Hapa tunajadiliana. Hakuna Magufuli hapa. Hakuna Lissu hapa. Ni bahati mbaya kama unazungumza kwa niaba ya Lissu. Wewe siyo Lissu.Magufuli alisema upinzani hakuna, wewe unasema baada ya uchaguzi utakuwa mwisho wa upinzani, tumuelewe nani?
Kuna waTZ mnashida mahala, hvi CHADEMA ikianguka au upinzani kufa utapata faida gani ww kma mwananchi?. Hata Burundi huko nyuma walipoona nguvu ya chama tawala ni kubwa walitoa viti 5 bureee kwa chama cha UPRONA ili walau bunge lipate hoja kinzani.Poleni sana Wana Upinzani.
Hivi CHADEMA ikianguka tunahamia wapi??
Je, ACT au CHAUMA kwa Mzee wa ubwabwa??
Tuambiane Mapema kama taarifa za Awali za Muungano wetu[emoji23]
😂😂😂 Eti Rais Lissu.Rais Lissu amesema hakuna demokrasia ya kupita bila kupingwa hivyo tusubiri uchaguzi utafanyika tuu katika majimbo hayo Yakima Majaliwa.
Ni swala LA mswaada wa dharura tuu
Haina nomaHapa tunajadiliana. Hakuna Magufuli hapa. Hakuna Lissu hapa. Ni bahati mbaya kama unazungumza kwa niaba ya Lissu. Wewe siyo Lissu.
Miaka yote Bunge letu liko hivyo. Hakuna wakati bunge limekuwa la ufanisi wa maana yoyote kwa wananchi labda mara moja walipofanikiwa kumuondoa Lowasa kwenye nafasi. Nayo ilikuwa kwa uadui wao na siyo manufaa ya mwananchi. Hakuna uamuzi wa maana uliowahi fanyika bila kupelekwa na serikali.Mkuu kwa miaka hii mitano tunayomalizia umeona bunge likiwa na umuhimu wowote wa kuwepo?
Bunge imebaki kuwa ni session ya kuwabadilisha watu maisha. Aliingia Hana utajiri anatoka na utajiri. Ifikie wakati Kama bunge litaendelea kuwa la mfumo wa hili lililopita Bora tuu Raisi aendelee kufanya anavyoona inampendeza kuliko kuwa na bunge la design ile.
Njozi nyingine ni kama za watoto wa chekecheaLissu hata yeye anajua fika hawezishinda, ndo maana anawaanda wanyanyembe wake mapema na zengwe lakuibiwa kura iwe ndosababu ya msingi yeye kushindwa.
Njozi nyingine ni kama za watoto wa chekecheaLissu hata yeye anajua fika hawezishinda, ndo maana anawaanda wanyanyembe wake mapema na zengwe lakuibiwa kura iwe ndosababu ya msingi yeye kushindwa.
Nikusahihishe kwanza. Matumizi ya neno 'afterall' umeyakosea. Hapo ulipoliweka ni makosa na halina maana yoyote.wagombea gani sio makini? Kabla ya kina Mnyika,Zitto na Mdee kuingia bungeni ulikua unawajua? Hvi kina Ngogo,Kitalika,Chisanga,Mwang'ombe,Mwita,Karumuna,Gwamaka n.k sio watu makini?
Anyway kuna wagombea 70 wanawake ambao 60% yao walishakua wabunge kwa hiyo wana uzoefu wa miaka 5-15 na sasa wameenda majimboni huoni kuwa ni cream yenye uzoefu kuliko wangeweka amateurs watupu?
Umakini unaupimaje? Ina maana kamati kuu ya CHADEMA haina watu wenye akili mpaka ipitishe tu for the sake? Embu tuheshimu maamuzi ya wanachama mwisho wa siku nyie acheni wananchi waamue sio mnaiba kura alafu mrudi kudai mlitabiri.
2. Then kuhusu kuongeza mshahara nadhani Lissu alijikita kwa sheria inavyosema sio matakwa yake kwahiyo kma ni kumuona hafai basi wataishangaa sheria sio Lissu. Afterall mishahara ikipanda faida sio kwa mtumishi bali kwa wale dependants na wajasiriamali maana spillover effect itawanufaisha. It seems upo mtupu kwenye uchumi alafu unajifanya mchambuzi aargh
Sure. Na ndiyo maana wagombea wote wako busy kutoa ahadi na hizo ahadi baadhi yake ni mpya kabisaUongozi ni Kama biashara mfanyabiashara huwa aogopi kuanzisha biashara nyingine kama aliyonayo hailipi
Kwa hiyo unaona sawa , wananchi kusota sababu ya miundo mbinu?Haya niliyasikia kwa Lissu, lakini leo kapanda mwendokasi, 2015 Lowasa wa CHADEMA alipanda daladala.
Mkuu CHADEMA sidhani kama itafutika,sema it might undergo structure transformation.Poleni sana Wana Upinzani.
Hivi CHADEMA ikianguka tunahamia wapi??
Je, ACT au CHAUMA kwa Mzee wa ubwabwa??
Tuambiane Mapema kama taarifa za Awali za Muungano wetu[emoji23]
Hata George Weah kuna watu kule Liberia walikuwa na akili za kuzidi zako kidogo na waliimba kuwa labda atakuwa Rais wa AC Milan lakini kawa Rais wa Liberia na nchi imetulia kuliko wakati mwingine wowote katika historia yao. Hata kuliko wakati wa William Tolbert Jr (ambaye Nina hakika Hata humjui alikuwa nani)Labda rais wa ubelgiji.
Ukiangalia kuwepo kwa Lissu kama mgombea ni dalili za CHADEMA kukosa mgombea. Wabunge wako wapi kwenye majimbo?
Sasa unapotukana inakusaidia nini zaidi ya kuonyesha ulivyo mtupu kichwani? JF uwanja wa hoja sio matusi na kushindana kuonyesha kiwango cha ujinga.Unaona ulivyo mpumbavu mwenyewe unajiona una akiliiiii unajua mamboooo kumbe kiazi tuu.kumjua huyo tahira mwenzio uliyemtaja anakusaidia nini katika maisha yako ya kila siku? Back to the topic kiduku wenu hawezi kuwa rais kwenye hii generation huo ndo ukweli labda awe rais wa humu jamii forums basi.
Hahahhaha wewe ndio wa kunisahihisha lugha? Sasa I dare you we make a full debate in english.Nikusahihishe kwanza. Matumizi ya neno 'afterall' umeyakosea. Hapo ulipoliweka ni makosa na halina maana yoyote.
Hiyo Kamati kuu ubora wake ni upi? Hujui ndo ilikuwa na baadhi ya wajumbe wakitimukia CCM na NCCR? Hicho ni chama cha watu wadhaifu na usitegemee kupata wagombea makini.
Kwa nini unaandika kama wewe ni Lissu? Unaandika nadhani Lissu alijikita.... kwa nini uwe na dhana ya mtu mwingine? andika uhakika wako siyo dhana! Nakuomba usijipe ujuzi wa uchumi bila ufahamu wa nini maana ya uchumi. Trash!