Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

duu!
Hata mie imepinda! Teeh!teeh! Nilijua nipo mwenyewe kumbe 2po wengi! Mashine kuelekea kushoto oyeeeeee!
 
huna tatizo lolote kijana....hayo ndio madhara ya uvaaji wa chupi...nashukuru mimi wazazi wangu hasa baba alipiga maruku uvaaji wa chupi ni mwendo wa bucta tu na sasa mashine kama lula....

Teeh.....teeh..... Nimechekaje!!!!!! Eti kama rula so ikipinda tu inavunjika hiyo.
 
Najua mtu anayeleta mzaha humu, halijampata. Kama hujui kufa nenda kaone kaburi. Mwenzenu ana tatizo, kumbe kama mtu hana jipya asipost
 
Weyani haunakitu cha kupost uboo kupinda usababisha ugumba duhu wekweli unautani.
 
speaking of myself nilipokua mdogo uume wangu ilikua mrefu na ulionyooka ikla nilpoanza kudinda ndio uume ukaanza kupinda nikafanya uchunguzi nikagundua ni chupi iliyokua ikinibana sana ila dawa yake ni kutokuvaa chupi now unaanza kunyooka
 
jaman wanandugu naomben masaada, kuna rafiki yangu, uume wake umepinda. Kwa anayeweza kufahamu tiba nzur ili kuweza kuwa katika hali iliyonyooka. Ahsanten
 
  1. Ndivyo alivyo tangu kuzaliwa? Kama sivyo,je una muda gani?
  2. Unamzuia kufanya chochote?
  3. Anapata maumivu?
 
  1. Ndivyo alivyo tangu kuzaliwa? Kama sivyo,je una muda gani?
  2. Unamzuia kufanya chochote?
  3. Anapata maumivu?


kama mleta mada hajajibu sasa mim naomba ligeukie kwangu
kiukweli hata mimi imepindia kushoto,
--na si kuwa limeanza jana au juzi ni tokea nimeanza kujielewa
-kupinda kwake hakunizuii kufanya lolote
-ila tatzo linakuja ni kwamba nikishamaliza round ya kwanza nnapokuwa nataka kwenda round 2 (baada ya bao la kwanza si huwa imelala)
inapoanza kusimama ndo huwa nasikia maumiv nayo huwa hayanizuii kuendelea na tendo
na haijapindia ndani ni kwa nje
sijui kama nimeeleweka!!!

cc watu8, MziziMkavu na wengine mnaofahamu tiba..
 
Last edited by a moderator:
Upo sawa mkuu wala sio kasoro...uume mara nyingi hupinda kutokana na kuzoea kuubana upande mmoja mara kwa mara...

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…