kaputula
Member
- Mar 29, 2012
- 97
- 128
Kama ukisoma historia ya maeneo ya maziwa makuu ya Afrika ya kati hutakosa historia ya tawala ya falme za hima zikijulikana kama 'hima empire' na wana historia. Watutsi ni mbari ya kihima. Wahima walijipachika kwa hila au kwa kumwaga damu kua watawala juu ya makabila ya mbari za kibantu.
Kabla ya uhuru wa nchi zetu wamegombea kwa nguvu nyingi kuwa watawala wa nchi zetu. Rwanda Burundi na Uganda tumeona hao wenye asili ya Hima kusababisha mauaji mengi wakigombea uongozi. Tatizo ni ndani ya damu yao. Kama sio wao wanaongoza basi utawala ni mbaya. Yeyote asiyekubaliana nao kwao ni mjinga na mpumbavu. Yaani wao ndio wanajua wengine hawajui kitu.
Hapo Kagame alipo haoni upungufu wowote kwamba asilimia zaidi ya 85 raia wabantu nchini kwake wanaishi kwa hofu na hawawezi kugombea uongozi wa juu nchini kwao. Jeshi la nchi hiyo hakuna wabantu kama wapo ni wachache sana. Makomanda wakubwa wote ni mbari ya kitutsi.
Ukienda Uganda Museveni wa jamii ya kinyankole wenye asili ya hima hakuiacha uganda salama hadi amekua yeye kiongozi wa uganda. Akisaidiwa na jamaa zake wa kitutsi kina kagame waliyokua wakimbizi Uganda kivita kisha yeye akawalipa kwa kuwasaidia kumwangusha Habyarimana wa mbari ya kibantu.
Huko Burundi ilibidi kuwepo umwagaji damu mkubwa kabla ya wabantu walio wengi kuweza kuchukua madaraka ya kisiasa.
Ili kuwepo na amani Rwanda ambayo imekua siku zote inadai kuwepo wapinzani wake Congo inabidi nchi hiyo ianze yenyewe kufanya mazungumzo wapinzani wake ikibidi kuwepo na katiba kama ile ya Burundi kuhakikisha mbari zote zinakua na sauti kisiasa.
Ili kuwepo amani ya kudumu inabidi ndugu zetu wa kihima kuacha kua na njozi ya kihistoria kwamba wao ni watawala. Inaelekea kwenye maisha yao ni njama na hila dhidi ya mbari zingine tu waweze kutawala nchi wao.
Kabla ya uhuru wa nchi zetu wamegombea kwa nguvu nyingi kuwa watawala wa nchi zetu. Rwanda Burundi na Uganda tumeona hao wenye asili ya Hima kusababisha mauaji mengi wakigombea uongozi. Tatizo ni ndani ya damu yao. Kama sio wao wanaongoza basi utawala ni mbaya. Yeyote asiyekubaliana nao kwao ni mjinga na mpumbavu. Yaani wao ndio wanajua wengine hawajui kitu.
Hapo Kagame alipo haoni upungufu wowote kwamba asilimia zaidi ya 85 raia wabantu nchini kwake wanaishi kwa hofu na hawawezi kugombea uongozi wa juu nchini kwao. Jeshi la nchi hiyo hakuna wabantu kama wapo ni wachache sana. Makomanda wakubwa wote ni mbari ya kitutsi.
Ukienda Uganda Museveni wa jamii ya kinyankole wenye asili ya hima hakuiacha uganda salama hadi amekua yeye kiongozi wa uganda. Akisaidiwa na jamaa zake wa kitutsi kina kagame waliyokua wakimbizi Uganda kivita kisha yeye akawalipa kwa kuwasaidia kumwangusha Habyarimana wa mbari ya kibantu.
Huko Burundi ilibidi kuwepo umwagaji damu mkubwa kabla ya wabantu walio wengi kuweza kuchukua madaraka ya kisiasa.
Ili kuwepo na amani Rwanda ambayo imekua siku zote inadai kuwepo wapinzani wake Congo inabidi nchi hiyo ianze yenyewe kufanya mazungumzo wapinzani wake ikibidi kuwepo na katiba kama ile ya Burundi kuhakikisha mbari zote zinakua na sauti kisiasa.
Ili kuwepo amani ya kudumu inabidi ndugu zetu wa kihima kuacha kua na njozi ya kihistoria kwamba wao ni watawala. Inaelekea kwenye maisha yao ni njama na hila dhidi ya mbari zingine tu waweze kutawala nchi wao.