Tatizo la Waraka wa shehe Ponda ni zile takwimu hazina uhakika na ni kinyume na sheria

Tatizo la Waraka wa shehe Ponda ni zile takwimu hazina uhakika na ni kinyume na sheria

Huyu ponda nae,,aache tu,,kikubwa uzima,,huyu si alikula shaba ya koromeo?,,bado hajakoma?,,aache tu...
 
Hao majority ni akina nani? Dr Hussein Mwinyi yupo? Mama Samia? Selemani Jaffo? Hamisi Kigwangala? Kassim Majaliwa? Jaji Mkuu Prof Ibrahim Juma? Dr Bashiru Ally? Mufti Abubakar Zubeir? Sheikh Alhadi? BAKWATA yote? Akina nani?
Mwenyekiti wa Shura ameukana waraka.
Tuepukane na generalized sweeping statements kama hizo.

Hao uliowataja hawana maamuzi yoyote, wao ni walinda vyeo tu. Huyo mwenyekiti lazima aukane kwa ajili ya usalama wake. Kitu ambacho hawezi kukikana, ni ukweli ulio ndani ya huo waraka fullstop.
 
Hao majority ni akina nani? Dr Hussein Mwinyi yupo? Mama Samia? Selemani Jaffo? Hamisi Kigwangala? Kassim Majaliwa? Jaji Mkuu Prof Ibrahim Juma? Dr Bashiru Ally? Mufti Abubakar Zubeir? Sheikh Alhadi? BAKWATA yote? Akina nani?
Mwenyekiti wa Shura ameukana waraka.
Tuepukane na generalized sweeping statements kama hizo.

Hao uliowataja ni wachache sana katika asilimia nyingi za waislamu nchini.

Mwenyekiti wa shura kuukana waraka haufanyi waraka usiwe wa shura, kaukana yeye binafsi siyo shura iliyoukana.

Hata Petro alimkana Yesu mara tatu hii haimaanishi kuwa ni kweli alikuwa hamjui Yesu
 
Hao uliowataja ni wachache sana katika asilimia nyingi za waislamu nchini.

Mwenyekiti wa shura kuukana waraka haufanyi waraka usiwe wa shura, kaukana yeye binafsi siyo shura iliyoukana.

Hata Petro alimkana Yesu mara tatu hii haimaanishi kuwa ni kweli alikuwa hamjui Yesu
Sawa mkuu, naweza kukubaliana nawe kuhusu hao niliowataja. Una ushahidi gani kuhusu hao majority?
 
Wana CCM kila atakae ongea "UKWELI" lazima apingwe. Tumewazoea.

Turudi kwenye "HOJA KUU" ya swala la "KUTENDA HAKI", dini zote zinalitilia mkazo hili swala. Na hata mungu awawaonya vikali na amewa ahidi kuwapa adhabu kali sana wale wote wanao wanao "PINDISHA/KUNYIMA/KUDHULUMU" haki.

Hata kama utadhulumu "PIPI MOJA" katika kontena zima la 40FT basi jiandae na adhabu kali sana kwa mola wako.

Kuomba "TUME HURU" ni kwasababu "HAKI ITENDEKE". Sio swala la kichama hilo.
Serikali haina dini wala kabila! Hebu acheni kulialia
 
Ccm ndio inategemea ruzuku maana haijawahi kuishi nje ya mbeleko ya serikali, toka enzi za mfumo wa chama kimoja. Wapinzani wengi wanajivunia kukubalika na umma kuliko ruzuku.
Umma upi unaouzungumzia kukubalika na wapinzani? Mkuu acha kuleta vichekesho
 
Sawa mkuu, naweza kukubaliana nawe kuhusu hao niliowataja. Una ushahidi gani kuhusu hao majority?

Ni simple, tembelea misiba, harusi, shughuli za kijamii zinazohusu waislamu, pindi wakijadili mustakbali wao katika nchi. Hawafurahishwi na namna teuzi zinavyofanywa. Hawafurahiswi na teuzi ambazo kila wakati wao ni kiduchu sana. wanahoji kuwa mbona haziakisi demography ya nchi, mbona inaonekana kundi moja liko over represented kuliko jingine, kwa nini?
Haya wanayazungumza wazi miongoni mwao bila kificho.
Alichokifanya Sheikh ni kukiweka public kwa wider audience tu
 
Kuna kitu kimoja kinaleta shida sana.
Ni SHERIA na HAKI, sheria inaweza kutenda haki au isilete USAWA wa HAKI.

Hii sheria ya takwimu inaweza kulalamikiwa sana, na huenda ikawa kati ya sheria ambazo ni mbaya na nzuri pia kutegemeana na upo upande gani kati ya ule wa faida na hasara itokanayo na tukio la sheria husika.
 
