Tatizo lolote la PC/device

Tatizo lolote la PC/device

PC yng ni lenovo, taa imezma kuangalia mpk nimulike KWA tochi. Ht nipandshe mwanga haionyeshi sijui tatizo ni nini
Badili Backlight CCFL inverter itakuwa imekufa
images-1.jpg
images-1.jpg
 
WiFi ya smu kwenye PC haina nguvu, nin tatzo yan haifungui page na ikifungua kwa kusua sua sana
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya

Karibuni sana wakuu

Pirate
JAMANI MSAADA NANI ANAJUA KUTOA VIRUSI FLAN WANA CHANGE PROGRAM ZOTE ZINAKUA ZERO BYTE? WANANISUMBUA SANA MANA WANAKULA PROGRAM ZOTE ZILIZOPO KWENYE COMPUTER!!!
 
Habari za jioni wana jukwaa, ni heshima kubwa kwangu kuwa sehemu ya jukwaa hili. Jioni ya leo naomba msaada wa ku-unlock network locked Huawei iweze kusoma line ya mtandao wowote.
 

Attachments

  • WP_20181026_08_33_06_Pro.jpg
    WP_20181026_08_33_06_Pro.jpg
    144.9 KB · Views: 45
  • WP_20181026_08_35_08_Pro.jpg
    WP_20181026_08_35_08_Pro.jpg
    88.5 KB · Views: 41
Tecno K9 ilifanyiwa reset sasa kila nikitaka kuiwasha inadai google acc ile ya mwanzo na hii simu ilinunuliwa mkono kwa mtu so alikuwa akitumia google acc ya jamaa aliyemuuzia.

Mnanisaidiaje hapa?
 
Tecno K9 ilifanyiwa reset sasa kila nikitaka kuiwasha inadai google acc ile ya mwanzo na hii simu ilinunuliwa mkono kwa mtu so alikuwa akitumia google acc ya jamaa aliyemuuzia.

Mnanisaidiaje hapa?
Delete hiyo account uweke yako
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya

Karibuni sana wakuu

Pirate
Pc yangu adaptor inawaka ila ukichomeka kwenye pc inazima kwa maana kwamba haiingizi chaji. Tatizo nnna.
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya

Karibuni sana wakuu

Pirate
Natumia HUAWEI Y5II(2017), haifungui picha au attachment zinazotumwa jamii forum natakiwa kuwa na application gani?
 
Pc yangu adaptor inawaka ila ukichomeka kwenye pc inazima kwa maana kwamba haiingizi chaji. Tatizo nnna.


Tatizo kubwa ni huwa shoti, tafuta Fundi mzur akurekebishie kutoa shoti
 
Habari zenu wakuu!!

Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya

Karibuni sana wakuu

Pirate
Hi
Pc ina usb port 3
Hp pavilion 15
Port moja haifanyi
Kazi
All drivers zake ziko poa
Solution yake hapo nini?
Kuna uwezekano wa kubadili port?
 
Hi
Pc ina usb port 3
Hp pavilion 15
Port moja haifanyi
Kazi
All drivers zake ziko poa
Solution yake hapo nini?
Kuna uwezekano wa kubadili port?

Uwezekano wa kubadili port upo, lakin source ya ilo tatizo cjajua hasa n nn? Labda sema ilo tatizo limekuja na hiyo pc au limeanza badae?
 
Back
Top Bottom