Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Daah ni akili yako tu mwenyewe, na type ya mwanamke uliye naye

Mm dem akiwa ana matako makubwa, malaini yani mda wote mnara unasoma 4G , ni mwenda wa kushusha mzigo, na kupakia mzigo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
malembeka18,

Ni tatizo la kisaikolojia je unachukua muda gan kuweza kurudia tendo jiamini tu mkuu madaktari wamekupa moyo sana hasa huyo wa Muhimbili


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
nachua masaa mawili au zaid kama niusiku nafanya kisha nna lala usiku wananane au alfajiri nkiwa usingizini uume utasimama sanaa naamka kufanya ..ila kuna nyakati mara tatu tofauti niliweza kudable baaya kukojolea nje sjawahi kujua hali ile ilitokana na nin mpaka nkaweza kudable
Ni tatizo la kisaikolojia je unachukua muda gan kuweza kurudia tendo jiamini tu mkuu madaktari wamekupa moyo sana hasa huyo wa muhimbili


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia dawa hii,

Kimbia kila siku zaidi ya dakika 30

Achana na vyakula vyenye mafuta, kula mboga za majani kwa wingi na matunda.

Kunywa maji mengi achana na soda na juisi za kwenye maboksi.

Baada mwezi njoo hapa utupe feedback ya hii dawa.
Wewe mtoa mada ukishindwa haya masharti usitusumbue tena.
 
Wewe uko vizuri kabisa. Kama vile walivyokuambia madoctor inategemeana na mtu ulienae,anacheza vipi kwenye nafasi yake. Wapo wanawake wengine hata kama ulikuwa hutaki,atakuchezea mpaka inasimama tena,ili mradi tu saikorojia yako iwe pale.

Cha kufanya sasa mchezee mkeo sana kwanza,muda mwingine mpaka apiiiz kabla hujazama. Ukija kuzama tu kuna muda mwingine umesema unajizuia mpaka dakika 10,basi jitahidi kujizuia tena na tena angalau ifike dakika 20,ili wife afike tena wakati iko ndani. Jinsi ya kujizuia ukipiga piga,ukiona wazungu wanataka kutelemka,acha kupiga,unakuwa kama unaichomoa kidogo nje.

Muhimu akili iwe hapo,usiwaze kwamba sijui nitaweza. Ukiwaza hivyo utajivuruga. Mwisho kama vipi siku moja nenda kiwanja cha ugenini.

Jitahidi hicho kiwanja cha ugenini kwanza kiwe kikali,pili ili kujijengea uwe huru kakipime kabisa kama kiko salama. Ikiwezekana lala nacho. Ukipiga kimoja tokeni mkazuge hata kwa kwenda nje,au kwenye vinywaji.

Mtakaporudi baadae itakuwa imechaji. Mechi ya ugenini itakujengea kujiamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usihangaike na kurudia tendo.

Kwanini unataka urudie?

Hujaridhika au unahisi mwenzio snataka tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona mimi mwenyewe mara nyingi napiga bao moja, ila hilo bao moja napiga zaidi ya dk 40.

Hivyo namcheki demu kama ameridhika au la, km hajaridhika namchapa lingine tena la zaidi ya lisaa lizima, ili heshima iwepo.
mara nyingi napiga 1 coz mke wangu linamchosha
 
mkuu kwenye kumchezea mke mda mrefu kama nikitumia dk30 kumuandaa yaani wakati katikatkat ya maandalizi yaani mnamo kwenye dakika ya kumi na uume unalala yaani kiufupi nkitumia mda mrefu kumuandaa ktkt ya huo mda uume utalala inabid nitumie mda mchache walau dk15 hivi kwa maandalizi.

Pia hilo la chuma cha nje kikali nliwahi kuwa nacho cha nje lakini cha kawaida sana ila nliweza kupiga bao mbili maana kilikuwa huru ktk sex na kilikua kinajiachia mno mbwembwe nyingi hivo bas nlivopizi baada ya dk40 ikaanza kuniandaa nyonya uume ninyonya maskio mara gafla uume huo umesimama nikapiga cha pili. Swet-R,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu nikifanya romance kwa mda mrefu baadae katikati ya romance uume unalala sielewi nikwanin mara nyingi inabid nifanye romance yadk10 hivi kuweka timingi uume usilale sasjui ni ninkinafanya uume ulale wakati waromanse ya mda mrefu ikiendelea
Jikite zaidi kwenye romance na mashamushamu. Kutiana iwe mwishoni kumalizia.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nahangaika kurudia najihisi kutotosheka japo nkishapizi huwa najiskia kukosa hamu kabisa yakurudia japo nafsi inataka tena na tena
pia mwenzangu mke huwa mara nyingi anakojoa ndani ya hizo dk10-15 nahuwa hapendi tuendelee lakini kuna siku nshawahi kufanya zaid yadk20 sjui ilikuaje mpaka nkafika zaid hizo dk lakini wife alichosema leo umejua kunifanya ndo nilinotise kuwa nahitaji kufanya kwa mda mrefu
Usihangaike na kurudia tendo.

Kwanini unataka urudie?

Hujaridhika au unahisi mwenzio snataka tena?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…