Tatizo maziwa makuu ni watutsi kujiona lazima waongoze

Tatizo maziwa makuu ni watutsi kujiona lazima waongoze

Hapa tanzania wapuuzi hao wapo? Na kama wapo, wanaleta chokochoko kudai dai madai ya kuzua ili tu waanzishe ya congo mashariki?
Mkuu we need to put history on hold,otherwise Berlin conference is just stupid and Africa is one identity.
Nyerere ndie ameleta ujinga huo tofauti na Kwame Nkuruma.
Nyerere alitaka kuheshimu mipaka iliotengenezwa na wakoloni.
Kwame Nkuruma yeye Africa ni nchi mmoja hakuna mipaka.
 
Kama ukisoma historia ya maeneo ya maziwa makuu ya Afrika ya kati hutakosa historia ya tawala ya falme za hima zikijulikana kama 'hima empire' na wana historia. Watutsi ni mbari ya kihima. Wahima walijipachika kwa hila au kwa kumwaga damu kua watawala juu ya makabila ya mbari za kibantu.

Kabla ya uhuru wa nchi zetu wamegombea kwa nguvu nyingi kuwa watawala wa nchi zetu. Rwanda Burundi na Uganda tumeona hao wenye asili ya Hima kusababisha mauaji mengi wakigombea uongozi. Tatizo ni ndani ya damu yao. Kama sio wao wanaongoza basi utawala ni mbaya. Yeyote asiyekubaliana nao kwao ni mjinga na mpumbavu. Yaani wao ndio wanajua wengine hawajui kitu.

Hapo Kagame alipo haoni upungufu wowote kwamba asilimia zaidi ya 85 raia wabantu nchini kwake wanaishi kwa hofu na hawawezi kugombea uongozi wa juu nchini kwao. Jeshi la nchi hiyo hakuna wabantu kama wapo ni wachache sana. Makomanda wakubwa wote ni mbari ya kitutsi.

Ukienda Uganda Museveni wa jamii ya kinyankole wenye asili ya hima hakuiacha uganda salama hadi amekua yeye kiongozi wa uganda. Akisaidiwa na jamaa zake wa kitutsi kina kagame waliyokua wakimbizi Uganda kivita kisha yeye akawalipa kwa kuwasaidia kumwangusha Habyarimana wa mbari ya kibantu.
Huko Burundi ilibidi kuwepo umwagaji damu mkubwa kabla ya wabantu walio wengi kuweza kuchukua madaraka ya kisiasa.

Ili kuwepo na amani Rwanda ambayo imekua siku zote inadai kuwepo wapinzani wake Congo inabidi nchi hiyo ianze yenyewe kufanya mazungumzo wapinzani wake ikibidi kuwepo na katiba kama ile ya Burundi kuhakikisha mbari zote zinakua na sauti kisiasa.

Ili kuwepo amani ya kudumu inabidi ndugu zetu wa kihima kuacha kua na njozi ya kihistoria kwamba wao ni watawala. Inaelekea kwenye maisha yao ni njama na hila dhidi ya mbari zingine tu waweze kutawala nchi wao.
Unajua waliokutana mjini Berlin 1884 kuigawa Africa?
Binadamu lazima ujipambanie, mababu zake Trump, walichokifanya miaka zaidi ya 200 iliyopita, kinawapa wajukuu zao faida mpaka Leo,
Unaelewa maana ya Bahima/muhima? Hiyo ni koo, Sana Sana za, wafugaji, enzi hizo, walikuwa hawali samaki, wao, ni, nyama tu, walijiona superior, walidharau watu wanaokula samaki, kwa kunuka shombo, waliamini ukistaarabika, unakula nyama, sio samaki na mishombo, koo za Bahima zipo kagera, wapo wahaya ambao ni bahima,Museveni, mnyankore, na wenyeji wa ngara, kyelwa,murongo ni jamii moja,
Kujiona superior kama walivyo wahaya it's a inborn thing, ipo kwenye DNA, wanapenda kutawala,lakini hizi, story kuwa bahima empire wanataka kutawala East Africa nzima, ni conspiracy theory za kijinga, sasa hv bongo wazenj wanawatawala, wala hamfurukuti!
Wahaya kwa hulka Yao, wanapenda domination, kwenye kila nyanja yenye pesa, na status, Dini,elimu, uchumi, wamezaliwa hivyo, hawataacha kesho, richa ya kuchukiwa na Nyerere na kuwafukarisha by policy, institutinalization of poverty in Kagera, lakini hakuweza, watakosa miundombinu, kagera, lakini huko walipo diaspora, watafanya makubwa, mfano, Bilionea mulokozi, wa Manyara,
Kama hujaoa,oa Muhaya, au, mchaga, utaniambia! Their middle name is ambitions
 
