Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Naomba msaada..jaman kama hospital umefanya sperm count three times no sperm..na wamechek testosterone zipo sawa,,,shida nn???
 
Umeoa ndugu na nn sababu ya kwenda kucheck sperm count.
 
Hili tatizo limekua kubwa kwa vijana hv chanzo ni nn wakuu??au unazaliwa nalo??
 
Naomba msaada..jaman kama hospital umefanya sperm count three times no sperm..na wamechek testosterone zipo sawa,,,shida nn???
Kama upo instagram mfollow dr boaz mkumbo md jina hilo hilo anatumia YouTube pia yapo na mawasiliano yake nadhani anaweza kukupa msaada kwa namna moja ama nyingine hasa kupitia lishe yako mwingine mcheki YouTube Dr Eric Berg Dc... All the best mkuu, nitafurahi siku moja ukanipa mrejesho
 
Dooh unakuta hapo ndiyo umeoa halafu ndugu wa mwanaume kutwa kumsema mwanamke hazai...kumbe tatizo ni kijana wao.

Pole Mkuu, ngoja waje wataalamu wakushauri, natumai utapata msaada.
 
No Sperm !!!! kama ni kweli basi pole sana. Waambie wakuambie chanzo cha tatizo ni nini kwa vipimo vyao.
 
Naomba msaada..jaman kama hospital umefanya sperm count three times no sperm..na wamechek testosterone zipo sawa,,,shida nn???
Kuna kitu yaitwa
STEM CELL THERAPY
kwa bidhaa kama
. DOUBLE STEM CELL OR CRYSTAL CELL
+SNOWPHYLL

unapona kabisaaaaa Google alafu tupigie +255767831345
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…