Tetesi: Tawi jipya la CRDB Chato, Idadi ya wateja inadaiwa ni ya kuvunja moyo

Tetesi: Tawi jipya la CRDB Chato, Idadi ya wateja inadaiwa ni ya kuvunja moyo

Mkoa mpya? Upi huo?
naona kuna uzi unazunguka kwenye mitandao mingine, ikidai itakuwa ni mkoa wa rubondo lakini makao makuu yatakuwa ni chato, hivyo itakuwa ni rubondo, chato, kibondo na sehemu moja siikumbuki jina lake, kama ikiwa hivi tujiandae chato kuwa makao makuu ya jamuhuri miaka ijayo badala ya dodoma
 
Mungu aniepushe na akili hizi za kichadema watu wanataka maendeleo lkn hawataki sehemu flani iyapate hayo maendeleo,

kwa mwenye kumbukumbu nzuri wakati rais akiwa kikwete msonga haikupaswa hata kupata barabara ya changalawe ukiuliza kisa ni kwao rais hivi rais akitoka kwenu ni laana? nakumbuka timbwili la bandari ya bagamoyo kisa tu ni kwao kikwete. leo ni chato itazongwa hiyo na siku akitoka madarakani kitakachotumika kujaji kama ni kiongozi bora au boya ni hali ya chato. ukisema rais magufuri alikuwa bora utaambiwa angekuwa bora chato ingekuwa duni vile? akiitengeneza nongwa.

binafsi sipingi marais kuimarisha makwao kwa mantiki kuwa yote hiyo ni tz. mfano nyerere angaimarisha musoma, mwinyi akaimarisha huko kwao sijui unguja, mkapa kwao, kikwete kwao, na jpm kwao means tungekuwa na vimiji kadhaa vyenye uchumi imara tofauti na sasa wote tunavyojazana dar.

chamsingi tu usiinyime sehemu yenye mahitaji ukapeleka kwenu hivi mfano kuna sehemu imenyimwa crdb ikapelekwa chato? kwetu ni kijiji tu lkn tuna nmb na atm za crdb nasikia nbc pia wapo kwenye mchakato sasa kwanini niisikilizie wivu chato kwa kupata crdb? ilihali hiyo yote ni tz?
 
Waache ndio kipindi chao wafanye chochote wanachotaka hata wakitaka kujenga BOT hapo wakajenge tuu ikiwa watu wanaokotwa kwenye mifuko inaonekana kawaida kuchezea pesa wachezee tuu...
 
Hivi nani ambaye ukiwa Kiongozi wa Nchi ataacha kupaendeleza kwao?kuna ubaya gani CRDB kuwepo pale Chato?ndugu zangu mambo mengn tuache kuwa tunalalamika,kwa wale waliowahi kufika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ,na hasa Kilimanjaro unadhani ni kwann huo mkoa umependeza vile?jibu ni moja tu ni kwa sababi Mawaziri wa kuu karibia wote ukiacha Mizengo Pinda na Kassim Majariwa walikuwa wanatokea huko,na hizo nafasi walizitumia vixur sana,walijipendelea sana kuliko kanda yoyote nyingn,ukifika kule Monduli barabara hadi za vichochoroni zimewekewa rami,hata kuwa wilaya tu haikustahili hata kidogo,lakini Leo Monduli ni Wilaya,lakini hapo hapo tembelea mkoa wa Kigoma ambao hawajawahi kutoa kiongoz mkubwa wa kitaifa kaone palivyo,ni kichekesho,barabara mbovu hazina rami,Mimi binafisi nasema hivi kama ni kweli Chato itakuwa mkoa itapendeza sana,naima mkoa wa Kigoma utamegwa ili kuijazia Chato ili napo papendeze kama mikoa mingine ya huko kwa Cleopa Devid Msuya,Frederick Sumaye,Edward Lowasa bila kumsahau kiongozi nguri wa Taifa letu mzarendo wa kwer Hayati Moringe Sokoine,naunga mkono kwa Jinsi Mheshimiwa Rais anavyopambana kuijenga hii Nchi,
 
Mungu aniepushe na akili hizi za kichadema watu wanataka maendeleo lkn hawataki sehemu flani iyapate hayo maendeleo,

kwa mwenye kumbukumbu nzuri wakati rais akiwa kikwete msonga haikupaswa hata kupata barabara ya changalawe ukiuliza kisa ni kwao rais hivi rais akitoka kwenu ni laana? nakumbuka timbwili la bandari ya bagamoyo kisa tu ni kwao kikwete. leo ni chato itazongwa hiyo na siku akitoka madarakani kitakachotumika kujaji kama ni kiongozi bora au boya ni hali ya chato. ukisema rais magufuri alikuwa bora utaambiwa angekuwa bora chato ingekuwa duni vile? akiitengeneza nongwa.

