Tatizo maziwa makuu ni watutsi kujiona lazima waongoze

Tatizo maziwa makuu ni watutsi kujiona lazima waongoze

kaputula

Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
97
Reaction score
128
Kama ukisoma historia ya maeneo ya maziwa makuu ya Afrika ya kati hutakosa historia ya tawala ya falme za hima zikijulikana kama 'hima empire' na wana historia. Watutsi ni mbari ya kihima. Wahima walijipachika kwa hila au kwa kumwaga damu kua watawala juu ya makabila ya mbari za kibantu.

Kabla ya uhuru wa nchi zetu wamegombea kwa nguvu nyingi kuwa watawala wa nchi zetu. Rwanda Burundi na Uganda tumeona hao wenye asili ya Hima kusababisha mauaji mengi wakigombea uongozi. Tatizo ni ndani ya damu yao. Kama sio wao wanaongoza basi utawala ni mbaya. Yeyote asiyekubaliana nao kwao ni mjinga na mpumbavu. Yaani wao ndio wanajua wengine hawajui kitu.

Hapo Kagame alipo haoni upungufu wowote kwamba asilimia zaidi ya 85 raia wabantu nchini kwake wanaishi kwa hofu na hawawezi kugombea uongozi wa juu nchini kwao. Jeshi la nchi hiyo hakuna wabantu kama wapo ni wachache sana. Makomanda wakubwa wote ni mbari ya kitutsi.

Ukienda Uganda Museveni wa jamii ya kinyankole wenye asili ya hima hakuiacha uganda salama hadi amekua yeye kiongozi wa uganda. Akisaidiwa na jamaa zake wa kitutsi kina kagame waliyokua wakimbizi Uganda kivita kisha yeye akawalipa kwa kuwasaidia kumwangusha Habyarimana wa mbari ya kibantu.
Huko Burundi ilibidi kuwepo umwagaji damu mkubwa kabla ya wabantu walio wengi kuweza kuchukua madaraka ya kisiasa.

Ili kuwepo na amani Rwanda ambayo imekua siku zote inadai kuwepo wapinzani wake Congo inabidi nchi hiyo ianze yenyewe kufanya mazungumzo wapinzani wake ikibidi kuwepo na katiba kama ile ya Burundi kuhakikisha mbari zote zinakua na sauti kisiasa.

Ili kuwepo amani ya kudumu inabidi ndugu zetu wa kihima kuacha kua na njozi ya kihistoria kwamba wao ni watawala. Inaelekea kwenye maisha yao ni njama na hila dhidi ya mbari zingine tu waweze kutawala nchi wao.
 
Kama ukisoma historia ya maeneo ya maziwa makuu ya Afrika ya kati hutakosa historia ya tawala ya falme za hima zikijulikana kama 'hima empire' na wana historia. Watutsi ni mbari ya kihima. Wahima walijipachika kwa hila au kwa kumwaga damu kua watawala juu ya makabila ya mbari za kibantu.

Kabla ya uhuru wa nchi zetu wamegombea kwa nguvu nyingi kuwa watawala wa nchi zetu. Rwanda Burundi na Uganda tumeona hao wenye asili ya Hima kusababisha mauaji mengi wakigombea uongozi. Tatizo ni ndani ya damu yao. Kama sio wao wanaongoza basi utawala ni mbaya. Yeyote asiyekubaliana nao kwao ni mjinga na mpumbavu. Yaani wao ndio wanajua wengine hawajui kitu.

Hapo Kagame alipo haoni upungufu wowote kwamba asilimia zaidi ya 85 raia wabantu nchini kwake wanaishi kwa hofu na hawawezi kugombea uongozi wa juu nchini kwao. Jeshi la nchi hiyo hakuna wabantu kama wapo ni wachache sana. Makomanda wakubwa wote ni mbari ya kitutsi.

Ukienda Uganda Museveni wa jamii ya kinyankole wenye asili ya hima hakuiacha uganda salama hadi amekua yeye kiongozi wa uganda. Akisaidiwa na jamaa zake wa kitutsi kina kagame waliyokua wakimbizi Uganda kivita kisha yeye akawalipa kwa kuwasaidia kumwangusha Habyarimana wa mbari ya kibantu.
Huko Burundi ilibidi kuwepo umwagaji damu mkubwa kabla ya wabantu walio wengi kuweza kuchukua madaraka ya kisiasa.

Ili kuwepo na amani Rwanda ambayo imekua siku zote inadai kuwepo wapinzani wake Congo inabidi nchi hiyo ianze yenyewe kufanya mazungumzo wapinzani wake ikibidi kuwepo na katiba kama ile ya Burundi kuhakikisha mbari zote zinakua na sauti kisiasa.

