MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,011
- 2,185
Lissu ana mapungufu yake tena mengi tu! Vivyo hivyo kwa Magufuli. Kampeni ni kutoa ahadi za matumaini. Kwa upande wa Magufuli ana nafasi nzuri kwa kuwa ni rahisi kuthibitisha utendaji wake kwa yale aliyokwishafanya. Kwa Lissu kazi ni kubwa zaidi maana uzuri wa ahadi hautoshi.
Wanasiasa wote hutoa ahadi nzuri, hata zile za Hashim Rungwe ni nzuri. Tatizo ni uthibitisho kwamba utaweza timiza ahadi hizo. Kwa maana nyingine lazima uwe mwangalifu kuchagua ahadi. Kwa wanaojua uchumi ukiahidi kupandisha mishahara mara mbili kwa kiwango cha sasa, iwe ndio njia ya kuwasaidia waajiriwa, najua tu huyo ni boya!
Kila mtu tumpe nafasi ya kushinda uchaguzi je, Baada ya Lissu kushinda wabunge anao? Sioni wanaoweza kuwa ndani ya Bunge la CHADEMA, siwaoni kabisa! CHADEMA mliijisahau kutafuta watu makini kushika nafasi za ubunge. Baadhi ya majimbo yanashilkiliwa na wenzenu na hawakutaka kushindanishwa, yaani ni majimbo yao. Hata kama Lissu hatashinda, ilistahili kuwa na kundi bora la wabunge. Kwa kifupi baada ya uchaguzi huu, ikitokea Lissu ameshindwa, huo ndio mwisho wa CHADEMA.
Wanasiasa wote hutoa ahadi nzuri, hata zile za Hashim Rungwe ni nzuri. Tatizo ni uthibitisho kwamba utaweza timiza ahadi hizo. Kwa maana nyingine lazima uwe mwangalifu kuchagua ahadi. Kwa wanaojua uchumi ukiahidi kupandisha mishahara mara mbili kwa kiwango cha sasa, iwe ndio njia ya kuwasaidia waajiriwa, najua tu huyo ni boya!
Kila mtu tumpe nafasi ya kushinda uchaguzi je, Baada ya Lissu kushinda wabunge anao? Sioni wanaoweza kuwa ndani ya Bunge la CHADEMA, siwaoni kabisa! CHADEMA mliijisahau kutafuta watu makini kushika nafasi za ubunge. Baadhi ya majimbo yanashilkiliwa na wenzenu na hawakutaka kushindanishwa, yaani ni majimbo yao. Hata kama Lissu hatashinda, ilistahili kuwa na kundi bora la wabunge. Kwa kifupi baada ya uchaguzi huu, ikitokea Lissu ameshindwa, huo ndio mwisho wa CHADEMA.