Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

Habarini mi nashida ya tatizo la nguvu za kiume na uume wangu mdogo sana kama wa mtoto nahitaji tiba nmeangaika sana nmekata tamaa ni muanga wa punyeto na xxx mwaka wa kumi huu unae da wa 11
 
Habarini mi nashida ya tatizo la nguvu za kiume na uume wangu mdogo sana kama wa mtoto nahitaji tiba nmeangaika sana nmekata tamaa ni muanga wa punyeto na xxx mwaka wa kumi huu unae da wa 11
Uume kama mtoto mdogo?Pole sana Mkuu
 
Habarini mi nashida ya tatizo la nguvu za kiume na uume wangu mdogo sana kama wa mtoto nahitaji tiba nmeangaika sana nmekata tamaa ni muanga wa punyeto na xxx mwaka wa kumi huu unae da wa 11
Kama Ni athari za pnyeto na xxx,tafuta unga wa msamitu kwenye maduka ya kisuni,changanya naafuta mgando ,paka kuzunguka uume Kila siku usiku kwa siku 14,na usipige pnyeto Wala kufanya mapenzi kwenye hizo siku,aaf ujiangalie ,tafuta pia full time demu.
 
Habarini mi nashida ya tatizo la nguvu za kiume na uume wangu mdogo sana kama wa mtoto nahitaji tiba nmeangaika sana nmekata tamaa ni muanga wa punyeto na xxx mwaka wa kumi huu unae da wa 11
Ukisimama huo uume unakuwa na inchi/ sm ngapi? Yamkini naweza kukusaidia, nijibu swali hili
 
kuna mtaalam mmoja huko facebook anajinadi Daniel nkiya akisema anayo tiba na watu wakisema mzigo upo vzr kama wapo mashuhuda wangejitokeza tuone anasaidiwa nini huyu ndugu
 
kuna mtaalam mmoja huko facebook anajinadi Daniel nkiya akisema anayo tiba na watu wakisema mzigo upo vzr kama wapo mashuhuda wangejitokeza tuone anasaidiwa nini huyu ndugu
Ntashukulu sana
 
kuna mtaalam mmoja huko facebook anajinadi Daniel nkiya akisema anayo tiba na watu wakisema mzigo upo vzr kama wapo mashuhuda wangejitokeza tuone anasaidiwa nini huyu ndugu
Kuna mashuhuda wa dawa zake??
 
Kuna mashuhuda wa dawa zake??
Niliona fb na baadhi ya watu wakishuhudia kuwa ni nzuri anazo za kukuza,nguvu,bawasili sasa nilimshauri lkn kama yupo shuhuda wa hizo dawa atoke tumsaidie ndugu yetu
 
hapana sio.....kupiga nyeto ni salama na hakuna madhara yoyote ila kuna faida mashine inakuwa kubwa kadri....

.....kwenda mzunguko wa pili kuna sababishwa na vitu kibao....hata mashine ya shori kama hailipi huwezi kujisikia kwenda mzunguko wapili....

Ndugu una scientific evidence kuthibitisha hili? isije ikawa na mawazo yako na unaifanya kama fact.

Maana nimetoka kusoma medical journal kuhusu faida na madhara ya kujichua and no where does it say that.

Niko apa chief ...naomba msahada

Mkuu nilitaka nijue tu kua Kuna dawa gani asili yenye nguvu Kama vagra, na kwann vagra ina nguvu kuliko hizi tunazo ambiwa Tutumie.?

MWANAUME MWENZENU NAANGAMIA, MSAADA TAFADHARI...

Wakuu mi ni kijana kabisa wa kiume, usidhani ati ni kijana wa kisiasa kama UVCCM, hapana ni kijana kabisa wa miaka 20's. Tatizo linalonisumbua ni kuwahi kufika mshindo na uume kulala kabla ya tendo( kwenye maandalizi pale).

Shida ilianza kitambo kidogo, mwanzo nlikua nikikutana na msichana nashindwa hata kusimamisha sijui ilikua hofu sijui ni nini, lakini kadri muda ulivoenda na kujaribu kwenda kwa madada poa kidogo kiwango kikapanda, nikawa naweza simamisha mara moja moja na kuwahi kufika yaani kama kuku vile dakika moja ni nyingi nshafika mshindo.

Hii hali Inaboa na kuumiza sana, sometimes mwenza anataka kupelekewa moto lakini mimi sasa ndo tatizo kubwa.