Ili kuwepo amani ya kudumu inabidi ndugu zetu wa kihima kuacha kua na njozi ya kihistoria kwamba wao ni watawala. Inaelekea kwenye maisha yao ni njama na hila dhidi ya mbari zingine tu waweze kutawala nchi wao.
Wahima watu hatari sana katika eneo la mazima makuu, Kwa mjibu wa historia, Wahima ndio walifukuza makabila ya kibantu kule western Uganda na Eastern Congo miaka ya 1500~1600
 
Kama ukisoma historia ya maeneo ya maziwa makuu ya Afrika ya kati hutakosa historia ya tawala ya falme za hima zikijulikana kama 'hima empire' na wana historia. Watutsi ni mbari ya kihima. Wahima walijipachika kwa hila au kwa kumwaga damu kua watawala juu ya makabila ya mbari za kibantu.

Kabla ya uhuru wa nchi zetu wamegombea kwa nguvu nyingi kuwa watawala wa nchi zetu. Rwanda Burundi na Uganda tumeona hao wenye asili ya Hima kusababisha mauaji mengi wakigombea uongozi. Tatizo ni ndani ya damu yao. Kama sio wao wanaongoza basi utawala ni mbaya. Yeyote asiyekubaliana nao kwao ni mjinga na mpumbavu. Yaani wao ndio wanajua wengine hawajui kitu.

Hapo Kagame alipo haoni upungufu wowote kwamba asilimia zaidi ya 85 raia wabantu nchini kwake wanaishi kwa hofu na hawawezi kugombea uongozi wa juu nchini kwao. Jeshi la nchi hiyo hakuna wabantu kama wapo ni wachache sana. Makomanda wakubwa wote ni mbari ya kitutsi.

Ukienda Uganda Museveni wa jamii ya kinyankole wenye asili ya hima hakuiacha uganda salama hadi amekua yeye kiongozi wa uganda. Akisaidiwa na jamaa zake wa kitutsi kina kagame waliyokua wakimbizi Uganda kivita kisha yeye akawalipa kwa kuwasaidia kumwangusha Habyarimana wa mbari ya kibantu.
Huko Burundi ilibidi kuwepo umwagaji damu mkubwa kabla ya wabantu walio wengi kuweza kuchukua madaraka ya kisiasa.

Ili kuwepo na amani Rwanda ambayo imekua siku zote inadai kuwepo wapinzani wake Congo inabidi nchi hiyo ianze yenyewe kufanya mazungumzo wapinzani wake ikibidi kuwepo na katiba kama ile ya Burundi kuhakikisha mbari zote zinakua na sauti kisiasa.

Ili kuwepo amani ya kudumu inabidi ndugu zetu wa kihima kuacha kua na njozi ya kihistoria kwamba wao ni watawala. Inaelekea kwenye maisha yao ni njama na hila dhidi ya mbari zingine tu waweze kutawala nchi wao.
Watusi ni wabantu
 
Hapa tanzania wapuuzi hao wapo? Na kama wapo, wanaleta chokochoko kudai dai madai ya kuzua ili tu waanzishe ya congo mashariki?
Hapa tz watutsi wetu wako ngara, wahangaza na biharamulo wapo. Hawa hua wanawapokea jamaa zao wanaoingia tanzania kwa njia haramu na kulisha mifugo yao kwenye mapori mipaka ya rwanda burundi na uganda. Pia hua wanashika ardhi kiharamu au kununua ardhi kinyume na sheria.
 
Sio wabantu ni himatic. Ni jamii ya waethiopia. Bila shaka huna elimu ya mbari za kiafrika.
Kuna jamii tatu Africa, Bantu, Cushite and Nilotes, watutsi sio wabantu ni Nilotes kama Maasai, Somali, nk, hawa ni wafugaji and nomadic, ni warefu wembamba

Kuna kitabu kinaitwa the History of East Africa cha kijivu cha zamani cha Kenya, tafuta hicho library utamuelewesha yule mkuu kule
 
U
Hapa tz watutsi wetu wako ngara, wahangaza na biharamulo wapo. Hawa hua wanawapokea jamaa zao wanaoingia tanzania kwa njia haramu na kulisha mifugo yao kwenye mapori mipaka ya rwanda burundi na uganda. Pia hua wanashika ardhi kiharamu au kununua ardhi kinyume na sheria.
Usisahau pia huko ngara mpakan na Burundi watus wa tz wamekuwa wakiingia vitan burundi kuwatetea watutsi wenzao katika vipindi vya machafuko.
 
Back
Top Bottom