Wao polisi huwa wanatumwa wakukamate, kisha wanaambiwa wakupe kosa gani. Polisi wao huwa wanaenda kama robots, lakini wenye mashitaka ni viongozi wa ccm. Hivyo polisi wanasubiri wapewe muongozo, kisha ndio waandike kosa kutokana na watoa maagizo.
Ule waraka umewataja makamishna wa polisi usisahau hilo!
 
Nipeni takwimu za Zanzibar kwanza ndipo nitajua hizo asilimia kama zina uhalisia
 
Umma upi unaouzungumzia kukubalika na wapinzani? Mkuu acha kuleta vichekesho

Nitajie siku ccm imewahi kuishi nje ya mbeleko ya serikali. Vyama vingine vyote vimekuwa vikipambana bila kutegemea wazazi kama ccm ilivyo miaka yote ya uhai wake.
 
Ni simple, tembelea misiba, harusi, shughuli za kijamii zinazohusu waislamu, pindi wakijadili mustakbali wao katika nchi. Hawafurahishwi na namna teuzi zinavyofanywa. Hawafurahiswi na teuzi ambazo kila wakati wao ni kiduchu sana. wanahoji kuwa mbona haziakisi demography ya nchi, mbona inaonekana kundi moja liko over represented kuliko jingine, kwa nini?
Haya wanayazungumza wazi miongoni mwao bila kificho.
Alichokifanya Sheikh ni kukiweka public kwa wider audience tu
unaupumbavu sana kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka kama mazuri eti mpaka tarehe 30.6.2020 hakuna mgombea mwingine aliyechukua fomu hivyo tuliona tumpitishe tu huyu yaani ccm wamezoea uwongo
Ndugu yangu ogopa sana mtu anayejifanya anamtaja taja sana Mungu. Wengi huwa ni mafedhuli wa kutupwa. We fikiria na uongo wote pamoja na usanii walioufanya pale Dodoma leo, ila jamaa alivyoanza tu kukaribisha wageni aliita viongozi wa dini wasali.

Amini nakwambia binadamu wote ni wadhambi ila kuna wengine mbinguni lazima wawe kuni za kuunguzia wenzao.
 
Hao uliowataja ni wachache sana katika asilimia nyingi za waislamu nchini.

Mwenyekiti wa shura kuukana waraka haufanyi waraka usiwe wa shura, kaukana yeye binafsi siyo shura iliyoukana.

Hata Petro alimkana Yesu mara tatu hii haimaanishi kuwa ni kweli alikuwa hamjui Yesu
Hiyo sentesi ya mwisho inafikirisha!
 
Ule waraka umewataja makamishna wa polisi usisahau hilo!

Ni kweli, ila umewataja kwa mambo ya ukweli. Na tatizo la ule waraka ni ukweli ulio ndani. Kuanzia ubovu wa tume na wametoa mapendekezo, uwiano wa nafasi za uongozi nk. Vitisho havisaidii, cha muhimu ni kufanyia ukweli kilichosemwa. Ukweli ni kuwa tume sio huru, hakuna katiba ya wananchi, uteuzi serikalini ni wa upendeleo fullstop.
 
Ni kweli, ila umewataja kwa mambo ya ukweli. Na tatizo la ule waraka ni ukweli ulio ndani. Kuanzia ubovu wa tume na wametoa mapendekezo, uwiano wa nafasi za uongozi nk. Vitisho havisaidii, cha muhimu ni kufanyia ukweli kilichosemwa. Ukweli ni kuwa tume sio huru, hakuna katiba ya wananchi, uteuzi serikalini ni wa upendeleo fullstop.
Ndio maana polisi wako naye ili athibitishe takwimu zake!
 
Sheikh Ponda ni tatizo he needs to be put in his place na ni mropokaji ata hoja zake ni ovyo katiba gani inaandikwa kwa miezi mitatu kabla ya uchaguzi au anadhani katiba inaandikwa kama waraka.

Ni mchochezi wa muda mrefu anaestahili kuhojiwa for sedition crimes lakini serikali lazima iwe constitence kwenye kusimamia sheria; that is what the law demands uwezi kumkamata Sheikh Ponda peke yake wakati Gwajima is ignored for the crimes. Hapo ndio tatizo lilipo kwa watu wengine.
 
Sheria ya takwimu ina kipengele kimoja kimekaa kimtego sana.

Kwamba takwimu unazozitoa kwa umma uwe umezipata kwa chanzo kinachoaminika chenye uhalali wa kutoa takwimu hizo kwa mujibu wa sheria.

Sasa kusema uwiano wa uteuzi ni 80% kwa 20% kwa dini zilizopo.....hii ina utata.
Kwanza Tanzania hakuna dini mbili pekee.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!
Dini ni mbili mahususi na kila dini ina madhebu tofauti.
 
Back
Top Bottom