Uwezo wa kumuandaa mwanamke yeyote ninao mkubwa na anaweza kua wet akalegea kabisaa ila kumla sasa ndo ivo sekunde tu pwaaa ama lah nkimuandaa kwa muda kidogo mashine inalala na haiamki.

Wakuu mimi sio mdau wa chaputa, na bahati mbaya zaidi hata cha pili kuja ni baada ya muda mrefu hata dakika 20/30. Usidhani eti cha pili ndo madakika kibao, hapana ni sekunde hizo hizo wakuu.

Kwasasa nimekubali kuwa nina tatizo, nimeikubali hali yangu japo sijaipenda kabisa. Na sidhani kama eti nimeipata kwa sababu ya uraibu fulani katika huu ukubwa wangu, kwasababu tangu nimeanza mapenzi sijawahi kumudu tendo. Nadhani ni eidha nimezaliwa hivyo ama katika mkuzi yangu nikalivagaa hilo bila kujua ama ni ulaji wangu nikiwa nabalehe.

Wakuu,

Kwasasa sina pesa za kuwa naweza kwenda hospital nikapata matibabu ya hili tatizo, Naomba kama kuna njia sisizo na gharama/zenye gharama nafuu za kuweza kutatua tatizo langu hili.

Niwakumbushe tu wakuu tatizo langu ni kuwahi kufika kileleni yaani mapema mnooo ,kushindwa kuendelelea baada ya kupizi, na pia sometimes uume kulala wakati wa kuandaana tu. Naomba pia kama kuna namna ya kuimarisha uume naomba kujuzwa wakuu.

Inawezekana kuna wale waliowahi kupona kwa kufanya mambo mbalimbali, Jama Jama naomba basi mnishirikishe njia mlizotumia na mimi nifurahie tendo kama nyie jama.

Yafuatayo ni hiari yako kusoma/kuburudika/ kusikitika nami...
Acha niweke visa kadhaa vya aibu vilivyonipata kwa baadhi ya madem.

1. Huyu ni manzi portable mwenye kaumbo kake kazuri tu, nilimtaman mno. Basi bna siku ikaandaliwa akaja geto.... Kilichofuata ni aibu aibu aibu. Mtoto nmemuandaa fresh kabisa kalegea so poa bna bna mjegeje ukaniumbua haukusimama😳😳!!!. Yaani katikat ya maandalizi ngoma ndiiii ikalala mazima.
Daah nlisikitika na kupanick sana sana nikaishia tu kumchezea 😭😭. Huyu aliniacha kwa hii sababu japo alinipenda sana na mimi bahati mbaya sikuwahi kumwambia ukweli kua nna tatizo akasepa akijua mi sina hisia nae/namuona mbaya/ nna madem wengi hivo sioni uzuri wake/ sivutiwi nae na sababu kama hizo.

2. Hiki kisa ni cha majuzi tu, huyu manzi yeye ni wa mtaa wa pili tu hapo. Nilimtongoza (sijisifu ila kipaji cha kutongoza ninacho aisee sio rahisi manzi kuchomoa), basi siku ya siku akanitunuku mbususu, daah aibu ikanikumba tena ila hii nilipiga km kuku chaaaap wazungu haooo. Kwasababu nilimuandaa mno nadhan aliridhika kwa hicho hicho cha kuku.

3. Huyu ndo hadi aliacha kunitafuta kabisa, huyu nae alitimba geto maandalizi finyu na kama kawaida chaap wazungu hao, kiukweli huyu hata mi niliona kabisa hajaridhika zaidi zaidi nimemuongezea genye tu.

4. Aisee hii pia ni aibu ya karne, sio aibu tu bali ni aibu iliyoandamana na hasara kubwa. Huyu bidada hakutaka kuonekana kitaa kua anakuja geto so ikabidi tuende mbali kidogo, huko nikaingiwa na hasara ya chakula na vinywaji+ pesa ya gesti.

Usiombe yakukute mwanaume, ile siku jololoo haikusimama ndgu msomaji, iligoma katakata , sasa unadhani nikafanyaje basi ikabidi mtoto nimrudishe kwao bila kupata kilichoniingiza gharama ivo.

