Uchaguzi 2020 Tatizo lenu CHADEMA ni kuwa na mgombea Urais bila Wabunge

Uchaguzi 2020 Tatizo lenu CHADEMA ni kuwa na mgombea Urais bila Wabunge

Magufuli alisema upinzani hakuna, wewe unasema baada ya uchaguzi utakuwa mwisho wa upinzani, tumuelewe nani?
Hapa tunajadiliana. Hakuna Magufuli hapa. Hakuna Lissu hapa. Ni bahati mbaya kama unazungumza kwa niaba ya Lissu. Wewe siyo Lissu.
 
Poleni sana Wana Upinzani.

Hivi CHADEMA ikianguka tunahamia wapi??

Je, ACT au CHAUMA kwa Mzee wa ubwabwa??

Tuambiane Mapema kama taarifa za Awali za Muungano wetu[emoji23]
Kuna waTZ mnashida mahala, hvi CHADEMA ikianguka au upinzani kufa utapata faida gani ww kma mwananchi?. Hata Burundi huko nyuma walipoona nguvu ya chama tawala ni kubwa walitoa viti 5 bureee kwa chama cha UPRONA ili walau bunge lipate hoja kinzani.

Sasa kma warundi mabingwa wa vita walitambua hilo ww unashangilia nini. Hivi muswada ukipelekwa bungeni nani atapeleka jedwali la marekebisho kinzani? Mnataka turudi enzi za bunge la chama kimoja? Mnajua madhara yake kwenye kupitisha sheria?

Hii nchi ya ajabu sana
 
wagombea gani sio makini? Kabla ya kina Mnyika,Zitto na Mdee kuingia bungeni ulikua unawajua? Hvi kina Ngogo,Kitalika,Chisanga,Mwang'ombe,Mwita,Karumuna,Gwamaka n.k sio watu makini?

Anyway kuna wagombea 70 wanawake ambao 60% yao walishakua wabunge kwa hiyo wana uzoefu wa miaka 5-15 na sasa wameenda majimboni huoni kuwa ni cream yenye uzoefu kuliko wangeweka amateurs watupu?

Umakini unaupimaje? Ina maana kamati kuu ya CHADEMA haina watu wenye akili mpaka ipitishe tu for the sake? Embu tuheshimu maamuzi ya wanachama mwisho wa siku nyie acheni wananchi waamue sio mnaiba kura alafu mrudi kudai mlitabiri.

2. Then kuhusu kuongeza mshahara nadhani Lissu alijikita kwa sheria inavyosema sio matakwa yake kwahiyo kma ni kumuona hafai basi wataishangaa sheria sio Lissu. Afterall mishahara ikipanda faida sio kwa mtumishi bali kwa wale dependants na wajasiriamali maana spillover effect itawanufaisha. It seems upo mtupu kwenye uchumi alafu unajifanya mchambuzi aargh
 
Rais Lissu amesema hakuna demokrasia ya kupita bila kupingwa hivyo tusubiri uchaguzi utafanyika tuu katika majimbo hayo Yakima Majaliwa.
Ni swala LA mswaada wa dharura tuu
😂😂😂 Eti Rais Lissu.
 
Lisu ubahili wa pesa za wafadhili kula peke yake kutamgharimu

Anataka wabunge na madiwani wamnadi bila kuwapa chochote kwa kipi alicho invest kwao? He wants a return where he has invested nothing!!!

Atashangaa atakavyopata kura chache Wabunge wake na madiwani wanahangaika kujinadi wenyewe sasa hivi hawahangaiki kunadi mgombea uraisi
 
Mkuu kwa miaka hii mitano tunayomalizia umeona bunge likiwa na umuhimu wowote wa kuwepo?

Bunge imebaki kuwa ni session ya kuwabadilisha watu maisha. Aliingia Hana utajiri anatoka na utajiri. Ifikie wakati Kama bunge litaendelea kuwa la mfumo wa hili lililopita Bora tuu Raisi aendelee kufanya anavyoona inampendeza kuliko kuwa na bunge la design ile.
Miaka yote Bunge letu liko hivyo. Hakuna wakati bunge limekuwa la ufanisi wa maana yoyote kwa wananchi labda mara moja walipofanikiwa kumuondoa Lowasa kwenye nafasi. Nayo ilikuwa kwa uadui wao na siyo manufaa ya mwananchi. Hakuna uamuzi wa maana uliowahi fanyika bila kupelekwa na serikali.

