Ngadu01
JF-Expert Member
- May 4, 2016
- 503
- 794
Nataka nikafungue night club chato mbona mnanikatisha tamaaWateja ni saba kwa siku, mateller wanashinda wakipiga story
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka nikafungue night club chato mbona mnanikatisha tamaaWateja ni saba kwa siku, mateller wanashinda wakipiga story
Hii ni kufru kabisa.Labda Chato ninmbinguni jembe linapalilia nafasi ya kuongoza malaika
Jamani ebu nielezeni nami nielewe the motive behind, nimetembea sana nchi karibu kila pahala, wilaya nyingi nchini benki ya Crdb ina matawi, juzi tu nimepita Sikonge nikielekea Chunya kuna tawi la crdb bank. Sasa tatizo ni chato kuwa tawi la bank ya crdb au tatizo ni nini?Hii ndio habari iliyoko mtandaoni kwa sasa kuhusu lile tawi jipya liliofunguliwa hivi karibuni huko maeneno fulani ambapo japo mwanzo ni mgumu,lakini mwanzo huo unaonekana si dalili njema hata kidogo.
Maelezo yanayotolewa mtandaoni nashindwa hata kuyaamini kuhusu hilo tawi na kama madai kuhusu idadi ndogo sana ya wateja wanaofika katika tawi hilo ni ya kweli,basi ni wazi ule utafiti haukua utafuti bali ulikuwa utafuti jina tu.
Mtoa habari amewaambia waandishi wafike kujionea hali halisi.
kwa sasa najua tutajipa moyo kuwa tawi bado ni jipya ila uzuri ni kwamba hatuwezi kuendelea kujipa moyo iwapo hali kama hii itaendelea hata kwa miezi mitatu tu.
Anyway,labda tuwape muda.
Nawaza tu kama watu wataruhusiwa kupiga picha eneo hilo katika siku zijazo.
Achana nao, ngoja tuwanyoshe kwanza, Magufuli atapiga hadi 2034 then anachukua Makonda. Yaani wanataka kila kitu kiwe kwao, Arusha, Moshi Tanga. Kigoma huku hata lami tunaisikia tu, umeme kanjanja. Go JPM go go go...Hivi nani ambaye ukiwa Kiongozi wa Nchi ataacha kupaendeleza kwao?kuna ubaya gani CRDB kuwepo pale Chato?ndugu zangu mambo mengn tuache kuwa tunalalamika,kwa wale waliowahi kufika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ,na hasa Kilimanjaro unadhani ni kwann huo mkoa umependeza vile?jibu ni moja tu ni kwa sababi Mawaziri wa kuu karibia wote ukiacha Mizengo Pinda na Kassim Majariwa walikuwa wanatokea huko,na hizo nafasi walizitumia vixur sana,walijipendelea sana kuliko kanda yoyote nyingn,ukifika kule Monduli barabara hadi za vichochoroni zimewekewa rami,hata kuwa wilaya tu haikustahili hata kidogo,lakini Leo Monduli ni Wilaya,lakini hapo hapo tembelea mkoa wa Kigoma ambao hawajawahi kutoa kiongoz mkubwa wa kitaifa kaone palivyo,ni kichekesho,barabara mbovu hazina rami,Mimi binafisi nasema hivi kama ni kweli Chato itakuwa mkoa itapendeza sana,naima mkoa wa Kigoma utamegwa ili kuijazia Chato ili napo papendeze kama mikoa mingine ya huko kwa Cleopa Devid Msuya,Frederick Sumaye,Edward Lowasa bila kumsahau kiongozi nguri wa Taifa letu mzarendo wa kwer Hayati Moringe Sokoine,naunga mkono kwa Jinsi Mheshimiwa Rais anavyopambana kuijenga hii Nchi,
Wivu utakuua mkuu!!Hii ndio habari iliyoko mtandaoni kwa sasa kuhusu lile tawi jipya liliofunguliwa hivi karibuni huko maeneno fulani ambapo japo mwanzo ni mgumu,lakini mwanzo huo unaonekana si dalili njema hata kidogo.
Maelezo yanayotolewa mtandaoni nashindwa hata kuyaamini kuhusu hilo tawi na kama madai kuhusu idadi ndogo sana ya wateja wanaofika katika tawi hilo ni ya kweli,basi ni wazi ule utafiti haukua utafuti bali ulikuwa utafuti jina tu.
Mtoa habari amewaambia waandishi wafike kujionea hali halisi.
kwa sasa najua tutajipa moyo kuwa tawi bado ni jipya ila uzuri ni kwamba hatuwezi kuendelea kujipa moyo iwapo hali kama hii itaendelea hata kwa miezi mitatu tu.
Anyway,labda tuwape muda.
Nawaza tu kama watu wataruhusiwa kupiga picha eneo hilo katika siku zijazo.
Kwani umesharudi TZ wewe?? Si mko na BAK mnabeba mabox na kutawaza vibibi vizee huko USA?Wateja ni saba kwa siku, mateller wanashinda wakipiga story
Hili tawi limefunguliwa kwa KIKI, sio kwa UTAFITI. Si unajua bwana kubwa anavyopenda kiki?Hii ndio habari iliyoko mtandaoni kwa sasa kuhusu lile tawi jipya liliofunguliwa hivi karibuni huko maeneno fulani ambapo japo mwanzo ni mgumu,lakini mwanzo huo unaonekana si dalili njema hata kidogo.
Maelezo yanayotolewa mtandaoni nashindwa hata kuyaamini kuhusu hilo tawi na kama madai kuhusu idadi ndogo sana ya wateja wanaofika katika tawi hilo ni ya kweli,basi ni wazi ule utafiti haukua utafuti bali ulikuwa utafuti jina tu.
Mtoa habari amewaambia waandishi wafike kujionea hali halisi.
kwa sasa najua tutajipa moyo kuwa tawi bado ni jipya ila uzuri ni kwamba hatuwezi kuendelea kujipa moyo iwapo hali kama hii itaendelea hata kwa miezi mitatu tu.
Anyway,labda tuwape muda.
Nawaza tu kama watu wataruhusiwa kupiga picha eneo hilo katika siku zijazo.
Migombani pesa ipo.Roho mbaya na chuki ya ukabila inawatafuna na kuwamaliza taratibu.
Mlipofungua matawi ya hiyo Benki huko migombani mbona Watanzania walikaa kimya!?
Leo hii ndio imekuwa nongwa kisa tawi limefunguliwa sehemu anayozaliwa Rais wa nchi!
Machozi yanakulengalengaJiulize hapo chato ilishakuepo bank yoyote kabla?? Je wananchi wana uelewa na masuala ya kuhifadhi pesa bank..?? Kumbuka hiyo ni biashara na ndio maana kuna bank officers kwa ajili ya kutoa elimu na kutafuta Wateja..we ulitegemea ifunguliwe tu kisha uone watu wanapishana??hizi akili za kupinga kila kitu IPO siku mtapinga hadi jinsia zenu
Sijui wako wahudumu wangapi, wangejiwekea utaratibu anakwenda mmoja kwa siku au wiki wengine wa kila maisha.Mateller wa huko wana raha kweli
Kutwa nzima kupiga soga mwishowe wataanza kutongozana tu na kumalizana
Sasa kama wateja wanakuja 6 au 6 kwa siku kuna kazi hapo? Si bora haya walale nyumbani kusubiri mshahara
Hakuna kitu kinakera kama kweda ofsn halafu hakuna kaz za kufanya
Hapo ruka,nenda hatua ya pilialiyefanya utafiti wa kufungua hilo tawi ni nani?
tuanzie hapo kwanza.