Note: Usidhani eti Mmanyanigho ni kitombi sana, sasa ukitombi nautolea wapi na hali yangu ndgu zangu. Ni vile tu najaribu labda huyu ntadumu ama huyu itakua tofauti ila ndo ivo kote bilabila. Kuna kipindi mpaka nikataka nivute jani kwa kusikia eti litanipa stamina ya hatari, ila nashkuru Mungu sikuingia huko.

Sasa hivi nimeona tu hali yangu ndio hii, nimeanza mazoezi ya kegel taratibu taratibu labda ntapata matokeo chanya.

KakaJambazi usiombe yakukute ni AIBU AIBU AIBU.

Bei ya hiyo kitu ikoje mkuu.??
Na pia si naskia ni vizuri ili kuitumia upate ushauri wa dktari inaweza kuleta madhara mkuu.

Karanga zinasaidia nini mkuu? Kuchelewa kufika or hamu ya tendo? Fafanuwa mkuu

Haifunguki chifu. Ebu nierekeze mazoezi gani ayo ya kukaza misuli?

Na kama nyeto nimeacha miaka 6 iliyopitaa.maana nikienda moja ya pili inanisumbua sana dr

Msaada wakuu tafadhali, ni miezi nane sasa toka nimekumbwa na hili tatizo la uume kusimama legelege na hata ikitokea umesimama vizuri haizidi dakika moja unakuwa umelala au sometimes wakati wa maandalizi unasimama ila ukitaka kuingiza unalala au unakuwa umesimama kidogo wakati wa maandalizi hii hali imenitesa sana kwa kweli sana yani na ilianza kuwa hivi baada ya kutumia vicks ili kuchelewa kidogo kufika mshindo kumbe ndio nilikuwa naharibu kabisa, nilijaribu kutumia zile bidhaa za forever living products zilinisaidia kwa miezi miwili tu tatizo likarudi tena,, nikajaribu michanganyiko ya asali vitunguu saumu na tangawizi vikasaidia kidogo ila wapi ,, juzi kati nilienda hospitali wakanipima testosterone level, magonjwa ya zina na sperm analysis wakaniambia nipo sawa wakaniambia shida ni saikolojia lakini nikamwambia doctor tatizo lilianza baada ya kutumia vicks lakini wakaegemea kwenye hivyo vipimo akaniandikia dawa ya amitriptyline kwa ajili ya msongo wa mawazo na natural vitamin E lakini sikutumia kutokana na side effects zake,, wakuu mwenye ushauri au kujua suluhisho naomba anisaidie natangulisha shukrani

Kwahio nani kapona atoe ushuhuda? Dawa gani katumia ukiacha hizo za Hospital. Tupeane hio michongo kulinda heshima

Almond ndiyo nini? Unaweza kuweka picha yake?

Almond ni nini

Habarini mi nashida ya tatizo la nguvu za kiume na uume wangu mdogo sana kama wa mtoto nahitaji tiba nmeangaika sana nmekata tamaa ni muanga wa punyeto na xxx mwaka wa kumi huu unae da wa 11

kuna mtaalam mmoja huko facebook anajinadi Daniel nkiya akisema anayo tiba na watu wakisema mzigo upo vzr kama wapo mashuhuda wangejitokeza tuone anasaidiwa nini huyu ndugu

