technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Tatizo tunaishi kwa mazoea na usimba na uyanga
Yanga wakati inaanza mwaka huu wa mashindano ilikuwa ya 75
Leo hii yanga ipo ndani ya top 20 best club in Africa.
Wakishika nafasi ya 20 wakati simba kapanda nafasi 5 tu mwezie kapanda nafasi 55 tuendelee kuwepo lakini ukweli Yanga ya Sasa ni tishio africa tuache kuishi kwa mazoea!!
Yanga wakati inaanza mwaka huu wa mashindano ilikuwa ya 75
Leo hii yanga ipo ndani ya top 20 best club in Africa.
Wakishika nafasi ya 20 wakati simba kapanda nafasi 5 tu mwezie kapanda nafasi 55 tuendelee kuwepo lakini ukweli Yanga ya Sasa ni tishio africa tuache kuishi kwa mazoea!!