Na huku kwingine acheni wazitafute awamu hii na nyinyi mkae nyuma kidogo!Migombani pesa ipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huku kwingine acheni wazitafute awamu hii na nyinyi mkae nyuma kidogo!Migombani pesa ipo.
Chadema wewe bomu sana sana
Huko utafikiri hamna watu wasio CCM
Sasa kuandika upupwu.unasaidiaje wananchi..
Bure kabisa...
R. I. P mkoa wa GeitaHABARI NDIO HIYO MAMBO NI MOTO MTAELEWA TU![]()
Huna takwimu,unachukua maneno ya kuambiwa mtaani unafungulia threadAnyway,labda tuwape muda.
Ndio nini??Machozi yanakulengalenga
Mwinyi kwao wapi umesema??Mungu aniepushe na akili hizi za kichadema watu wanataka maendeleo lkn hawataki sehemu flani iyapate hayo maendeleo,
kwa mwenye kumbukumbu nzuri wakati rais akiwa kikwete msonga haikupaswa hata kupata barabara ya changalawe ukiuliza kisa ni kwao rais hivi rais akitoka kwenu ni laana? nakumbuka timbwili la bandari ya bagamoyo kisa tu ni kwao kikwete. leo ni chato itazongwa hiyo na siku akitoka madarakani kitakachotumika kujaji kama ni kiongozi bora au boya ni hali ya chato. ukisema rais magufuri alikuwa bora utaambiwa angekuwa bora chato ingekuwa duni vile? akiitengeneza nongwa.
binafsi sipingi marais kuimarisha makwao kwa mantiki kuwa yote hiyo ni tz. mfano nyerere angaimarisha musoma, mwinyi akaimarisha huko kwao sijui unguja, mkapa kwao, kikwete kwao, na jpm kwao means tungekuwa na vimiji kadhaa vyenye uchumi imara tofauti na sasa wote tunavyojazana dar.
chamsingi tu usiinyime sehemu yenye mahitaji ukapeleka kwenu hivi mfano kuna sehemu imenyimwa crdb ikapelekwa chato? kwetu ni kijiji tu lkn tuna nmb na atm za crdb nasikia nbc pia wapo kwenye mchakato sasa kwanini niisikilizie wivu chato kwa kupata crdb? ilihali hiyo yote ni tz?
Kwa maneno ya mitandaoni hata maandamano yametiingisha serikali.Huna takwimu,unachukua maneno ya kuambiwa mtaani unafungulia thread
Halafu mlishazoea kuona foleni benki,siku hizi mpaka pesa unaivuta kwenye simu kwenda tawini ni wafanya biashara wakubwa ambao eneo hilo ni wengi
Labda kasi ya kinyonga aliekufaBado mapema Huu mji unakuwa kwa kasi
Unakuzwa na nini?
watoto mji Mkuu wa tanzania ni upi?Takwimu mkuu..lete hata za kupika
Hakuna sehemu inayoonesha watu kupinga,issue ni kuwa watu hawana pesa ya kuweka benki.Jiulize hapo chato ilishakuepo bank yoyote kabla?? Je wananchi wana uelewa na masuala ya kuhifadhi pesa bank..?? Kumbuka hiyo ni biashara na ndio maana kuna bank officers kwa ajili ya kutoa elimu na kutafuta Wateja..we ulitegemea ifunguliwe tu kisha uone watu wanapishana??hizi akili za kupinga kila kitu IPO siku mtapinga hadi jinsia zenu
hahaaaaaHill tawi wavivu waombe kwenda kufanya kazi huko,kutwa unakaa na kompyuta unacheki muvi tuu. Kijj chenye mataa!!
hahaaa MZee wa msoga kumbe alikuwa hatupendi kiasi hiki"" ilikuwaje mpka akaikabidhi nchi kwa hili nunda mlawatuMzee wa msoga njoo huku ujibu swali kwa nini uliingia NEC na kikaratasi chenye jina la pogba
Kama huna hela ni wewe..usilazimishe watu wote wafanane na hali yako..inawezekana wakati we ulijiona una pesa kuna wengine hawakuwa nazo.. Na sasa wanazo au wako vile vile sababu mifumo yao ya upatikanaji pesa ni ule ule wa halali.Hakuna sehemu inayoonesha watu kupinga,issue ni kuwa watu hawana pesa ya kuweka benki.
Lengo la Uzi ni kuonesha kuwa wakazi wa Chato,vyuma vimebana!!
Nakushauri kawape watu pesa ili foleni iwe kubwa hapo CRDB.