Kuna mashuhuda wa dawa zake??
Watu wengi wanahangaika na tiba ya upungufu wa nguvu za kiume ila mimi nitaongelea katika suala la kujichua tu (punyeto). Kumbuka mimi siyo daktari wala siuzi dawa. Hii ni elimu tunapeana kama wanaume
Amini hili suala la upungufu wa nguvu za kiume baada ya kuathirika na punyeto linatibika na mimi nimepona. Huu ni ushuhuda wangu 100%. Nilianza tabia ya kujichua baada ya kuangalia picha na video za utupu, nilijichua kwa muda mrefu na madhara yake yalikuwa haya
  • Nawahi kumaliza chini ya dakika 1
  • Uume unakuwa mdogo kama wa mtoto mdogo
  • Sina hisia na mwanamke. Ile hamu ya kusimamisha haipo ipo kwa mbali sana
  • Mapigo ya moyo kupungua hata kutokuwepo. Hii hutokea ambapo unapokuwa na hisia za kujamiana, mapigo hudunda haraka haraka kusukuma damu nyingi kupeleka kwenye uume. Hali hii hutoweka
  • Uume kusimama legelege, huwezi kusimamisha kama msumari kwa dakika 2 na kuendelea.
  • Ukisimamisha na ukapata msuguano kidogo sana, unaweza ukapizi ndani ya boksa. Unaweza ukawa unashikana na mwanamke kimahaba ila ukajikuta umemwaga hata haujavua nguo.
Unajua kuchanganyikiwa kwa mwanaume ni katika hali hii. Nilichanganyikiwa hasa. Nilichofanya
Nilienda hospitali moja ya private (Jina kapuni) huko Dodoma nikamuelezea dokta hivi
1. Nawahi kumaliza, chini ya dakika moja
2. Mimi ni muathirika wa punyeto. Nilikuwa najichua
Watu wengi wanashindwa kupata matibabu kwasababu
A. Hawaendi katika hospitali kubwa. Unatakiwa uende hospitali kubwa za serikali au binafsi
B. Kutojielezea vizuri. Hawatoi maelezo yaliyojitosheleza.
C. Uelewa wa daktari na jinsia. Ukikutana daktari kipanga atakuandikia dawa nzuri na pia angalia jinsia hasa mwanaume.
D. Aibu. Acha kuwa na aibu hayo ndiyo mashai yako
Daktari aliniandikia dawa 4 ( majina kampuni) ambazo zilinigharimu kiasi cha 60,000 za kitanzania. Dawa mbili hazikuwepo hospitalini, mbili zingine nilinunua kwenye duka la dawa lililo jirani na hospitali hiyo. Mpaka leo risiti zake za dawa ninazo. Nimewekea lamination kabisa
Nilitumia dawa kwa miezi 3, ilikuwa 2015-06-06. Niliacha kujichua na kuangalia picha za X.
Baada ya kutumia dawa hizi niliona mabadiliko haya
1. Uume ulirudi katika hali yake ya awali. Ulikuwa mkubwa
2. Nilianza kusimamisha mpk unauma. Nasimamisha msumari
3. Nilianza kupata hisia ya kujamiana
4. Niliona mapigo ya moyo yanaenda mbio, moyo kusukuma damu nyingi kuepeleka kwenye uume.
Baada ya hapo nilianza kutumia asali ya nyuki wakubwa na wadogo pia. Nilitumia kama wiki 3 hivi. Asubuhi nakunywa vijiko 3 mpk 4, mchana na usiku. Kuna wakati nakunywa asali iliyojaa kwenye kichupa cha milimilita 300 kwa mara moja, kuna wakati natumia kulia na ugali.
Nikaja kutumia dawa (jina kapuni). Nilimeza kidonge kimoja tu kwa usiku mmoja na sijawahi kutumia tena mpaka leo hii. Kinauzwa 1500 mpaka 3500 kulingana na mkoa
Nikianza kupiga show natumia dakika 22 mpaka 30, hamu napata, kwa siku naweza kupiga show nyingi na simwagi mapema, naenda style zote. Kuna wakati sili chakula kwa wakati, maji sinywi kwa wakati na sifanyi mazoezi ila show napiga mpaka shemeji yenu anadai amechoka.
Unayesoma soma comment hii, matibabu ya kweli yapo hospitali. Nenda hospitalini. Ukapate tiba na acha kujichua. Siuzi dawa wala siyo daktari. Mimi ni mhanga kama ulivyo wewe tu.
 
