Dah kumbe tuko wengi ila kwa mimi nimepitia sana michezo michafu ya kupiga nyeto yaani kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha nne sikuwahi kutomba hata mara moja… miaka minne kila wikiendi na jichuaa !!… nilikuja kuonja **** tena kwa kupewa na kulazimishwa sana na yule manzi… nikapiga kimmoja niasepa..
Sasa mimi sio kwamba haisimami, inasimama muda mwingine ila nikipiga napiga bao moja na kusubiriaa isimame kwa muda mrefu sana, ila nikijifanya nataka kuunganisha yaani bao la kwanza na la pili ndo mboro inakuwa ndogo mfano ya mtoto mdogo !!
All in all nimesoma comments zenu ntalifanyia kazi hasa nianze ratiba za kegel exercise, mlonge ,juice ya rozela, mazoezi ya mwili mzima maana hapa nakitambi flani hivi bado hakija nizidi piaa na uzito wa juu W87KG… mdalasin, Asali mbichi, n.k
Nilitamani sana nikapime kiwango cha Testosterene, pia na maumivu ya mgogo hasa kwa chini uelekee wa kiuno, sjui umetokana na nini ila nafikiri ni kati ya hivi vitu viwili ( kuendesha pikpik sana au ubebaji wa vitu vizito unaweza kuwa umenitengua )
Ila nikiwaga kwenye Best mood aisee mboro huwa inakiwaga timamu sana!! Napiga mpaka demu anataka kukimbia
Umri wangu kwa sasa miaka 30 …..
Asubuhi sana