Mkuu sijui kama umeelewa point yangu, mimi siungi mkono aina yeyote ile ya ubaguzi na kwa Afrika sidhani kama tuna haja ya kutukuza sana mipaka ya kikoloni kwa sababu waliweka kwa maslahi yao na wala hawakutushirikisha. Afrika ni moja na sisi wote ni wa moja tunahita jamii au viongozi wenye Maono na akili kutuongoza haijalishi wanatoka jamii gani cha msingi tu kusiwe na ubaguzi. Mfano hivi leo Afrika ikiungana halafu Raisi akaw Traore kutoka Burkinafaso kuna mtu au jamii italalamika?

Kwa swala la DRC inaonesha ni jinsi gani sisi wa Afrika au jamii nyingi za kiafrika hatuwezi kujiongoza au kujitawala. Inasemekana kuwa DRC ilikuwa ni free state badaa ya mkutano wa Berlin ulioligawq bara la Afrika hivyo kila nchi ya Ulaya ilikuwa free kujichumia mali pale kwa kuwa DRC ilikuwa xhini ya Mflame Leopard wa Ubeligiji kama sijakosea jina na baadae akapewa Mfaransa. Kwa hali hii baada ya uhuru ilipaswa Afrika au umoja wa Afrika ukao na kuona ni jinsi gani hizi jamii zinaunganishwa na kaunda nchi badala ya kuwa na eneo lililojaa watu. Hivyo ilipaswa wakubaline wa Afrika wenyewe na kutengeneza mipaka upya au kubaki hivyo hivyo kwa kuzingatia sheria zetu za asili na mipaka yetu kabla ya uvamizi wa wakoloni. Hivi unataka kuniambia kuwa hizi jamii zilikuwa zinapigana kabla ya ukoloni? Kwa nini zimeanza kupigana baada ya ukoloni? Je walitumia mbinu gani kuishi kwa amani kabla ya ukoloni? Ndio mbinu hizo hizo walizotumia kutatua migogoro yao ya mipaka na kijamii kabla ya ukoloni walipaswa wazitumie sasa.
 
Watusi sio wabantu bali ni wakush
Wakush ni wasomalia, oromo, ahmara, tigre na tingranya
Hata ukushi kwao ni asilimia 13-15 yaani ndogo tu. Kiasili wao ni wanailoti ukipenda nilotes na ndiko walikorithi wembamba na urefu wao pia fahari. Ukiwatazama Wanuer, Wadinka n.k. wa Sudani ya Kusini utaona kitu. Kumbuka Sudan imepakana na Ethiopia yaani Ukushi na hatuzungumzi Karne mbili tatu zilizopita. Hapo kati walikutana na wabantu na wapigmi kiasi kwamba kuna chembechembe za wote hao kwenye damu yao. Msukuma akimuoa mzaramo , mtoto wake akamuoa mzaramo, mjukuu akamuoa mzaramo au mnyaturu au mngoni yule kitukuu atabaki kuwa msukuma kwenye mfumo dume japo usukuma utakuwa umepungua kweli
 
Hata ukushi kwao ni asilimia 13-15 yaani ndogo tu. Kiasili wao ni nilotes na ndiko walikorithi wembamba na urefu wao pia fahari. Ukiwatazama Wanuer, Wadinka n.k. wa Sudani ya Kusini utaona kitu. Kumbuka Sudan imepakana na Ethiopia yaani Ukushi na hatuzungumzi Karnes mbili tatu zilizopita. Hapo kati wakutana na wabantu na wapigmi kiasi kwamba kuna chembechembe za wote hao kwenye damu yao. Msukuma akimuoa mzaramo , mtoto wake akamuoa mzaramo, mjukuu akamuoa mzaramo au mnyaturu au mngoni yule kitukuu atabaki kuwa msukuma kwenye mfumo dume japo usukuma utakuwa umepungua kweli
Wale ni wakush na sio nilotic
Hakuna nilotic mwenye pua mchongoko na nywele ndefu na rangi ya chocolate nilotic ni weusi kama mkaa kama walivyo sudan kusini