Watu wengi wanahangaika na tiba ya upungufu wa nguvu za kiume ila mimi nitaongelea katika suala la kujichua tu (punyeto). Kumbuka mimi siyo daktari wala siuzi dawa. Hii ni elimu tunapeana kama wanaume
Amini hili suala la upungufu wa nguvu za kiume baada ya kuathirika na punyeto linatibika na mimi nimepona. Huu ni ushuhuda wangu 100%. Nilianza tabia ya kujichua baada ya kuangalia picha na video za utupu, nilijichua kwa muda mrefu na madhara yake yalikuwa haya
  • Nawahi kumaliza chini ya dakika 1
  • Uume unakuwa mdogo kama wa mtoto mdogo
  • Sina hisia na mwanamke. Ile hamu ya kusimamisha haipo ipo kwa mbali sana
  • Mapigo ya moyo kupungua hata kutokuwepo. Hii hutokea ambapo unapokuwa na hisia za kujamiana, mapigo hudunda haraka haraka kusukuma damu nyingi kupeleka kwenye uume. Hali hii hutoweka
  • Uume kusimama legelege, huwezi kusimamisha kama msumari kwa dakika 2 na kuendelea.
  • Ukisimamisha na ukapata msuguano kidogo sana, unaweza ukapizi ndani ya boksa. Unaweza ukawa unashikana na mwanamke kimahaba ila ukajikuta umemwaga hata haujavua nguo.
Unajua kuchanganyikiwa kwa mwanaume ni katika hali hii. Nilichanganyikiwa hasa. Nilichofanya
Nilienda hospitali moja ya private (Jina kapuni) huko Dodoma nikamuelezea dokta hivi
1. Nawahi kumaliza, chini ya dakika moja
2. Mimi ni muathirika wa punyeto. Nilikuwa najichua
Watu wengi wanashindwa kupata matibabu kwasababu
A. Hawaendi katika hospitali kubwa. Unatakiwa uende hospitali kubwa za serikali au binafsi
B. Kutojielezea vizuri. Hawatoi maelezo yaliyojitosheleza.
C. Uelewa wa daktari na jinsia. Ukikutana daktari kipanga atakuandikia dawa nzuri na pia angalia jinsia hasa mwanaume.
D. Aibu. Acha kuwa na aibu hayo ndiyo mashai yako
Daktari aliniandikia dawa 4 ( majina kampuni) ambazo zilinigharimu kiasi cha 60,000 za kitanzania. Dawa mbili hazikuwepo hospitalini, mbili zingine nilinunua kwenye duka la dawa lililo jirani na hospitali hiyo. Mpaka leo risiti zake za dawa ninazo. Nimewekea lamination kabisa
Nilitumia dawa kwa miezi 3, ilikuwa 2015-06-06. Niliacha kujichua na kuangalia picha za X.
Baada ya kutumia dawa hizi niliona mabadiliko haya
1. Uume ulirudi katika hali yake ya awali. Ulikuwa mkubwa
2. Nilianza kusimamisha mpk unauma. Nasimamisha msumari
3. Nilianza kupata hisia ya kujamiana
4. Niliona mapigo ya moyo yanaenda mbio, moyo kusukuma damu nyingi kuepeleka kwenye uume.
Baada ya hapo nilianza kutumia asali ya nyuki wakubwa na wadogo pia. Nilitumia kama wiki 3 hivi. Asubuhi nakunywa vijiko 3 mpk 4, mchana na usiku. Kuna wakati nakunywa asali iliyojaa kwenye kichupa cha milimilita 300 kwa mara moja, kuna wakati natumia kulia na ugali.
Nikaja kutumia dawa (jina kapuni). Nilimeza kidonge kimoja tu kwa usiku mmoja na sijawahi kutumia tena mpaka leo hii. Kinauzwa 1500 mpaka 3500 kulingana na mkoa
Nikianza kupiga show natumia dakika 22 mpaka 30, hamu napata, kwa siku naweza kupiga show nyingi na simwagi mapema, naenda style zote. Kuna wakati sili chakula kwa wakati, maji sinywi kwa wakati na sifanyi mazoezi ila show napiga mpaka shemeji yenu anadai amechoka.
Unayesoma soma comment hii, matibabu ya kweli yapo hospitali. Nenda hospitalini. Ukapate tiba na acha kujichua. Siuzi dawa wala siyo daktari. Mimi ni mhanga kama ulivyo wewe tu.
Hoffenheim

Weka vitu wazi Huna haja ya kuficha. Taja jina la hospitali na dawa ulizopewa ili watu wanufaike nazo. Maelezo yamekuwa mengi km unafanya promotion. Fupisha stori tumsaidie jamaa huyo.
 
Hoffenheim

Weka vitu wazi Huna haja ya kuficha. Taja jina la hospitali na dawa ulizopewa ili watu wanufaike nazo. Maelezo yamekuwa mengi km unafanya promotion. Fupisha stori tumsaidie jamaa huyo.
AENDE HOSPITALI
 
AENDE HOSPITALI
Sawa inawezekana alishaenda. Kuna ugumu gani kutaja hospitali, daktari na dawa ulizotumia?
Napata wasiwasi kuwa huna nia ya msaada ila una jambo. Maelezo mengi lakini taarifa muhimu hakuna. Itakuwa unataka watu waje inbox ili biashara ifanyike. Weka kila kitu hapa hadharani.
 
