Tatizo ni hiyo charging system, kabadilishe tu!Pc dell core i7 niki charge ina sema not charging kwenye display icon ya battery chini pale,ila si mara zote ni mda na mda ndo inafanya hivyo.
NB:imeshawahi kufa Pc system charge ikatengenezwa na kupona, mda umepita sasa ndo inaleta hio mizengwe ya 'not charging'
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kuna USB multplug, bei inategemea idadi ya port zake za USB!Habari pc yangu ina sehemu ya kuweka flash moj tu je ni kifaa gani na kinauzwa sh ngapi naweza kuwa naweka na kikanisaidia kuchomeka flash zaid ya moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok asantrNdio kuna USB multplug, bei inategemea idadi ya port zake za USB!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni issue ya processor cooling system! Check fen ya processor, heat sink yake pia kama ina mavumbi futa vizuri!Nina Dell precision 5400 workstation inanisumbua inawaka na kujizima yenyewe msaada plz!
Sent using Jamii Forums mobile app
As meninatatizo la kutoa virus katika kompyuta na flash zangu nimeweka kapersky antivirus na pia niliinstall upya windows seven lakini bado naona kuna virus vinavyosababisha flash mpya kutoweza kutumika maana nikisave kitu katika flash hakifunguki au kinaharibika naomba ushauri nifanyeje nisafishe kompyuta na flash zangu.Nimetumia pia kapersky virus removal tool lakini sijafanikiwa
Niko na PC yangu inashida ya kuzima yenyewe tu pale ninapo tumia you tube kwa mfano nikitumia kama masaa mawili hivi inazimamkuu sijakuelewa vizur aisee em jaribu kuliweka kiurefu zaidi kidogo
Nenda machinga complexNina PC yangu aina ya Hp 250 g4 imeharibika motherboard.. Msaada kwa mwenye kujua sehem ambayo naweza kupata motherboard nyingine!View attachment 563464
naomba msaaada jinsi ya kudownload window 10Inawezekana iyo cd/USB flash ndio aijakuwa complete au imeharbika kwaiyo ushaur jarbu kutafuta CD nyingne au flash nyingne ambayo ipo complete itamaliza vizur
Au labda kama ukiona inaendelea kugoma Sema inatokea error gani ili lijulikane tatizo labda
Pirate
naomba msaada jinsi ya kudownload window 10Mkuu em weka vizur swal Lako kwa upande wangu SijakuelewA
Pirate
Naombeni msaada wenuWakuu computer yangu imekata souti nimepiga window xp imekubali ila sijaipenda vision yake nimepiga window 7 imekata tena nimepewa driver sound zinagoma ku install
Sent using Jamii Forums mobile app