AKILI YAKO HAINA AKILI! WENYE CCM WANAJUA WANASHINDWA, WEWE HUWEZI KUJUA KINACHOENDELEA!Lissu hata yeye anajua fika hawezishinda, ndio maana anawaanda wanyanyembe wake mapema na zengwe la kuibiwa kura iwe ndo sababu ya msingi yeye kushindwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AKILI YAKO HAINA AKILI! WENYE CCM WANAJUA WANASHINDWA, WEWE HUWEZI KUJUA KINACHOENDELEA!Lissu hata yeye anajua fika hawezishinda, ndio maana anawaanda wanyanyembe wake mapema na zengwe la kuibiwa kura iwe ndo sababu ya msingi yeye kushindwa.
Mbowe mchumia tumbo tu, kile chama chake hakina mtu wa kuaminika na watanzania. Watu wanaogopa kuuzwa Ubelgiji na ujerumani. Ruzuku bye bye, michango ya wabunge bye bye, vitu maalum bye bye.Lissu ana mapungufu yake tena mengi tu! Vivyo hivyo kwa Magufuli. Kampeni ni kutoa ahadi za matumaini. Kwa upande wa Magufuli ana nafasi nzuri kwa kuwa ni rahisi kuthibitisha utendaji wake kwa yale aliyokwishafanya. Kwa Lissu kazi ni kubwa zaidi maana uzuri wa ahadi hautoshi.
Wanasiasa wote hutoa ahadi nzuri, hata zile za Hashim Rungwe ni nzuri. Tatizo ni uthibitisho kwamba utaweza timiza ahadi hizo. Kwa maana nyingine lazima uwe mwangalifu kuchagua ahadi. Kwa wanaojua uchumi ukiahidi kupandisha mishahara mara mbili kwa kiwango cha sasa, iwe ndio njia ya kuwasaidia waajiriwa, najua tu huyo ni boya!
Kila mtu tumpe nafasi ya kushinda uchaguzi je, Baada ya Lissu kushinda wabunge anao? Sioni wanaoweza kuwa ndani ya Bunge la CHADEMA, siwaoni kabisa! CHADEMA mliijisahau kutafuta watu makini kushika nafasi za ubunge. Baadhi ya majimbo yanashilkiliwa na wenzenu na hawakutaka kushindanishwa, yaani ni majimbo yao. Hata kama Lissu hatashinda, ilistahili kuwa na kundi bora la wabunge. Kwa kifupi baada ya uchaguzi huu, ikitokea Lissu ameshindwa, huo ndio mwisho wa CHADEMA.
Wanashindwa na nani?. Huyu kibaraka wa mabeberu?. Unaota mchana..AKILI YAKO HAINA AKILI! WENYE CCM WANAJUA WANASHINDWA, WEWE HUWEZI KUJUA KINACHOENDELEA!
CHADEMA siyo mgombea ni mdhaminiTatizo unaandika utadhani tumelaumu CHADEMA. Hapa tunaeleza hali halisi ilivyo ktk siasa za CDM. Tuna tatizo la majadiliano hapa JF kuna watu wanajibu utadhani wao ni Lissu au wao ni CHADEMA. Wanachotaka kusikia ni sifa nzuri za CHADEMA na matumaini kwamba Lissu atashinda siyo CHADEMA lakini! Maana sisikii mtu akisema CAHDEMA itashinda ila kuna wanaosema Lissu atashinda.
Hahahahaha ila kuna watu huwa mnajipa matumaini to the extent kwamba mnaweza kuja kushindwa kufesi reality baada ya matokeo. Eti Rais Lissu. AloooRais Lissu amesema hakuna demokrasia ya kupita bila kupingwa hivyo tusubiri uchaguzi utafanyika tuu katika majimbo hayo Yakima Majaliwa.
Ni swala LA mswaada wa dharura tuu
Naona huu ndo mtindo wa siku hizi, kuamini kila kitu ni zaidi ya wengine. Trump naye lugha yake ni hiyohiyo! Kila kitu US imewazidi wengine duniani pamoja na kuangamia kwa Corona kuliko wengine duniani...Na wagombea 50+ wa ubunge, na 1000+ wa udiwani, walioenguliwa na Tume wametokea wapi?
..CDM wamesimamisha wagombea ubunge na udiwani wengi kuliko wakati wowote ule ktk historia ya uchaguzi mkuu.
..hakuna chama cha siasa cha upinzani hapa Tz kilichowahi kusimamisha wagombea[ubunge + udiwani] wengi kuzidi walivyofanya CDM mwaka huu.