Tatizo siyo la Magufuli. Ni la wabunge wote waliopo na waliopita kwa kukataa kujiwekea vigezo vya maana kwa anayetaka ubunge. Uganda, Rwanda na Kenya wote wanahitaji elimu ya digrii. sisi bado ni kujua kusoma na kuandika. Makundi tofauti ni sawa lakini makundi yetu ni ya watu wa elimu duni. Uganda wanaingiza wasanii wenye elimu bora, sisi tunaingiza akina Sugu wa form 6 failure! Uganda wanaingiza Genrals wa jeshi wenye digrii mbili, sisi tunaingiza wachungaji wenye elimu feki na watengeneza porno!
 
Lissu hata yeye anajua fika hawezishinda, ndo maana anawaanda wanyanyembe wake mapema na zengwe lakuibiwa kura iwe ndosababu ya msingi yeye kushindwa.
Njozi nyingine ni kama za watoto wa chekechea
 
Lissu hata yeye anajua fika hawezishinda, ndo maana anawaanda wanyanyembe wake mapema na zengwe lakuibiwa kura iwe ndosababu ya msingi yeye kushindwa.
Njozi nyingine ni kama za watoto wa chekechea
 
wagombea gani sio makini? Kabla ya kina Mnyika,Zitto na Mdee kuingia bungeni ulikua unawajua? Hvi kina Ngogo,Kitalika,Chisanga,Mwang'ombe,Mwita,Karumuna,Gwamaka n.k sio watu makini?

Anyway kuna wagombea 70 wanawake ambao 60% yao walishakua wabunge kwa hiyo wana uzoefu wa miaka 5-15 na sasa wameenda majimboni huoni kuwa ni cream yenye uzoefu kuliko wangeweka amateurs watupu?

Umakini unaupimaje? Ina maana kamati kuu ya CHADEMA haina watu wenye akili mpaka ipitishe tu for the sake? Embu tuheshimu maamuzi ya wanachama mwisho wa siku nyie acheni wananchi waamue sio mnaiba kura alafu mrudi kudai mlitabiri.

2. Then kuhusu kuongeza mshahara nadhani Lissu alijikita kwa sheria inavyosema sio matakwa yake kwahiyo kma ni kumuona hafai basi wataishangaa sheria sio Lissu. Afterall mishahara ikipanda faida sio kwa mtumishi bali kwa wale dependants na wajasiriamali maana spillover effect itawanufaisha. It seems upo mtupu kwenye uchumi alafu unajifanya mchambuzi aargh
Nikusahihishe kwanza. Matumizi ya neno 'afterall' umeyakosea. Hapo ulipoliweka ni makosa na halina maana yoyote.

Hiyo Kamati kuu ubora wake ni upi? Hujui ndo ilikuwa na baadhi ya wajumbe wakitimukia CCM na NCCR? Hicho ni chama cha watu wadhaifu na usitegemee kupata wagombea makini.
Kwa nini unaandika kama wewe ni Lissu? Unaandika nadhani Lissu alijikita.... kwa nini uwe na dhana ya mtu mwingine? andika uhakika wako siyo dhana! Nakuomba usijipe ujuzi wa uchumi bila ufahamu wa nini maana ya uchumi. Trash!
 
Nimeelewa hofu yako kwamba, Lissu anashinda lakini hatapata akidi ya wabunge! Kwa kuanzia, Upo vizuri! Tuanze na ushindi wa Lissu kwanza, hilo la Wabunge lisikupe preasure tutalishughulikia, wiki ijayo Unaweza kupanda jukwaa hili na Habari mpya!
 
Poleni sana Wana Upinzani.

Hivi CHADEMA ikianguka tunahamia wapi??

Je, ACT au CHAUMA kwa Mzee wa ubwabwa??

