitaweza mm kuwapa na ela ya kununua hayo mahitaji kama kweli unapata aibu kwa ili jambo huez sema ivo mm sijaitaj ela nataka wanaume tupone mazali mm nimepona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uvumilie kwamba kila siku ufanye kwa wiki tatu au usifanye kwa wiki tatu? Sentesi tata
Wacha zKo wewe.

Ukiambiwa vumilia kula siku mbili huelewi?

Ukiambiwa vumilia kuendesha gari siku mbili huelewi?

Wee mkuu mswahili sana ujue[emoji16][emoji16]
Nakupa faida sasa"unapoambiwa vumilia kitu fulani ambacho kwa kawaida ni mazoea kufanyika basi hata usitajiwa uvumilie kufanya au kutofanya basi jua imekusudiwa kutofanya"

الجنون فنون
 
Wa saizi yako utamtambuaje?.
 
viswahili vya Pemba taabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…