Tatizo lolote la PC/device

Tatizo lolote la PC/device

hapo kama unasema umetumia battery mbili na bado tatizo lipo


kulingana na maelekezo kwamba hata pasipo na battery bado inaonesha 255

then hapo tatizo linaweza kuwa system yako unayotumia, ili kujiridhisha rejea tatizo lako lilianza lini je ni kabla ya kuweka hiyo windows lilikuwepo au baada ya kuweka windows


kama tatizo siyo system bhas inaweza kuwa hardware, ambapo kwenye motherboard kuna kitu kinaitwa SIO chip (super input output chip) hii inahusika sana na kuwasiliana na battery la computer, hii ndio inayocontrol battery percentages, ss panaweza kuwa na shida hapo kati kati

ila hiyo ni hatua ya mwisho kabisa na ni rare sana kutokea



rudia kufuatilia haya kwanza kabla hujawaza hayo ya SIO
-run pc katika safe mode
-update windows complete
-run linux os kwenye mashine yako
-badirisha battery zaid ya hizo


fanya hayo kisha tupe mrejesho tuone tunasaidiaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa Vyema Mkuu Ngoja Nifanye Kama Ulivyoelekeza Kisha Nitaleta Mrejesho
 
Niko Dar es salaam mkuu.
unapatikana mkoa gani

kukimbilia kubadirisha motherboard kabla ya kufanya general diagnosis ya board nzima inaweza kukugharimu sana


nimeshapokea kesi nyingi unakuta ni issue tuu ya ceramic capacitor imeungua ila mtu anashindwa kuispot kutokana na kutokuwa na general knowledge ya power sequence ya laptop


taja aina exactly ya model yako kama utakuwa umefikia hatua ya mwisho ya kuhitaj motherboard

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu mkuu kwa siku kadhaa imegoma kabisa. Ukiiwasha ukicheki GPU ukiigusa inakuwa inapata moto, inakuwa inaongezeka tu joto.

Katika maongezi na mdau mmoja kitaa, kaniambia hapo hamna namna ni kubadili body ya ndani (Motherboard).

So kama kuna mtu ana Lenovo Thinkpad may be mbovu ila body yake ya ndani nzima, please anicheki tufanye manuva.

Santee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi yangu lenovo G580 ilinisumbua hivyo hivyo kwa muda mrefu lakini yenyewe ilikuwa inawaka na inapiga kazi lkn kuna muda inapata moto inascratch then inazima..nikaamua zangu kuagizia motherboard mtandaoni juzi ilikuja nimebadilisha now inapiga kazi bila shida!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PC yangu n aina ya Fujitsu FMV-718NU4 ya kichina China hv tatzo lake n kama hvo kwny picha ila sahv imezima display haionyesh kitu ila feni imaunguruma sana tu naomben msaada tatzo lnaezakua nn
IMG_20200507_023323.jpeg
IMG_20200507_023429.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Laptop yangu feni inapiga kelele ukisha iwasha tu lakini haichemki shida inaweza kuwa nn?
 
Salaam wakuu, mie shida yangu ni kuactivate microsoft office 2010 katika pc yangu. Sina product keys. Msaada tafadhali.
 
Habari za humu wakuu.... Ninahitaji housing ya Lenovo G50!

"utamu wa uji ni kutingisha bakuli"
 
Back
Top Bottom