Watusi ni jamii za wakush ndo wana-nywele ndefu, pua zilizochongoka na rangi ya chocolate
 
Wao wenyewe wanalitambua hilo. Tazama afro artista films toleo la siku mbili ulizopita title banyamulenge of congo kama unaweza kukubaliana nalo sawa kama huwezi pia sawa
 
Tatizo ni Congo.

Ukubwa wa Congo D R C ni mala 90 ya Rwanda.

Rwanda inaingia mala 90 kuipata CONGO

AFRICA NI LAANA.
 
Siamini sema hawa jamaa mradi hawana utawala basi wataona wanatengwa. Hebu fikiri m23 katika madai kwa serikali ya congo wanataka asilimia zaidi ya 40 ya vyeo jeshini wapewe watutsi. Pia wanadai asilimia kubwa zaidi 30 kwenye majeshi mengine kama polisi pia nafasi kama viti maalum vya wanawake wa Tanzania kwenye nafasi zote za serikali. Sio hivyo tu wanataka m23 iwe chama tawala kimoja tu majimbo yote ya mashariki ya DRC. Hebu fikiri congo ina makabila zaidi ya 400 wao wanachukua silaha kuweka madai ya aina hiyo. Wao kwani ni nani kama sio watu wenye tamaa mbaya ya ukuu dhidi ya wengine.
 
Siamini sema hawa jamaa mradi hawana utawala basi wataona wanatengwa. Hebu fikiri m23 katika madai kwa serikali ya congo wanataka asilimia zaidi ya 40 ya vyeo jeshini wapewe watutsi. Pia wanadai asilimia kubwa zaidi 30 kwenye majeshi mengine kama polisi pia nafasi kama viti maalum vya wanawake wa Tanzania kwenye nafasi zote za serikali. Sio hivyo tu wanataka m23 iwe chama tawala kimoja tu majimbo yote ya mashariki ya DRC. Hebu fikiri congo ina makabila zaidi ya 400 wao wanachukua silaha kuweka madai ya aina hiyo. Wao kwani ni nani kama sio watu wenye tamaa mbaya ya ukuu dhidi ya wengine.
Duu kama ndo hivo hao ni zaid ya magaid. Yaan akili za enzi za akina chief Rumanyika, Mirambo na Mkwawa za kuviziana na kutawalana.
Anyway waendelee kukazana wanaweza iteka Africa na dunia nzima. Ila waombe isijekuwa kama ile ya kuota unakojoa chooni mara paap! kumbe unakojoa kitandan.
 
Kwahyo ujumbe ni kwamba tuanze kunusana,? Sisi sote wa Tanzanian jmn
 
Kama ukisoma historia ya maeneo ya maziwa makuu ya Afrika ya kati hutakosa historia ya tawala ya falme za hima zikijulikana kama 'hima empire' na wana historia. Watutsi ni mbari ya kihima. Wahima walijipachika kwa hila au kwa kumwaga damu kua watawala juu ya makabila ya mbari za kibantu.

Kabla ya uhuru wa nchi zetu wamegombea kwa nguvu nyingi kuwa watawala wa nchi zetu. Rwanda Burundi na Uganda tumeona hao wenye asili ya Hima kusababisha mauaji mengi wakigombea uongozi. Tatizo ni ndani ya damu yao. Kama sio wao wanaongoza basi utawala ni mbaya. Yeyote asiyekubaliana nao kwao ni mjinga na mpumbavu. Yaani wao ndio wanajua wengine hawajui kitu.

Hapo Kagame alipo haoni upungufu wowote kwamba asilimia zaidi ya 85 raia wabantu nchini kwake wanaishi kwa hofu na hawawezi kugombea uongozi wa juu nchini kwao. Jeshi la nchi hiyo hakuna wabantu kama wapo ni wachache sana. Makomanda wakubwa wote ni mbari ya kitutsi.

