Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Pole yake sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole yake sana...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nimeshakubuhu nitakuua bure. Tafuta chipukizi kwanza ukishagraduate ndio uje.
Mbna unachozungumzia ni tofauti na tatizo la mtoa mada.Inaonekana una mchango bwana mdogo, dalili ya huo mchango ni:-
1. Tumbo la chini kuunguruma mara tu unapotaka kufanya tendo.
2. Korodani kurudi ndani au kuonekana zikijongea.
3. Kuhisi maumivu chini ya kitovu.
Nb: Kama una dalili kama hizo tafuta dawa ya mchango. Hospital hawana tiba.
Khaaaaah??? Ndo nn??Je ulishawahi kupata hisia za kuguswa kwa mgongo?
Yaaan huwa mnawaza nn kwani?sisi tuliojaliwa watoto wa kiume, kila siku tunaangalia kwa ukaribu sana. Asubuhi utaona kanasimamisha, ukikaogesha ukikagusa kana respond, kakiwa kanakojoa unaangalia kanarusha mkojo? Unasema Asante Mungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Endelea kupiga nyeto utakuwa mdogo zaidi ya hivo
Ushirikina huu...Pole sana kijana kama umeenda hospital na umeambiwa huna shida ya minor, U.T.I sugu, stress nk ngoja nikwambie sasa tafuta samaki aina ya kambale yule aliyevuliwa bado mzima ambaye ukimrudisha kwenye maji anaendelea kuishi sawa
Chukua uyo samaki mchanje atoe damu kisha na wewe jichanje sehemu ya uume wako utoe tamu kisha chukua ile damu ya kambale paka pale kwenye uume wako ulipochanja yani damu ya kambale ikutane na damu yako kisha paka chumvi kisha mrudishe uyo samaki kwenye maji aende zake in two days mnara unamka
Unaangalia kama kuna makosa ya kiufundi ama lahYaaan huwa mnawaza nn kwani?
Naomba unielekeze hyo hospital namm nikatibiwe gesi tumboni imekuwa nyingi mnoKwa tatizo la huyo mtu aliambiwa ni gesi ndio shida na alitibiwa akanipigia simu kuwa amekaa sana.
Mengineyo sijui mana mimi sio mtabibu