Tatizo lolote la PC/device

Shukrani mkuu tatizo lilikuwa RAM. Inachagua sana maana nimetest zaidi ya 10 ikaja kukubali moja tu
 
Samsung note 4 inashindwa kabisa kudaka mawimbi ya 3G ,wakati simu nyingine muda wote ni 3G,tatizo ni nini hapo? Natumia mtandao wa vodacom
Umechek na APN mkuu?

Pirate
 
Mimi Pc yangu windows nimebadilisha mara ya mwisho 2014. Ila kwa sasa ipo slow nilimpa jamaa anibadilishie windows anasema imegoma.

Je ni kwamba imechoka au kuna utaalam mwingine naweza tumia kubadilisha windows?

Kwani Pc yangu ni Toshiba S-series C850 na ina miaka mitano na windows nimebadilisha mara mbili.
 

Ok mkuu utaalamu wa kuweka windows ni wa aina mbili tu kwa usb flash na cd only ila procedures zinatofautiana kidogo, but kila kitu ni kufata procedures tu kama utaweza soma hapa HOW TO INSTALL CLEAN WINDOWS7

au kama vip tafuta mtu mwingine akuwekee pia mkuu
 
ninatatizo la kutoa virus katika kompyuta na flash zangu nimeweka kapersky antivirus na pia niliinstall upya windows seven lakini bado naona kuna virus vinavyosababisha flash mpya kutoweza kutumika maana nikisave kitu katika flash hakifunguki au kinaharibika naomba ushauri nifanyeje nisafishe kompyuta na flash zangu.Nimetumia pia kapersky virus removal tool lakini sijafanikiwa
 

emu jarbu kufuata aya maelekezo yanweza kukusaidia:

-kama unatumia disk ambayo inapartition basi jaribu kufanya full scan ili ata kama virus wengine wapo sehemu nyingine bas watoke pia

-kama unafanya sharing na hizo usb flash zako basi labda virus wanatoka kwenye pc za watu wengine na wanarudi kwako kama nio company basi inawezekana wapo ambao ni strong sana wanafanya hivyo vitu vyako visifunguke au kuharbika kwaiyo hata ukiformat pc yako but virus wapo kwengine ni sawa na kufanya kazi bure so jarbu kuangalia mostly source ya virus ao ni wapi ,kisha ushuulikie lilipoanzia kuliko ukawa unahangaika na pc yako tu.

--je hizo kazi ambazo zipo kwenye flash zinagoma kufunguka kwenye pc yako au pc nyingine, kama ni kwako basi inawezekana uko ulipozitoa hizo kazi kuna ao virus ambao wakifika kwako wanakuwa blocked na antivirus yako, na kama ukisave kwako na ukienda pc nyingine zinagoma bas ujue kwenye hiyo pc unayoenda kuitumia ndio inashida labda kuna virus sana ndio maana wanakuwa wanazifuta hizo kazi zako, so ni vizuri kujua root wa ao virus ni wapi

--kaspersky ni antivirus nzuri so jarbu kuangalia hata jinsi ya kuitumia siamini kama inashindwa kabisa kuwaondoa virus kwenye pc yako labda kama aipo ACTIVE but kama ipo basi sijaelewa kwann virus wanakusumbua na siku hizi virus strong amna sana mkuu

hope itakusaidia mkuu kwa maelezo ayo
 
Mkuu yangu hapa running internet kwa saa moja especially you tube inazima sijui shida nin
 
Computer yangu inaitwa pack hardbell
Inatatizo la kufa battery cjui ntapata wapi spare yake nimetafuta sana APA bongo cjapata...
Msaada wenu wadau

Sent using Jamii Forums mobile app

mmmh mkuu nimeaichek hata google sijaiona but jaribu kuingia officially website yao uongee nayo labda kama still wanazo wanaweza kukutumia, nowdays technology imesambaa sana njia nyingi za kuipata hiyo ikiwemo dhl
 
Lenovo - thinkpad , window 10. Haitoi sauti imeweka alama × nikiplay audio au video files. Msaada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu PC yangu lenovo-thinkpad, window xp, nikiweka document PDF inafunguka maandishi hayaeleweki, sijui ndo virus! Msaada tafadhali

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
 
Wakuu PC yangu lenovo-thinkpad, window xp, nikiweka document PDF inafunguka maandishi hayaeleweki, sijui ndo virus! Msaada tafadhali

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app

download adobe reader sio virus ao mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…