Tatizo la Waislamu ni kwamba dini yao ni nzuri lakini hawaifuati

Hizo Pombe zinawekwa eostrogeni homoni ya kike mwisho wa siku wanywa pombe wengi mnaota vitambi,matiti ,ukosefu wa nguvu za kiume na baya zaidi wengine mnakua gays kabisa.


Kunywa Pombe sio sifa .
Mbona waislamu wengi tu wanakunywa pombe na baadhi hata kitimoto wanakula? Au tunarudi kulekule kuwa siyo wote wanafuata mafundisho kwenye dini zao?
 
Koran 4:89. Wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Allah. Na wakikengeuka basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi
 
Koran
5;51. Enyi mlio amini!(waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Swadaqta! huyo msukuma hajui chochote hata ukristo haujui 😅😅😅ushamba ni jadi yake na elimu tatizo.

Achana nae.!!
Koran
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Koran
5;51. Enyi mlio amini!(waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki......
9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Koran
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
Rudia kusoma
 
Hata Ukristo hivyo hivyo ni lazima uwe mfungwa Duniani ukitaka kuwa Mkristo wa kweli
 
😂😂Ayah ikiwa inafafanuliwa wewe unacheza disco
Koran 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Sio kweli.Wakulaumiwa ni hao waliompeleka huyu aliyetekws huko Nigeria.Kule kuna makundi mengi ya uhalifu.Ni sawa hivi sasa umpeleke mwanafunzi Sudan,Urusi au Ukraine,unategemea nini?Usalama kwanza,mengine baadaye.

Unaelea hata maana ya gosple mission au unajiongelesha,injili hachagui pa kwenda kuhubiriwa.
 
Koran 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
Sasa huoni ayah imekamilika unataka nn sasa hapo?
 
😂😂Ayah ikiwa inafafanuliwa wewe unacheza disco
Koran 47;4. Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu
9;5.
Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni.
 
Sasa huoni ayah imekamilika unataka nn sasa hapo?
Muache kutumia takiya kuwadanganya watu humu kwamba mna urafiki na wakristo, kati watu allah anawachukiwa ni wakristo na wayahudi kuliko na amesema wazi ukifanya urafiki nao hutakuwa chochote mbele zake
 

I wish hawa waione hii
 

Hawa wanamafundisho gani?
 

Hili ni povu,hata mtoto wa chekechea hawezi andika upupu kama huu. Hata shetani ana mazuri yake sembuse dini ya uslamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…