Ukienda Uganda Museveni wa jamii ya kinyankole wenye asili ya hima hakuiacha uganda salama hadi amekua yeye kiongozi wa uganda. Akisaidiwa na jamaa zake wa kitutsi kina kagame waliyokua wakimbizi Uganda kivita kisha yeye akawalipa kwa kuwasaidia kumwangusha Habyarimana wa mbari ya kibantu.
Huko Burundi ilibidi kuwepo umwagaji damu mkubwa kabla ya wabantu walio wengi kuweza kuchukua madaraka ya kisiasa.

Ili kuwepo na amani Rwanda ambayo imekua siku zote inadai kuwepo wapinzani wake Congo inabidi nchi hiyo ianze yenyewe kufanya mazungumzo wapinzani wake ikibidi kuwepo na katiba kama ile ya Burundi kuhakikisha mbari zote zinakua na sauti kisiasa.

Ili kuwepo amani ya kudumu inabidi ndugu zetu wa kihima kuacha kua na njozi ya kihistoria kwamba wao ni watawala. Inaelekea kwenye maisha yao ni njama na hila dhidi ya mbari zingine tu waweze kutawala nchi wao.
Tusubiri wa kwetu kule Ngara waliamshe kwa msaada wa Kagame
 
Kama ukisoma historia ya maeneo ya maziwa makuu ya Afrika ya kati hutakosa historia ya tawala ya falme za hima zikijulikana kama 'hima empire' na wana historia. Watutsi ni mbari ya kihima. Wahima walijipachika kwa hila au kwa kumwaga damu kua watawala juu ya makabila ya mbari za kibantu.
.
Ili kuwepo amani ya kudumu inabidi ndugu zetu wa kihima kuacha kua na njozi ya kihistoria kwamba wao ni watawala. Inaelekea kwenye maisha yao ni njama na hila dhidi ya mbari zingine tu waweze kutawala nchi wao.
Hili la Watutsi kuongoza,sio wao ni damu ya tabaka la utawala。Kwenye Hima Empire, kuna tabaka la watawala, Abahima,na watawaliwa Abahuru,Watutsi ni Abahima,Wahutu ni Abairu,hii iko kwenye damu,Kagame,Mu7,Joseph Kabila,hata JK Nyerere wana damu ya Abahima,JPM,Mpango wao ni Abairu,Biteko na Bashungwa,ni Abahima。
P
 
Unajua waliokutana mjini Berlin 1884 kuigawa Africa?
Binadamu lazima ujipambanie, mababu zake Trump, walichokifanya miaka zaidi ya 200 iliyopita, kinawapa wajukuu zao faida mpaka Leo,
Unaelewa maana ya Bahima/muhima? Hiyo ni koo, Sana Sana za, wafugaji, enzi hizo, walikuwa hawali samaki, wao, ni, nyama tu, walijiona superior, walidharau watu wanaokula samaki, kwa kunuka shombo, waliamini ukistaarabika, unakula nyama, sio samaki na mishombo,
duh
koo za Bahima zipo kagera, wapo wahaya ambao ni bahima,Museveni, mnyankore, na wenyeji wa ngara, kyelwa,murongo ni jamii moja,
Kujiona superior kama walivyo wahaya it's a inborn thing, ipo kwenye DNA, wanapenda kutawala,
superiority, nshomile,pride,full kujisikia。。。
lakini hizi, story kuwa bahima empire wanataka kutawala East Africa nzima, ni conspiracy theory za kijinga,
Ni kweli,sio unajua hata JKN na JPM ni wale wale?。
sasa hv bongo wazenj wanawatawala, wala hamfurukuti!
ni tumewaazima tuu,its almost time up。
Wahaya kwa hulka Yao, wanapenda domination, kwenye kila nyanja yenye pesa, na status, Dini,elimu, uchumi, wamezaliwa hivyo, hawataacha kesho, richa ya kuchukiwa na Nyerere na kuwafukarisha by policy, institutinalization of poverty in Kagera, lakini hakuweza, watakosa miundombinu, kagera,
true
lakini huko walipo diaspora, watafanya makubwa, mfano, Bilionea mulokozi, wa Manyara,
ni kweli
Kama hujaoa,oa Muhaya, au, mchaga, utaniambia! Their middle name is ambitions
Naunga mkono hoja
P
 
Back
Top Bottom