Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

[QUOTE="Kambaku,

Nimecheka japo mada haina vichekesho ila jibu lina vichekesho! Kaka kambaku suala la nguvu za kiume linaumiza wengi sana. Mie juzi juzi niliweka uzi wa namna ile ila mie tatizo langu halikuwa hivyo. Mie show zangu zilikuwa safi tu ila kwa mpenzi wangu wa sasa ile zamu za awali za kugegedana nilikuwa nakojoa haraka sana ila round ya pili ilikuwepo ila nayo ilikuwa ya haraka sana tofauti na kawaida hadi mwenzangu akaniukiza mbona hivyo.! Nilijmia sana kisaikolojia demu wangu kwa muda wa wiki nne kila weekend alikuwa anakuja kwangu ila alikuwa anajikuta anabaki na Ngenye tu hakuwa anafika Climax.
Nilianza kuangalia wapi nilikosea, nikaanza mazoezi ya Baiskeli na mazoezi mengine ambayo nikawa nafanya na demu wangu. Na pia nilibadili mfumo wa chakula.

Karanga kwa sana, Mihogo kwa sana(Mibichi na iliyochemshwa), Mbegu za maboga na Nazi za kutafuna. Nikiri kuwa katika hayo yote weekend hii mpenzi wangu alikuja kutaka kujua kama nimefuatilia na kama naendelea vzuri au lah.

Nilioiga show moja, na kwa mara kwanza tangu tumeanza mahusiano nikamuona analowa baada ya kumsugua kisawa sawa akaniambia nimepona na akshukuru pia maana naye Ngenye zilikuwa zimemjaa.

Ushauri wangu
1. Mazoezi
2. Chakula asili(Epuka mafuta)
3.Ajiamini ili kuondoa tatizo kichwani
4. Mpenzi wake anapaswa kumueleze ni style gani inaweza mfikishe kileleni.! Style hizi hapa chini [emoji1427][emoji1427][emoji1427] Na pia anaweza kuwa unamuandaa kwa muda mrefu sana hadi pale akikaribia kupata hisia sasa ndio anapanda kupiga show.
5. Suala la kurudiana round ya pili unaoswa usiwe unaifanya kwa haraka( Japo mimi huwa naunganisha yaani sipumziki) ila inakubidi uwe unapimzika na unaanza kupapasana na mwenzako. Ukishindwa hiyo nitafute inbox nikuelekeze nyingine.

Pole sana jamaaa

Kama utaso


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Malalamiko unaweza usiambiwe wewe akaambiwa mchepuko
 

Eti hatarudi tena kwako [emoji81][emoji81][emoji81]. Ushauri mzuri


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Simple.
1. Kunywa whisk kiasi au konyagi.
2. Kula kitimoto kama imani yako ya Dini inakuruhusu.
 
Elimu uliyopata kuhusu maswala ya ngono imekupotosha sana.
Kuna shule yenye mtazamo mpya na halisi unahitaji kuipata!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namuunga mkono mshauri aliyekushauri kuwa; Hilo bao lako moja linatosha saana ila ukilitumia vizuri. Swali; Je, huyu mkeo umeanza kumkuna nusu tangu lini?? Yaani, tangu umemuoa ulianzia siku hiyo hiyo kumkuna nusu?? Kama siyo, Je, ulianzia lini? Kwa nini ulianza kumkuna nusu?? Haya maswali ukiweza kuyajibu, utajua sababu.
Huenda, aliwahi kukukasirisha akakuuliza; Hivi ndivyo ulikuwa unamkuna nanihii wako?? Swali hilo huwa linamstua mwanamume na atakosa kujiamini kwa mwanamke wake. Atadhani hakumfikisha kilele.
Jambo jingine; Angalia ulipoanza kushusha perfomance. Je, hali yako ya kipato ilikuwa imeyumba?? Mara nyingi, wanaume hushuka ki perfomance kwa sababu ya kipato kuyumba.
Je, mkeo anakusaidia kukuamsha dude?? Kuna wengine ati hata nguo hawatoi. Anapandisha gauni tu na hiyo pichu anaitoa mguu mmoja. Yaani mnakuwa ka mnaiba. Sasa, utaacha kweli kupoa??
Mapenzi ni njia mbili. Nipe nikupe, hata kamguno kidogo hukufanya uone kuwa kidume nimemfikisha. Au aliwahi kukuambia kuwa; Hiki ni kidole chako umeingiza au?? Si tiyari umeona kuwa wewe umebeba kamchirizi tu badala ya muhugo??
Man yourself man. Jiamini na mtwange kwa uhakika bila wazo la kushindwa
 

Mechi za Ugenini zinasaidia sana kuondoa ile hali ya wasi wasi. Japo mie nilienda kuchukua hawa mademu wa barabarani ila baadae weekend ilipofika demu wangu akaja. Nilipiga show safi. Ila kwenye suala la kujizuia mtihani sana hapo, unaweza ukapiga zile in and out ile unayaka kupiiz ukitakusimama mwenzako anakuambia kazana nakaribia kumwaga unakazana tu wazungu hawa hapo [emoji23][emoji23][emoji23]. Mazoezi ni muhimu na Afya ya Akili nayo muhimu sana kwenye mechi kama hizi.


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
malembeka18,
Kama unapata 1 kwa siku na unashindwa kuongeza,piga kesho yake jingine,na uendelee na ikifka mwisho wa wiki ni 7, hayo sio haba,kwa mwezi ni 30 bado utakuwa kwenye top 10 ya wafungaji hodari...

Duuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Madam niamini mimi, alikoenda kote hakuna doctor aliemshauri aache kula chips yai na vyakula vingine vya Dar, hakuna doctor aliemshauri afanye mazoezi na hakuna doctor aliemshauri kupunguza msongo wa mawazo! Ni madoctor wako busy kupima sperm count!
mkuu ktk swala lavyakula niko makini nalo sana nnamiaka9 nakula vyakula vyenye kujenga mwili protin..pia swala la msongo wa mawazo nimeelezea hapo nshapita hadi kwa mwanasaikolojia..sehemu moja tu ndo namis ni katika mazoezi ila mengne yoote nayafanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu huu mseto nlishautumia kama mara mbili hivi ila skuona changes zozote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…