Poole saana Mdada!! Nilipitia kipindi kama chako muda fulani. Nilimwomba Mungu akaniwezesha wangu yakapita. Sasa wewe LOVE your husband as NEVER before ili akupe support. Atakuwa ni msaada wako mkubwa. Pia Ignore vipi vinavokupanikisha. Kaa mbali na watu unaohisi wanaweza kuku-hurt. Ila naamini Husband wako anao MSAADA mkubwa kwenye uponyaji wako.
Tupo pamoja RussianRoulette
Mudushi M N
Nakubaliana na wewe kaka,
Dawa ya kwanza ya RR iko kwa mume wake.....If he can take up aggressively...I am sure he will rescue her in few days.
If it were me, this could be one of my remedies!!
1. My wife would stop looking at all type of screens at an agreed time
2. I would make sure we either sleep or spend sleepless nights together for something like 2-4days (nikishindwa hapa natafuta msaada, hata ikibidi kukimbia watu wa Marekani....lol!!!)
3. We would drink our favourites in one glass the entire nights (kama hakuna usingizi basi tunakuwa wote tunapata kinywaji)!!
4. Mambo ya MMU kwa wingi ila hakuna kulazimisha....just to let nature work everything out!! Ni muhimu kuhakikisha ama hakuna usumbufu wa mtoto au nmdugu yeyote nyumbani...Kama mkwanja unaruhusu na labda ni week end au likizo...lazima tuwe kwenye uwanja wa ugenini!!
5. Kila baada ya muda tunafanya postmorterm ya masaa kama 6 au 12 yaliyopita...!!
6. Hadithi za kazi ni marufuku katika kipindi chote za dozi yangu....Ila mkanda wetu wa toka day zero ndo utakuwa dira ya kila kitu..
Hivi baada ya jaribio kama hilo RR wangu ataendelea kukosa usingizi kweli???
Babu DC!!