Tatizo ujasiri wa jaji Warioba huonekana pale tu kwenye tawala zenye uhuru wa kujieleza

Tatizo ujasiri wa jaji Warioba huonekana pale tu kwenye tawala zenye uhuru wa kujieleza

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
16,950
Reaction score
13,527
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika hatamu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
 
We ni mgeni hii nchi labda kijana

Jaji warioba hawawai kunyamaza anapoona ujinga

Toka utawala wa mkapa, Kikwate, Magufuli na huyu Bibi yako!!

Katika watu ambao hawakunyamaza utawala wa Magufuli ni Warioba Shivji na Butiku.

Tatizo siasa mmeanza kufatilia jana
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Inamaana wewe hujui changamoto zinazo sababishwa na watu wasiojulikana na kwamba limekuwa ni janga la kitaifa?

Silence surrenders public responsibilities
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Ndio mliotumwa kumjibu Mzee mtetezi wa taifaa?Kwani kwenu hamna wazee?
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Pengine wewe Ni mgeni wa Jaji waryoba..

Pitia Hizi speach Kipindi Cha magufuli ...


View: https://youtu.be/twq-EZg11mA?si=wlGhXE92NTazzJnW

View: https://youtu.be/jEgd3irfAkE?si=MxqufKtNTXeBsCF6

View: https://youtu.be/sm9VEaznd7A?si=FSryXAbHb5sQ4I8I

View: https://www.youtube.com/live/G2W1tiDT5Zg?si=t_28J2oSndMGOT5x
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Kikubwa ni ukweli uliopo kwenye kauli zake!
Kuhusu zile nyakati za udhalimu nadhani hilo ni tatizo la kitaifa.
Jaji Warioba pamoja na wenzake walijenga sana lakini wakaishia kutukanwa! Yule dhalimu muovu alifanikiwa kuwa-brainwash wananchi wakamuona kama mtakatifu wao!
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
ni muhimu sana ikafahamika wazi kwamba huyu Mzee ambae tunamuheshimu sana sio jaji,

hilo jina la ujaji ni a.k.a tu alipewa huko mtaani but he is not by professional.

Jambo jingine muhimu ni la wazi kabisa Mzee huyu anapojaribu kulionyesha wazi ni chuki dhidi ya utawala huu wa Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.

Haijulikani kwanini hasa huyu Mzee anamchukia sana Dr.Samia Suluhu Hassan. Kwani Kipi si alipewa ukuu wa wilaya, sasa anataka nini cha ziada huyu Mzee?

mie nadhan,
kwa heshma tu,
huyu Mzee apuuzwe ili asipate mawenge zaidi na kumbwelambwela kwenye vyombo vya habari na mitandaoni dhidi ya serikali iliyopo kazini 🐒
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Mtoto wa 2000 humjui warioba kaa kimya chawa wewe
 
ni muhimu sana ikafahamika wazi kwamba huyu Mzee ambae tunamuheshimu sana sio jaji,

hilo jina la ujaji ni a.k.a tu alipewa huko mtaani but he is not by professional.

Jambo jingine muhimu ni la wazi kabisa Mzee huyu anapojaribu kulionyesha wazi ni chuki dhidi ya utawala huu wa Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.

Haijulikani kwanini hasa huyu Mzee anamchukia sana Dr.Samia Suluhu Hassan. Kwani Kipi si alipewa ukuu wa wilaya, sasa anataka nini cha ziada huyu Mzee?

mie nadhan,
kwa heshma tu,
huyu Mzee apuuzwe ili asipate mawenge zaidi na kumbwelambwela kwenye vyombo vya habari na mitandaoni dhidi ya serikali iliyopo kazini 🐒
Mliotumwa kumjibu Mzee hivi nani anawapa posho.?
 
ni muhimu sana ikafahamika wazi kwamba huyu Mzee ambae tunamuheshimu sana sio jaji,

hilo jina la ujaji ni a.k.a tu alipewa huko mtaani but he is not by professional.

Jambo jingine muhimu ni la wazi kabisa Mzee huyu anapojaribu kulionyesha wazi ni chuki dhidi ya utawala huu wa Serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan.

Haijulikani kwanini hasa huyu Mzee anamchukia sana Dr.Samia Suluhu Hassan. Kwani Kipi si alipewa ukuu wa wilaya, sasa anataka nini cha ziada huyu Mzee?

mie nadhan,
kwa heshma tu,
huyu Mzee apuuzwe ili asipate mawenge zaidi na kumbwelambwela kwenye vyombo vya habari na mitandaoni dhidi ya serikali iliyopo kazini 🐒
Mmh!Hiyo ya Ujaji sio A.k.a mkuu.Alishawahi kua jaji wa mahakama ya haki ya Afrika mashariki.
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Wewe ni namba ngapi kwenye Orodha ya kumjibu Warioba?
 
Friends and Our Enemies,
Mungu Mkubwa sana,Pia Mungu ni hakika ni Mkali Sana,Ona Mungu kamchukua Magufuli kamuacha WARIOBA,Mungu Kamchukua Ndugulile hata kabla hajafaidi matunda yake ya cheo kipya kamuacha WARIOBA,Kuna kipindi marehemu Captain John Komba alishawahi mfanyia dhihaka JAJI WARIOBA eti kuwa kwanin Hafi? Mungu kamchukua yeye Captain John Komba kamuacha WARIOBA.

Ishi Sana WARIOBA,huna BAYA...

Yes, WARIOBA anaweza kuwa sahihi kwa anayoyasema na kuyasimamia,lakini tumuulize WARIOBA KWANINI hajiamini?uoga wake ni WA Nini hasa?
Alikuwa hodari sana wa kukosoa enzi za kikwete,Kila linalofanywa yeye YUPO bampa to bampa kukosoa na kushika bango,na kumbuka hadi Kuna kipindi wahuni walifikia hatua ya kumzaba Kofi JAJI WARIOBA,kapitia mengi sana.

Baada ya kikwete kuondoka na Jiwe kuingia,kilichofuatia Kila mtu anakifaham na anakijua Demokrasia ilijifia kifo cha mende,Utawala wa Sheria ulikuwa ni WA kauli ya Mtu mmoja,mkono wa chuma ulishika haramu na wapinzani wengi walihamia kwa bwana yule kwa lazima kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi, wengine walipigwa Risasi na wengine kukimbia nje ya nchi.

JAJI WARIOBA aliufyata kimyaaa kana kwamba hakuna ambacho kilikuwa kinaendelea,why alikosa UJASIRI JAJI WARIOBA?

Mungu akafanya yake, mwendazake akaondoka na cha moto tulikiona.

Leo imeingia sura nyingine ambayo imeruhusu uhuru wa KUJIELEZA na Demokrasia JAJI WARIOBA huyu hapa karudi mzigoni kwa speed ya SGR.

Why anakosa kujiamini KATIKA hayo anayoyasimamia?tumuelewe vipi ni mzalendo au mpiga ramli kama wapiga ramli wengine?

Ongea WARIOBA,ongea hadi umalize,lakini mawaziri wakuu wastaafu wapo wengi tuh nchi hii,wewe hauna u special wowote wa kujifanya kimbele mbele kwa vitu ambavyo huna UJASIRI WA kuvisimamia pale watawala madikteta wanaposhika hatamu za Dola.
Hujui Dunia
 
Back
Top Bottom