kama mleta mada hajajibu sasa mim naomba ligeukie kwangu
kiukweli hata mimi imepindia kushoto,
--na si kuwa limeanza jana au juzi ni tokea nimeanza kujielewa
-kupinda kwake hakunizuii kufanya lolote
-ila tatzo linakuja ni kwamba nikishamaliza round ya kwanza nnapokuwa nataka kwenda round 2 (baada ya bao la kwanza si huwa imelala)
inapoanza kusimama ndo huwa nasikia maumiv nayo huwa hayanizuii kuendelea na tendo
na haijapindia ndani ni kwa nje
sijui kama nimeeleweka!!!
cc
watu8,
MziziMkavu na wengine mnaofahamu tiba..