Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Mtafute JK au mzee Manara akutafsirieMbona kingereza tena mimi nisiejua kingereza nafanyaje hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafute JK au mzee Manara akutafsirieMbona kingereza tena mimi nisiejua kingereza nafanyaje hapo
Sawa sawaMtafute JK au mzee Manara akutafsirie
Nasema hivyo kwa sababu ni ngumu ila kwa jinsi Yanga walivyocheza mechi zake za away nafasi wanayo kufanya maajabu. Basi itakiwa timu ya kwanza kufika nusu fainali mashindano ya club afrika tangu mwaka 93( kama sijakosea Simba Vs Asec)Ushikilie unabii mmoja, kama unasema atabeba kombe utamke kwa kunyoosha, usiseme iwapo atakomaa maana asipochukua kombe utajitetea kuwa hakukomaa 🤣
Hivi mechi na Al hilal kule Sudan haikuwa away ? [emoji23][emoji23]Nasema hivyo kwa sababu ni ngumu ila kwa jinsi Yanga walivyocheza mechi zake za away nafasi wanayo kufany maajabu. Basi itakiwa timu ya kwamza kufika nusu fainali mashindano ya club afrika tangu mwaka 93( kama sijakosea Simba Vs Asec)
Mind you mimi ni shabiki wa Simba
Huwa naangalia hoja, wala siangalii aliyeandika ni naniMind you mimi ni shabiki wa Simba
walifungwa goli 1 lakini wao walicheza mpira zaidi, tuwapongeze kwa hilo.Hivi mechi na Al hilal kule Sudan haikuwa away ? [emoji23][emoji23]
Kwa sabubu nimeanza kuitwa utopoloHuwa naangalia hoja, wala siangalii aliyeandika ni nani
Kumbukeni Yanga inacheza shirikisho. Au mnataka na Simba naye awe anajidondoshea shirikisho kwa makusudi?Kwa sabubu nimeanza kuitwa utopolo
Ko ukifungwa unapongezwa ?walifungwa goli 1 lakini wao walicheza mpira zaidi, tuwapongeze kwa hilo.
Ukicheza mpira mzuri hata ukifungwa unapongezwa, najua ushabiki tu ila ni kama mtu wa mpira utakuwa unanielewa. Toa sifa zinapostahili.Ko ukifungwa unapongezwa ?
Saturday, May 10th 1975.
African Cup of Champions Clubs Second Round (1st Leg): Rangers 0-0 Young Africans F.C. | May 1975
Enugu Rangers Football Club of Nigeria play a scrappy nil-nil draw with the Tanzanian cluside Youg Africans at the National Stadium in the Surulere district of Lagos. Source: Reuters News Archive.
Watu wameweka takwimu wewe unaongea Blahblah sana.Sijui umeandika nini!!!!
Nasikitika kuona vijana WA HOVYO hapa Jamii forum wakizidi KUONGEZEKA KWA KASI.
Vijana wasioweza kujenga Hoja.
Vijana we ye kujadili u Simba na u yanga Mda wote.
Ningefurahi kuona Tangu huo Mwaka 1975 Angalau tungekuwa na makombe ya CAF 40.
BAHATI MBAYA HAKUNA HATA KOMBE MOJA.
Hoja nIni kifanyike Ili VILABU vya Tanzania vichukue UBINGWA WA CAF!!!!!
UNAANDIKA VITU VYA AJABU TU HAPA.
Mentor wenu aliyewafundisha hilo somo na yeye akaishia kuhamia Yanga.Mtafute JK au mzee Manara akutafsirie
Acha ulongo wewe kama mlifika fainali ya kombe la CAF weka picha za timu yenu wakivaa medali za kuwa washindi wa piliHatuna, ila tuna rekodi ya kufika Fainali ya Kombe la CAF. Sasa jamaa alidai Yanga wataivunja (sio kuifikia), maana ya kuvunja rekodi ni kuizidi iliyopo, na zaidi ya fainali ni ubingwa!
Akiweka nitag aisee [emoji41]Acha ulongo wewe kama mlifika fainali ya kombe la CAF weka picha za timu yenu wakivaa medali za kuwa washindi wa pili