Good analysisHapa ndio unaona thinking yetu watanzania ilivyo narrow.
CHADEMA wameeleza kinagaubaga kwamba katika majimbo yote ya Tanzania bara walikuwa wameweka wagombea. Mwishowe baadhi yao wameenguliwa na tume kwa sababu wanazojua wenyewe.
Ningekuona kuwa mtu objective Kama ungeilamu tume kwa kuengua wagombea wa CHADEMA.
Kuna swala ambalo linanijia mara nyingi kichwani, hivi watanzania wanataka upinzani na hasa CHADEMA wafanye nini ndio wajue wako serious? Wapigane, wajikate mpaka damu au wakatambike?
Just put yourself in their shoes. Nionavyo Mimi Hawa ni watu wa kuhurumiwa Sana manake kufanya siasa ktk mazingira ya Africa Ni Jambo gumu. Kuna watu wasemee na kuwapongeza manake nadhani ungelikuwa wewe ndo una vibano hivyo, ulishakufa tayari.
Mbona Muhuni Polepole Kama Kasha Waka Hivi tena Kapiga Konyagi kama Sio K Vant au Safari Ndio Inatabia ya Kukufanya Uhisi Lips Nzito au Zinavuja..Vision na ufahamu tunatofautiana sana!
Ni kweli boss, Kufanya siasa ktk mazingira ya Afrika ni jambo gumu. Ni sahihi pia kusema kilimo ktk mazingira ya Afrika ni jambo gumu! Muhimu kila mtu pale alipo ajitahidi kutanzua matatizo yanayomrudisha nyuma. Wanasiasa hawalazimiki kufanya siasa lakini mambo yanapokuwa magumu wanatulilia . Mkulima analazimika kulima ili familia ipate uhai. anapopata matatizo anajitafutia mbinu nyingine hata jukwaani hasemi lolote!Hapa ndio unaona thinking yetu watanzania ilivyo narrow.
CHADEMA wameeleza kinagaubaga kwamba katika majimbo yote ya Tanzania bara walikuwa wameweka wagombea. Mwishowe baadhi yao wameenguliwa na tume kwa sababu wanazojua wenyewe.
Ningekuona kuwa mtu objective Kama ungeilamu tume kwa kuengua wagombea wa CHADEMA.
Kuna swala ambalo linanijia mara nyingi kichwani, hivi watanzania wanataka upinzani na hasa CHADEMA wafanye nini ndio wajue wako serious? Wapigane, wajikate mpaka damu au wakatambike?
Just put yourself in their shoes. Nionavyo Mimi Hawa ni watu wa kuhurumiwa Sana manake kufanya siasa ktk mazingira ya Africa Ni Jambo gumu. Kuna watu wasemee na kuwapongeza manake nadhani ungelikuwa wewe ndo una vibano hivyo, ulishakufa tayari.
Ukisikia kampeni za CDM wabunge hawasikiki kama wako ktk kampeni. Ukiwauliza watakwambia vyombo vya habari bhla! bhla! lakini ukweli uwezo wa kampeni ni mdogo! Waliokuwa wabunge nao wanabana posho yao ya mwisho kwa lengo la maisha, nao wako low-key. Anayesikika ni Lissu. Anapoondoka tu anatoweka na kumbukumbu yake inafutika.Uko sahihi mleta mada ukiwa na wabunge nchi nzima kazi yao kubwa namba moja ni kunadi mgombea uraisi maaeneo yao Lisu pesa za wafadhili anakula peke yake harushii wenzie wagombea ubunge na udiwani Mpesa Tigo rusha nk kwa wagombea ubunge ili wamnadi anataka watumie gharama zao atasubiri sana anaenda sehemu chache wenzie wote waliowahi gombea walimwaga pesa sana kwa wagombea ubunge
Safari hii hata uwezekano wa Chadema kupata wabunge mdogo sababu madiwani wanatakiwa wamwagiwe pesa na wabunge ili wawanadi maeneo yao na kumnadi mgombea uraisi Chadema wamewatelekeza Lisu anakula mwenyewe pesa za wafadhili hagawii hata chama halafu anatarajia ushindi ni ndoto safari hii Chadema wagombea uraisi ubunge na udiwani watapigwa chini na CCM sio mchezo Lisu anadhani aweza pata kura nyingi bila kumwaga pesa za wafadhii kwa wagombea ubunge na udiwani ili wapate uwezo wa kumnadi na kujinadi