binafsi sipingi marais kuimarisha makwao kwa mantiki kuwa yote hiyo ni tz. mfano nyerere angaimarisha musoma, mwinyi akaimarisha huko kwao sijui unguja, mkapa kwao, kikwete kwao, na jpm kwao means tungekuwa na vimiji kadhaa vyenye uchumi imara tofauti na sasa wote tunavyojazana dar.

chamsingi tu usiinyime sehemu yenye mahitaji ukapeleka kwenu hivi mfano kuna sehemu imenyimwa crdb ikapelekwa chato? kwetu ni kijiji tu lkn tuna nmb na atm za crdb nasikia nbc pia wapo kwenye mchakato sasa kwanini niisikilizie wivu chato kwa kupata crdb? ilihali hiyo yote ni tz?
You're too logical. Upo vizuri sana mkuu
 
DYbLF83WkAAncC4.jpg:large
HABARI NDIO HIYO MAMBO NI MOTO MTAELEWA TU
Huu nao ni ushaidi? kuna watu mnashangaza sana
 
Roho mbaya na chuki ya ukabila inawatafuna na kuwamaliza taratibu.
Mlipofungua matawi ya hiyo Benki huko migombani mbona Watanzania walikaa kimya!?
Leo hii ndio imekuwa nongwa kisa tawi limefunguliwa sehemu anayozaliwa Rais wa nchi!
Kwani zaidi ya huyo jamaa kutokea huko chattle kuna mtu gani mwingine wa maana and aliyetokea huko. Tuache kuwalaumu wa migombani. Ila wale walistahili kupelekewa branch maana kule mzunguko wa pesa na watu wenye pesa wapo sana
 
Hii ndio habari iliyoko mtandaoni kwa sasa kuhusu lile tawi jipya liliofunguliwa hivi karibuni huko maeneno fulani ambapo japo mwanzo ni mgumu,lakini mwanzo huo unaonekana si dalili njema hata kidogo.

Maelezo yanayotolewa mtandaoni nashindwa hata kuyaamini kuhusu hilo tawi na kama madai kuhusu idadi ndogo sana ya wateja wanaofika katika tawi hilo ni ya kweli,basi ni wazi ule utafiti haukua utafuti bali ulikuwa utafuti jina tu.

Mtoa habari amewaambia waandishi wafike kujionea hali halisi.

kwa sasa najua tutajipa moyo kuwa tawi bado ni jipya ila uzuri ni kwamba hatuwezi kuendelea kujipa moyo iwapo hali kama hii itaendelea hata kwa miezi mitatu tu.

Anyway,labda tuwape muda.

Nawaza tu kama watu wataruhusiwa kupiga picha eneo hilo katika siku zijazo.
Chadema mnarukia rukia sana mmekuwa kama digidigi!
 
One thing is clear. "You can move somebody from the village to the city, but you will never remove the village (ideas, mind, personality ) out of him. Prove me wrong nikutumie vocha ya Zantel
 
Hii ndio habari iliyoko mtandaoni kwa sasa kuhusu lile tawi jipya liliofunguliwa hivi karibuni huko maeneno fulani ambapo japo mwanzo ni mgumu,lakini mwanzo huo unaonekana si dalili njema hata kidogo.

Maelezo yanayotolewa mtandaoni nashindwa hata kuyaamini kuhusu hilo tawi na kama madai kuhusu idadi ndogo sana ya wateja wanaofika katika tawi hilo ni ya kweli,basi ni wazi ule utafiti haukua utafuti bali ulikuwa utafuti jina tu.

Mtoa habari amewaambia waandishi wafike kujionea hali halisi.

kwa sasa najua tutajipa moyo kuwa tawi bado ni jipya ila uzuri ni kwamba hatuwezi kuendelea kujipa moyo iwapo hali kama hii itaendelea hata kwa miezi mitatu tu.

Anyway,labda tuwape muda.

Nawaza tu kama watu wataruhusiwa kupiga picha eneo hilo katika siku zijazo.
hivi hata mwaka mmoja haujafika mnaanza na nyimbo mpya???? tungoje kwanza japo mwaka mmoja halafu tuhoji
 
Back
Top Bottom