Watu wengi wanahangaika na tiba ya upungufu wa nguvu za kiume ila mimi nitaongelea katika suala la kujichua tu (punyeto). Kumbuka mimi siyo daktari wala siuzi dawa. Hii ni elimu tunapeana kama wanaume
Amini hili suala la upungufu wa nguvu za kiume baada ya kuathirika na punyeto linatibika na mimi nimepona. Huu ni ushuhuda wangu 100%. Nilianza tabia ya kujichua baada ya kuangalia picha na video za utupu, nilijichua kwa muda mrefu na madhara yake yalikuwa haya
  • Nawahi kumaliza chini ya dakika 1
  • Uume unakuwa mdogo kama wa mtoto mdogo
  • Sina hisia na mwanamke. Ile hamu ya kusimamisha haipo ipo kwa mbali sana
  • Mapigo ya moyo kupungua hata kutokuwepo. Hii hutokea ambapo unapokuwa na hisia za kujamiana, mapigo hudunda haraka haraka kusukuma damu nyingi kupeleka kwenye uume. Hali hii hutoweka
  • Uume kusimama legelege, huwezi kusimamisha kama msumari kwa dakika 2 na kuendelea.
  • Ukisimamisha na ukapata msuguano kidogo sana, unaweza ukapizi ndani ya boksa. Unaweza ukawa unashikana na mwanamke kimahaba ila ukajikuta umemwaga hata haujavua nguo.
Unajua kuchanganyikiwa kwa mwanaume ni katika hali hii. Nilichanganyikiwa hasa. Nilichofanya
Nilienda hospitali moja ya private (Jina kapuni) huko Dodoma nikamuelezea dokta hivi
1. Nawahi kumaliza, chini ya dakika moja
2. Mimi ni muathirika wa punyeto. Nilikuwa najichua
Watu wengi wanashindwa kupata matibabu kwasababu
A. Hawaendi katika hospitali kubwa. Unatakiwa uende hospitali kubwa za serikali au binafsi
B. Kutojielezea vizuri. Hawatoi maelezo yaliyojitosheleza.
C. Uelewa wa daktari na jinsia. Ukikutana daktari kipanga atakuandikia dawa nzuri na pia angalia jinsia hasa mwanaume.
D. Aibu. Acha kuwa na aibu hayo ndiyo mashai yako
Daktari aliniandikia dawa 4 ( majina kampuni) ambazo zilinigharimu kiasi cha 60,000 za kitanzania. Dawa mbili hazikuwepo hospitalini, mbili zingine nilinunua kwenye duka la dawa lililo jirani na hospitali hiyo. Mpaka leo risiti zake za dawa ninazo. Nimewekea lamination kabisa
Nilitumia dawa kwa miezi 3, ilikuwa 2015-06-06. Niliacha kujichua na kuangalia picha za X.
Baada ya kutumia dawa hizi niliona mabadiliko haya
1. Uume ulirudi katika hali yake ya awali. Ulikuwa mkubwa
2. Nilianza kusimamisha mpk unauma. Nasimamisha msumari
3. Nilianza kupata hisia ya kujamiana
4. Niliona mapigo ya moyo yanaenda mbio, moyo kusukuma damu nyingi kuepeleka kwenye uume.
Baada ya hapo nilianza kutumia asali ya nyuki wakubwa na wadogo pia. Nilitumia kama wiki 3 hivi. Asubuhi nakunywa vijiko 3 mpk 4, mchana na usiku. Kuna wakati nakunywa asali iliyojaa kwenye kichupa cha milimilita 300 kwa mara moja, kuna wakati natumia kulia na ugali.
Nikaja kutumia dawa (jina kapuni). Nilimeza kidonge kimoja tu kwa usiku mmoja na sijawahi kutumia tena mpaka leo hii. Kinauzwa 1500 mpaka 3500 kulingana na mkoa
Nikianza kupiga show natumia dakika 22 mpaka 30, hamu napata, kwa siku naweza kupiga show nyingi na simwagi mapema, naenda style zote. Kuna wakati sili chakula kwa wakati, maji sinywi kwa wakati na sifanyi mazoezi ila show napiga mpaka shemeji yenu anadai amechoka.
Unayesoma soma comment hii, matibabu ya kweli yapo hospitali. Nenda hospitalini. Ukapate tiba na acha kujichua. Siuzi dawa wala siyo daktari. Mimi ni mhanga kama ulivyo wewe tu.
Huyu tapel anataka wamfate pm
 
Back
Top Bottom