Tatizo lolote la PC/device

Tatizo lolote la PC/device

Ni juzi tu nimeizima laptop yangu na ilikuwa inafanya kazi vizuri, kesho yake najaribu kuiwasha ikagoma kuwaka. Nikadhan labda chaji imekwisha nikawa nimeunganisha adapter haikuwaka pia ingawa ilionesha chaji inaingia. Baadaye nikatoa betri na kulirudisha haikuwaka tena wala haikuoneaha alama ya kuwa inaingiza chaji..
Tatizo linaweza kuwa nini?
Naombeni msaada
Toa betri toa na adapter Fanya kama unawasha ikiwa haina hivyo vyote shikilia hiyo button bila kuiachia kwa sekunde 30 au zaidi kisha weka adapter bila betri ikiwaka weka betri lako
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya

Karibuni sana wakuu

Pirate
PC yangu ..duh .

1. Inakonyeza konyeza
2.Baadhi ya Button ni Function less.

Sijui nifanyaje ..
 
Kama unaweza download kwenye torrents lakini use na bundle LA kutosha na experience ya kudownload huko waweza pia luomba kwa mtu ukishindwa kabisa piga 0752367766 ntakupa free tu ila itakubidi ulifuate mpaka kariakoo ukiwa na flash yako
 
Kama unaweza download kwenye torrents lakini use na bundle LA kutosha na experience ya kudownload huko waweza pia luomba kwa mtu ukishindwa kabisa piga 0752367766 ntakupa free tu ila itakubidi ulifuate mpaka kariakoo ukiwa na flash yako
Ubarikiwe mkuu ntakutafuta
 
Kama unaweza download kwenye torrents lakini use na bundle LA kutosha na experience ya kudownload huko waweza pia luomba kwa mtu ukishindwa kabisa piga 0752367766 ntakupa free tu ila itakubidi ulifuate mpaka kariakoo ukiwa na flash yako
Mm nashida na adobe master collection, window 7 na vista. Utanichaji ngapi au ni free?
 
Habari zenu wanajukwaa, kama nilivyoainisha hapo juu, msaada unajitajika. Tupeane maujuzi.
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya

Karibuni sana wakuu

Pirate
Nilikuwa natumia computer yangu vzr gafla uumeme ukakatika uliporudi nilipoiwasha inawaka kama sekunde 5 hivi alafu inazima na kuwaka tena lakini haionyeshi chochote ,ni HP desktop zile za kitambo kidogo
 
Nilikuwa natumia computer yangu vzr gafla uumeme ukakatika uliporudi nilipoiwasha inawaka kama sekunde 5 hivi alafu inazima na kuwaka tena lakini haionyeshi chochote ,ni HP desktop zile za kitambo kidogo
Upo mkoa gani? Km ni Pwani (Bagamoyo) subiri mpaka kesho umeme uwe na nguvu. Umeme ukirudi km kawaida utajua km kuna tatizo au la. Hizo Desktop zinatumia umeme wa moja kwa moja km tv.
 
Mkuu hii PC baada ya umeme kuzima gafla nayo ikazima coz battery yake imekufa, sasa tangia apo ukiwasha inagawanya screen katka pande mbil, then ina load tu, iki jisikia sana inaandika auto repair alafu itakuja diagnosis
Ukiizima kwa muda somtymes haigawanyi screen ila katka kuload inajirud vilevile na mwsho wa cku haiendelei zaid

Inatumia window 8.1 company n Asus

Msaada mku au tatzo ni nin na nn kifanyike?
IMG_20180419_233839.jpg
 
msaada subwoofer inacheza speaker ndogo base haichezi ...wakati ilipo base ndio system nzima ilikoanzia
 
Back
Top Bottom