gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
Asante mpenzi,, maybe we overdid na ni kweli it was a long time kidogo sikua na mtu b4 him,,, asante kwa kuni assure
basi sheria ya zoezi iko hivi leo kikimbia laps 3 ukaugua kesho ongeza ziwe 4 yaani usishushe bali upandishe dozi ili ujue max limit kwako ni ipi na ukiifikia hiyo hutoumwa tena.
hongera kwa kupata kitu adimu hicho dada wenzio hadi wanazeeka hawajui climax inafananaje.