BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Sheria za Nchi zipi? Huyo dikteta anafuata sheria za Nchi? Kuanzia lini? 😳😳😳
Ponda atapondwa asipofuata sheria za nchi vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ponda atapondwa asipofuata sheria za nchi vizuri.
Kiongozi wa dini ana haki ya kukemea maovu ktk jamii na kutoa mwongozo kulingana na maagizo ya mwenyezi Mungu.Wana CCM kila atakae ongea "UKWELI" lazima apingwe. Tumewazoea.
Turudi kwenye "HOJA KUU" ya swala la "KUTENDA HAKI", dini zote zinalitilia mkazo hili swala. Na hata mungu awawaonya vikali na amewa ahidi kuwapa adhabu kali sana wale wote wanao wanao "PINDISHA/KUNYIMA/KUDHULUMU" haki.
Hata kama utadhulumu "PIPI MOJA" katika kontena zima la 40FT basi jiandae na adhabu kali sana kwa mola wako.
Kuomba "TUME HURU" ni kwasababu "HAKI ITENDEKE". Sio swala la kichama hilo.
John...Sheria ya takwimu ina kipengele kimoja kimekaa kimtego sana.
Kwamba takwimu unazozitoa kwa umma uwe umezipata kwa chanzo kinachoaminika chenye uhalali wa kutoa takwimu hizo kwa mujibu wa sheria.
Sasa kusema uwiano wa uteuzi ni 80% kwa 20% kwa dini zilizopo.....hii ina utata.
Kwanza Tanzania hakuna dini mbili pekee.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio maana polisi wako naye ili athibitishe takwimu zake!
John...
Usitoe hukumu subiri kwanza hapana haja ya haraka.
Tusubiri mahakama.
Ikibidi Waislam tutaomba takwimu serikalini.
John...Bwashee serikali haina dini!
Nimekuelewa mkuu!John...
Usitoe hukumu subiri kwanza hapana haja ya haraka.
Tusubiri mahakama.
Ikibidi Waislam tutaomba takwimu serikalini.
Apigwe tu hizi chokochoko za ponda zilikuwa zimepoa baada ya kumsweka ndani. Teuzi haIfuati dini bali watanzania wenye uwezo na sifa za kuchapa kaziPonda atapondwa asipofuata sheria za nchi vizuri.
Watu ndio wana dini lakini serikali haina dini ndio maana Zanzibar hakuna zamu bali walio wengi ndio wanaoongoza miaka yote!John...
Ikiwa wafuasi wa dini moja ndio waliojaza nafasi nyingi kupita kiasi vipi serikali iwe haina dini?
Sheikh Ponda ni tatizo he needs to be put in his place na ni mropokaji ata hoja zake ni ovyo katiba gani inaandikwa kwa miezi mitatu kabla ya uchaguzi au anadhani katiba inaandikwa kama waraka.
Ni mchochezi wa muda mrefu anaestahili kuhojiwa for sedition crimes lakini serikali lazima iwe constitence kwenye kusimamia sheria; that is what the law demands uwezi kumkamata Sheikh Ponda peke yake wakati Gwajima is ignored for the crimes. Hapo ndio tatizo lilipo kwa watu wengine.
Apigwe tu hizi chokochoko za ponda zilikuwa zimepoa baada ya kumsweka ndani. Teuzi haIfuati dini bali watanzania wenye uwezo na sifa za kuchapa kazi
Ubaya n kuwa wenzie wameukana waraka sasaSheria ya takwimu ina kipengele kimoja kimekaa kimtego sana.
Kwamba takwimu unazozitoa kwa umma uwe umezipata kwa chanzo kinachoaminika chenye uhalali wa kutoa takwimu hizo kwa mujibu wa sheria.
Sasa kusema uwiano wa uteuzi ni 80% kwa 20% kwa dini zilizopo.....hii ina utata.
Kwanza Tanzania hakuna dini mbili pekee.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Watu ndio wana dini lakini serikali haina dini ndio maana Zanzibar hakuna zamu bali walio wengi ndio wanaoongoza miaka yote!
Sasa kulikuwa na mgombea mwingine nani?Nimecheka kama mazuri eti mpaka tarehe 30.6.2020 hakuna mgombea mwingine aliyechukua fomu hivyo tuliona tumpitishe tu huyu yaani ccm wamezoea uwongo
Ubaya n kuwa wenzie wameukana waraka sasa
Ponda bhana
Nimeusoma na waraka pia. Nakiri ni kweli katika awamu hii kumekuwa na bias kubwa ya kijinsia, kikanda na hata kidini hasa katika teuzi za kazi za uongozi wa serikalini, na ninapenda niseme labda ni bias (probably unintended) kwa sababu wakati yote hayo yanaonekana sijapata kuona wala kusikia waathiriwa wakilalamika na badala yake nawaona wakiwa mstari wa mbele kumwaga sifa tuuu! Awamu zilizopita pia nilisikia malalamiko lakini nashangaa sana kwani awamu zilizopita hali hii ya 'bias' haikuwa mbaya hivi lakini malalamiko yalikuwa makubwa disproportionately.Ni simple, tembelea misiba, harusi, shughuli za kijamii zinazohusu waislamu, pindi wakijadili mustakbali wao katika nchi. Hawafurahishwi na namna teuzi zinavyofanywa. Hawafurahiswi na teuzi ambazo kila wakati wao ni kiduchu sana. wanahoji kuwa mbona haziakisi demography ya nchi, mbona inaonekana kundi moja liko over represented kuliko jingine, kwa nini?
Haya wanayazungumza wazi miongoni mwao bila kificho.
Alichokifanya Sheikh ni kukiweka public kwa wider audience tu
Kama na wewe nimuislamu basi waaislamu mna akili ndogo sanaHao uliowataja hawana maamuzi yoyote, wao ni walinda vyeo tu. Huyo mwenyekiti lazima aukane kwa ajili ya usalama wake. Kitu ambacho hawezi kukikana, ni ukweli ulio ndani ya huo waraka fullstop.
Sasa kama hao ndio top yeye ponda alikuwa anataka uteuzi uweje? Au anataka zile sheria zao za kiislamu ziongoze nchi ndio ajue kuna usawa?Hao uliowataja ni wachache sana katika asilimia nyingi za waislamu nchini.
Mwenyekiti wa shura kuukana waraka haufanyi waraka usiwe wa shura, kaukana yeye binafsi siyo shura iliyoukana.
Hata Petro alimkana Yesu mara tatu hii haimaanishi kuwa ni kweli alikuwa hamjui Yesu