Tuambiane Mapema kama taarifa za Awali za Muungano wetu[emoji23]
Mkuu CHADEMA sidhani kama itafutika,sema it might undergo structure transformation.
Lakini sio tu CHADEMA hata vyama vingine .Lakini ustawi wa vyama utategemea mabadiliko ya mtizamamo wa watawala kuhusu wapinzani.
 
tulishawapa somo apa effects za kupandisha mishara ila ni kama hawaelewi, yaani wanaona Lissu ni kama genius flan wakati watu wanajua kabisa effect za kupandisha mishahara! kwa kifupi tunaomba tu tupate chama kingine kitakachoendeshwa kisomi
 
Labda rais wa ubelgiji.
Hata George Weah kuna watu kule Liberia walikuwa na akili za kuzidi zako kidogo na waliimba kuwa labda atakuwa Rais wa AC Milan lakini kawa Rais wa Liberia na nchi imetulia kuliko wakati mwingine wowote katika historia yao. Hata kuliko wakati wa William Tolbert Jr (ambaye Nina hakika Hata humjui alikuwa nani)
 
Ukiangalia kuwepo kwa Lissu kama mgombea ni dalili za CHADEMA kukosa mgombea. Wabunge wako wapi kwenye majimbo?

..Na wagombea 50+ wa ubunge, na 1000+ wa udiwani, walioenguliwa na Tume wametokea wapi?

..CDM wamesimamisha wagombea ubunge na udiwani wengi kuliko wakati wowote ule ktk historia ya uchaguzi mkuu.

..hakuna chama cha siasa cha upinzani hapa Tz kilichowahi kusimamisha wagombea[ubunge + udiwani] wengi kuzidi walivyofanya CDM mwaka huu.
 
Huu ni muda mbaya sana kusema ukweli kwa maana wale jamaa ubongo uko kwenye flight mode utaambulia matusi na kashfa tu.

Baada ya Jumatano ya tatu kutoka leo ndo wote tutajikuta tunajadili uhalisia na si hisia kama ilivyo sasa.
 
Unaona ulivyo mpumbavu mwenyewe unajiona una akiliiiii unajua mamboooo kumbe kiazi tuu.kumjua huyo tahira mwenzio uliyemtaja anakusaidia nini katika maisha yako ya kila siku? Back to the topic kiduku wenu hawezi kuwa rais kwenye hii generation huo ndo ukweli labda awe rais wa humu jamii forums basi.
Sasa unapotukana inakusaidia nini zaidi ya kuonyesha ulivyo mtupu kichwani? JF uwanja wa hoja sio matusi na kushindana kuonyesha kiwango cha ujinga.
Umasikini wako wa hali na mali hautuhusu sisi pambana nao jinga we!
 
Nikusahihishe kwanza. Matumizi ya neno 'afterall' umeyakosea. Hapo ulipoliweka ni makosa na halina maana yoyote.

Hiyo Kamati kuu ubora wake ni upi? Hujui ndo ilikuwa na baadhi ya wajumbe wakitimukia CCM na NCCR? Hicho ni chama cha watu wadhaifu na usitegemee kupata wagombea makini.
Kwa nini unaandika kama wewe ni Lissu? Unaandika nadhani Lissu alijikita.... kwa nini uwe na dhana ya mtu mwingine? andika uhakika wako siyo dhana! Nakuomba usijipe ujuzi wa uchumi bila ufahamu wa nini maana ya uchumi. Trash!
Hahahhaha wewe ndio wa kunisahihisha lugha? Sasa I dare you we make a full debate in english.
Your arguments are baseless to say the least, you knew neither Zitto,Silinde nor Mnyika before the CHADEMA CC endorsed their candidacy. Where do u get the audacity to judge their decisions. Relax and wait for the new MPs, evaluations shall be made once they're in office.
Well.... I may ask if you know any of the individuals mentioned on the list above. I guess your answer is a big NO. What's ur basis of evaluating their standards and concluding they are not the right candidates?
2. I dare you to make any debate in economics and trust me you know nothing about it. Salary increments are meant to coincide with changing inflation rates, time value of money, exchange rate fluctuations among others. 1000 TZS in 2015 may not necessarily have the similar value today, hence the increment.

Ccm haina vijana makini kabisa wa kujenga hoja ndio maana Dk.Bashiru aliwakejeli.
 
Back
Top Bottom