Mwambwaro
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,309
- 3,522
amna mtu asiyepajua chato kwa Sasa mkuuUnakuzwa na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amna mtu asiyepajua chato kwa Sasa mkuuUnakuzwa na nini?
Kwa leo sikujibu chochoteJiulize hapo chato ilishakuepo bank yoyote kabla?? Je wananchi wana uelewa na masuala ya kuhifadhi pesa bank..?? Kumbuka hiyo ni biashara na ndio maana kuna bank officers kwa ajili ya kutoa elimu na kutafuta Wateja..we ulitegemea ifunguliwe tu kisha uone watu wanapishana??hizi akili za kupinga kila kitu IPO siku mtapinga hadi jinsia zenu
Basi ondoa hiyo postKwa leo sikujibu chochote
Usikwepe hoja kwa kwa kukimbilia hoja.Hoja msingi hapa ufanisi wa tawi.nani asiyemjua huyu ndugu kuwa tangu enzi za uwaziri ni mtu kuforce mamboRoho mbaya na chuki ya ukabila inawatafuna na kuwamaliza taratibu.
Mlipofungua matawi ya hiyo Benki huko migombani mbona Watanzania walikaa kimya!?
Leo hii ndio imekuwa nongwa kisa tawi limefunguliwa sehemu anayozaliwa Rais wa nchi!
Takwimu zinaonyesha kwa siku wastani wa mteja mmoja tu ndiyo naingia benki.Takwimu mkuu..lete hata za kupika
Chuki ya ukabila inawamaliza bladifuluuuu.Usikwepe hoja kwa kwa kukimbilia hoja.Hoja msingi hapa ufanisi wa tawi.nani asiyemjua huyu ndugu kuwa tangu enzi za uwaziri ni mtu kuforce mambo
Kama chuki anayo yey na wafuasi wake?Hvi unafikir yy angekua ndo jk kipindi kile angejaribu kufurukuta.Vyovote utakavyosema na kama alivyosema Dr Kimei lile limefunguliwa kwa nguvu tu za asiyepangiwaChuki ya ukabila inawamaliza bladifuluuuu.
Kila makao makuu ya h/wilaya nmb wana tawi na chato ikiwemo tawi lake lipo pale cku nyngi tena jengo kubwa ndgKuna tetesi NMB wanajenga ghorofa Chato ili wahamie hapo pia, haya yote ni katika mchakato wa Mkoa mpya.....
Hahaha...Majitu machawi tupu yanatunza hela benki toka lini
Mkoa mpya wa ChatoMkoa mpya? Upi huo?